Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi Sina dini. UnawashwaWaislamu wote wana matusi sio wewe tu,
Mdomo na akili unaotukania ndo unatumia kusali?
Ama kweli Allah ni shetani(mungu mwezi)
Kafirwe hukoHuna dini ? Umemkana Mohammed na Allah baada ya kukujua ulivyo
Acha ushamba , kila uzi kutukana tukana ovyo
Wewe Ni dhaifu Kuliko mjamzito. Kazi kufutatilia yasiyokuhusuWatu wote weak , wanatabia kama zako
Majestic pluralUnajua umoja na wingi?
Nimesema
Tumesema.
Huwezi kutumia wingi kuonesha ukubwa wake. Hapo bado haujanishawishi.
Tumemuumba mtu kwa mfano wetu. Hapa unasema alikuwa peke yake.
Biblia ndiyo ipo sawa 100%
Quran haina shida ila wewe ndio unashida ilitakiwa utafuta wanao jua wakufundishe hizo terminologyKuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Quran 15 : 26 " We brought man into being out of dry ringing clay which was wrought from black mud "
Waislamu huwa wanapinga Utatu(Trinity), lakini trinity ipo kwenye Kuran.
Katika Biblia, uumbaji ulifanyika kwa Trinity yaani MUNGU Baba(Jehovah), MUNGU Mwana(Yesu) na MUNGU Roho(Roho Mtakatifu).
Ndo mana katika uumbaji kuna wingi , " tumfanye mtu kwa mfano wetu " - Mwanzo 1:26
Tukirejea kwenye Kuran uumbaji umefanyika na wingi (We / Tulimuumba) . Swali : Je , Allah alishiriki na nani katika zoezi la uumbaji?
Ikumbukwe kuwa malaika hawakushiriki katika zoezi la uumbaji.
Ikumbukwe kuna verse Allah ametumia I am na kwanini pale tu , ndipo alitumia wingi?
Muhammad alisoma Torah(Vitabu vya Musa)?Quran haina shida ila wewe ndio unashida ilitakiwa utafuta wanao jua wakufundishe hizo terminology
Maana kuhusu hoja yako ya utatu tayari Quran ilishapiga msumali kuwa hakuna kitu kama hicho na mtu yoyote anayeamini kuwa Mungu wapo 3 basi Jahanam inamsubiri
QURAN 5:73.
Kwa hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja. Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale wanao kufuru.
Kwenye Ukristo na Biblia - hakuna neno muislamu au Muhammad.
Pili , Muhammad sio nabii aliyetabiriwa , ndo mana hayupo kwenye biblia na hana sifa ya kuwa nabii , kwa sababu kila nabii anasifa ya kuwa Muisrael
Tatu , Muhammad ni mtoto wa juzi amekuta biblia iko tayari na ukristo umeshaenea
Kwa hiyo Ukristo , haujui na wala hautakaa uinenee dini ambazo ni taka kama : uislam , hindu , budha
Kuna aya nyingi sana za Muhammad akiongelea vitabu vya biblia na manabii wa biblia na ideas zao
We gave Moses the Book (Torah). . . to be a lamp for mankind and guidance and mercy, so that they may remember” Quran 28:43
“It is He Who sent down to thee (step by step) in truth the Book confirming what went before it; and He sent down Law (Of Moses) and the Gospel (of Jesus) before this as a guide to mankind …” Quran 3:3
The Zabur and the book that gives a perfect explanation” Quran 3:184
"We did aforetime give Moses the guidance, and we gave the book in inheritance to the children of Israel." Quran 40:53
"Those who believe (in the Qur'an). Those who follow the Jewish (scriptures), And the Sabians and the Christians,- any who believe in Allah and the Last Day, and work Righteousness, - on them shall be no fear, nor shall they grieve." Quran 2:62 (Hii aya , inaonesha Muhammad alikuta tayari Ukristo upo)
Ziko aya nyingi sana , Quran ikiongelea Ukristo
Wewe leta verse hata moja ya Biblia , ikiongelea Quran au uwepo wa kuja nabii anaitwa Muhammad au Muhammad mwenyewe
Unaelewa maana ya majestic plural au unamajibu yako mwenyewe umeyaandaa?Anatumia hivyo kutokana kuna roho zinafanya kazi nyuma yake
Inaonekana wewe ni kafiri mpya ngoja nikufundishe ili ujijue kuwa umepotea na jahanam inakusubiriKwenye Ukristo na Biblia - hakuna neno muislamu au Muhammad.
