Waislamu hawawezi jibu swali hili : Quran 15 :26 "Trinity"

Waislamu hawawezi jibu swali hili : Quran 15 :26 "Trinity"

Unajua umoja na wingi?
Nimesema
Tumesema.
Huwezi kutumia wingi kuonesha ukubwa wake. Hapo bado haujanishawishi.
Tumemuumba mtu kwa mfano wetu. Hapa unasema alikuwa peke yake.
Biblia ndiyo ipo sawa 100%
Majestic plural
Hata Quen wa Uingereza somtimes hua anatumia kuonesha ule ukuu wake wa kimamlaka
 
Majestic plural
Hata Quen wa Uingereza somtimes hua anatumia kuonesha ule ukuu wake wa kimamlaka
Anatumia hivyo kutokana kuna roho zinafanya kazi nyuma yake
 
Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Quran 15 : 26 " We brought man into being out of dry ringing clay which was wrought from black mud "

Waislamu huwa wanapinga Utatu(Trinity), lakini trinity ipo kwenye Kuran.

Katika Biblia, uumbaji ulifanyika kwa Trinity yaani MUNGU Baba(Jehovah), MUNGU Mwana(Yesu) na MUNGU Roho(Roho Mtakatifu).
Ndo mana katika uumbaji kuna wingi , " tumfanye mtu kwa mfano wetu " - Mwanzo 1:26

Tukirejea kwenye Kuran uumbaji umefanyika na wingi (We / Tulimuumba) . Swali : Je , Allah alishiriki na nani katika zoezi la uumbaji?

Ikumbukwe kuwa malaika hawakushiriki katika zoezi la uumbaji.
Ikumbukwe kuna verse Allah ametumia I am na kwanini pale tu , ndipo alitumia wingi?
Quran haina shida ila wewe ndio unashida ilitakiwa utafuta wanao jua wakufundishe hizo terminology

Maana kuhusu hoja yako ya utatu tayari Quran ilishapiga msumali kuwa hakuna kitu kama hicho na mtu yoyote anayeamini kuwa Mungu wapo 3 basi Jahanam inamsubiri


QURAN 5:73.
Kwa hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja. Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale wanao kufuru.
 
Quran haina shida ila wewe ndio unashida ilitakiwa utafuta wanao jua wakufundishe hizo terminology

Maana kuhusu hoja yako ya utatu tayari Quran ilishapiga msumali kuwa hakuna kitu kama hicho na mtu yoyote anayeamini kuwa Mungu wapo 3 basi Jahanam inamsubiri


QURAN 5:73.
Kwa hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja. Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale wanao kufuru.
Muhammad alisoma Torah(Vitabu vya Musa)?
Kama alivisoma basi ali-copy , na maana halisi ya Musa ilikua ni utatu(Trinity)
Tunajua kuwa Muhammad alikua msomaji mzuri wa biblia(Torah na Injil) , ndo mana aka-confirm ni vitabu vya MUNGU
 
Kwenye Ukristo na Biblia - hakuna neno muislamu au Muhammad.
Pili , Muhammad sio nabii aliyetabiriwa , ndo mana hayupo kwenye biblia na hana sifa ya kuwa nabii , kwa sababu kila nabii anasifa ya kuwa Muisrael
Tatu , Muhammad ni mtoto wa juzi amekuta biblia iko tayari na ukristo umeshaenea
Kwa hiyo Ukristo , haujui na wala hautakaa uinenee dini ambazo ni taka kama : uislam , hindu , budha

Kuna aya nyingi sana za Muhammad akiongelea vitabu vya biblia na manabii wa biblia na ideas zao
We gave Moses the Book (Torah). . . to be a lamp for mankind and guidance and mercy, so that they may remember” Quran 28:43

“It is He Who sent down to thee (step by step) in truth the Book confirming what went before it; and He sent down Law (Of Moses) and the Gospel (of Jesus) before this as a guide to mankind …” Quran 3:3
The Zabur and the book that gives a perfect explanation” Quran 3:184

