jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Hasara ni nini kama sio hasara kwa majini ya jangwani,mana nguruwe analiwa sana ulaya,marekani na uchini je hao wamepata hasara gani mpaka sasa,ndio wanao kufanya uinashi humu dunia kupitia teknolojia zao na uvumbuzi.Hasara ya nyama yake ni kubwa kuliko faida acha kula kitimoto