Pili , Muhammad sio nabii aliyetabiriwa , ndo mana hayupo kwenye biblia na hana sifa ya kuwa nabii , kwa sababu kila nabii anasifa ya kuwa Muisrael
Tatu , Muhammad ni mtoto wa juzi amekuta biblia iko tayari na ukristo umeshaenea
Kwa hiyo Ukristo , haujui na wala hautakaa uinenee dini ambazo ni taka kama : uislam , hindu , budha
Kuna aya nyingi sana za Muhammad akiongelea vitabu vya biblia na manabii wa biblia na ideas zao
We gave Moses the Book (Torah). . . to be a lamp for mankind and guidance and mercy, so that they may remember” Quran 28:43
“It is He Who sent down to thee (step by step) in truth the Book confirming what went before it; and He sent down Law (Of Moses) and the Gospel (of Jesus) before this as a guide to mankind …” Quran 3:3
The Zabur and the book that gives a perfect explanation” Quran 3:184
"We did aforetime give Moses the guidance, and we gave the book in inheritance to the children of Israel." Quran 40:53
"Those who believe (in the Qur'an). Those who follow the Jewish (scriptures), And the Sabians and the Christians,- any who believe in Allah and the Last Day, and work Righteousness, - on them shall be no fear, nor shall they grieve." Quran 2:62 (Hii aya , inaonesha Muhammad alikuta tayari Ukristo upo)
Ziko aya nyingi sana , Quran ikiongelea Ukristo
Wewe leta verse hata moja ya Biblia , ikiongelea Quran au uwepo wa kuja nabii anaitwa Muhammad au Muhammad mwenyewe
Haukuelewa unachokisoma.Inaonekana wewe ni kafiri mpya ngoja nikufundishe ili ujijue kuwa umepotea na jahanam inakusubiri
Utabiri wa mtume Muhammad huo hapo ndani ya Bibilia
Isaiah 21:13-16
Majestic Plural zinatumika kwa viongozi wakubwa tu(watawala). Kama Malkia na wafalme. Na hidden secret ya utawala wao , hua kuna roho zinamwongoza . Kwa hiyo ndo mana anatumia Tuta- , badala ya Nita-Unaelewa maana ya majestic plural au unamajibu yako mwenyewe umeyaandaa?
Mfano mtu anamiliki biashara yake(Duka) juu akaandika Mangi shop[Tunauza pembejeo za kilimo] hapo wamiliki wa hilo duka wanakua wangap?
Unajadili mahali pale inapotokea coherence, halafu kwingine mnaendelea kutofautianaKama Imani yako haipo katika hiyo dini, kwanini uijadili?!
We kima unasemaje?Achana na udini. Fanya Mambo mengine. Kaoshe hata vyombo fala Wewe
Hapo nabii Isaya alikuwa anatabiri kuwa katika vizazi vya nabii Ishmael Kuna ufunuo hao akina Tema , Dedan ,Kedari hao wote ni watoto wa nabii Ishmael na waliishi Saudi ArabiaHaukuelewa unachokisoma.
Hapo ni Arabs Kingdoms zilikuwa zinapigana vita. Hao wote ni waarabu , na walipigana wenyewe.
Isaya 21 : 13 - 17 (BHN)
13 Kauli ya Mungu dhidi ya Arabia. Enyi misafara ya Dedani(Kaskazini-Magharibi Arabia), pigeni kambi leo usiku kwenye nyika za Arabia.
14 Enyi wakazi wa nchi ya Tema(Kusini Arabia), wapeni maji hao wenye kiu; wapelekeeni chakula hao wakimbizi.
15 Maana wamekimbia mapanga, mapanga yaliyochomolewa, pinde zilizovutwa na ukali wa mapigano.
16 Maana Bwana aliniambia hivi: “Katika muda wa mwaka mmoja, bila kuzidi wala kupungua, fahari yote ya Kedari itakwisha.
17 Wapiga upinde wachache kati ya mashujaa wa watu wa Kedari(wa-Arabia wanaohama hama) ndio watakaosalia. Mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, nimenena.”
Ufunuo(unabii) maana yake ni Utabiri .Hapo nabii Isaya alikuwa anatabiri kuwa katika vizazi vya nabii Ishmael Kuna ufunuo hao akina Tema , Dedan ,Kedari hao wote ni watoto wa nabii Ishmael na waliishi Saudi Arabia
Sasa ni mtume gani aliyetoka Saudi Arabia kama Muhammad?