"We did aforetime give Moses the guidance, and we gave the book in inheritance to the children of Israel." Quran 40:53

"Those who believe (in the Qur'an). Those who follow the Jewish (scriptures), And the Sabians and the Christians,- any who believe in Allah and the Last Day, and work Righteousness, - on them shall be no fear, nor shall they grieve." Quran 2:62 (Hii aya , inaonesha Muhammad alikuta tayari Ukristo upo)


Ziko aya nyingi sana , Quran ikiongelea Ukristo

Wewe leta verse hata moja ya Biblia , ikiongelea Quran au uwepo wa kuja nabii anaitwa Muhammad au Muhammad mwenyewe

Na wew lete neno ndan ya zabur linalosema maswala ya biblia

Note:Biblia sio kitab kitakatif ni kitabu kama TAKADINI, THREE SUITORS ONE HUSBAND au FUNDAMENTALL OF BIOLOGY

NKUULIZE SWALI:
01.WAPI PANATHIBITISHA BIBLIA NI KITABU CHA YESU

02.WAPI BIBLIA IMEANDIKA UKRISTO NI DINI




(وَإِذۡ قَالَ عِیسَى ٱبۡنُ مَرۡیَمَ یَـٰبَنِیۤ إِسۡرَ ٰ⁠ۤءِیلَ إِنِّی رَسُولُ ٱللَّهِ إِلَیۡكُم مُّصَدِّقࣰا لِّمَا بَیۡنَ یَدَیَّ مِنَ ٱلتَّوۡرَىٰةِ وَمُبَشِّرَۢا بِرَسُولࣲ یَأۡتِی مِنۢ بَعۡدِی ٱسۡمُهُۥۤ أَحۡمَدُۖ فَلَمَّا جَاۤءَهُم بِٱلۡبَیِّنَـٰتِ قَالُوا۟ هَـٰذَا سِحۡرࣱ مُّبِینࣱ)
[Surah As-Saf 6]


And when issa son of mariam said:Oh children's of israel surely am the apostle of allah to you,verifying that which is before me of the taurat and giving the good news of apostle whow will come after me and his name being Ahmad,but when he come to them with clear arguments they said:this is clear magic


[Surat As-saf 6]

Vitabu vitakatifu ni
01.ZABURI given to Daudi(a.s)
02.INJILI given to issa( a.s)
03.TAURAT given to mussa(a.s)
04.SUHFI
05.QUR AN given to Muhammad (s.a.w)

Narudia biblia ni kitabu cha kawaida kama kitabu cha GENERAL STUDIES A level
 
Anatumia hivyo kutokana kuna roho zinafanya kazi nyuma yake
Unaelewa maana ya majestic plural au unamajibu yako mwenyewe umeyaandaa?

Mfano mtu anamiliki biashara yake(Duka) juu akaandika Mangi shop[Tunauza pembejeo za kilimo] hapo wamiliki wa hilo duka wanakua wangap?
 
Kwenye Ukristo na Biblia - hakuna neno muislamu au Muhammad.
Pili , Muhammad sio nabii aliyetabiriwa , ndo mana hayupo kwenye biblia na hana sifa ya kuwa nabii , kwa sababu kila nabii anasifa ya kuwa Muisrael
Tatu , Muhammad ni mtoto wa juzi amekuta biblia iko tayari na ukristo umeshaenea
Kwa hiyo Ukristo , haujui na wala hautakaa uinenee dini ambazo ni taka kama : uislam , hindu , budha

Kuna aya nyingi sana za Muhammad akiongelea vitabu vya biblia na manabii wa biblia na ideas zao
We gave Moses the Book (Torah). . . to be a lamp for mankind and guidance and mercy, so that they may remember” Quran 28:43

“It is He Who sent down to thee (step by step) in truth the Book confirming what went before it; and He sent down Law (Of Moses) and the Gospel (of Jesus) before this as a guide to mankind …” Quran 3:3
The Zabur and the book that gives a perfect explanation” Quran 3:184

"We did aforetime give Moses the guidance, and we gave the book in inheritance to the children of Israel." Quran 40:53

"Those who believe (in the Qur'an). Those who follow the Jewish (scriptures), And the Sabians and the Christians,- any who believe in Allah and the Last Day, and work Righteousness, - on them shall be no fear, nor shall they grieve." Quran 2:62 (Hii aya , inaonesha Muhammad alikuta tayari Ukristo upo)


Ziko aya nyingi sana , Quran ikiongelea Ukristo

Wewe leta verse hata moja ya Biblia , ikiongelea Quran au uwepo wa kuja nabii anaitwa Muhammad au Muhammad mwenyewe
Inaonekana wewe ni kafiri mpya ngoja nikufundishe ili ujijue kuwa umepotea na jahanam inakusubiri

Utabiri wa mtume Muhammad huo hapo ndani ya Bibilia

Isaiah 21:13-16
[13]
Ufunuo juu ya Arabuni. Ndani ya msitu wa Arabuni mtalala, Enyi misafara ya Wadedani.
[14]
Waleteeni wenye kiu maji, Enyi wenyeji wa nchi ya Tema; Nendeni kuwalaki wakimbiao na chakula chao.
[15]
Kwa maana wanakimbia mbele ya panga, Upanga uliofutwa, na upinde uliopindwa, Na mbele ya ukali wa vita.
[16]
Kwa sababu Bwana ameniambia hivi, Katika muda wa mwaka, kama miaka ya mtu mwenye kuajiriwa, utaangamia utukufu wote wa Kedari.
 
Inaonekana wewe ni kafiri mpya ngoja nikufundishe ili ujijue kuwa umepotea na jahanam inakusubiri

Utabiri wa mtume Muhammad huo hapo ndani ya Bibilia

Isaiah 21:13-16
Haukuelewa unachokisoma.
Hapo ni Arabs Kingdoms zilikuwa zinapigana vita. Hao wote ni waarabu , na walipigana wenyewe.
Isaya 21 : 13 - 17 (BHN)
13 Kauli ya Mungu dhidi ya Arabia. Enyi misafara ya Dedani(Kaskazini-Magharibi Arabia), pigeni kambi leo usiku kwenye nyika za Arabia.
14 Enyi wakazi wa nchi ya Tema(Kusini Arabia), wapeni maji hao wenye kiu; wapelekeeni chakula hao wakimbizi.
15 Maana wamekimbia mapanga, mapanga yaliyochomolewa, pinde zilizovutwa na ukali wa mapigano.
16 Maana Bwana aliniambia hivi: “Katika muda wa mwaka mmoja, bila kuzidi wala kupungua, fahari yote ya Kedari itakwisha.
17 Wapiga upinde wachache kati ya mashujaa wa watu wa Kedari(wa-Arabia wanaohama hama) ndio watakaosalia. Mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, nimenena.
 
Unaelewa maana ya majestic plural au unamajibu yako mwenyewe umeyaandaa?

Mfano mtu anamiliki biashara yake(Duka) juu akaandika Mangi shop[Tunauza pembejeo za kilimo] hapo wamiliki wa hilo duka wanakua wangap?
Majestic Plural zinatumika kwa viongozi wakubwa tu(watawala). Kama Malkia na wafalme. Na hidden secret ya utawala wao , hua kuna roho zinamwongoza . Kwa hiyo ndo mana anatumia Tuta- , badala ya Nita-
Mangi na Plural We , wapi na wapi
 
Haukuelewa unachokisoma.
Hapo ni Arabs Kingdoms zilikuwa zinapigana vita. Hao wote ni waarabu , na walipigana wenyewe.
Isaya 21 : 13 - 17 (BHN)
13 Kauli ya Mungu dhidi ya Arabia. Enyi misafara ya Dedani(Kaskazini-Magharibi Arabia), pigeni kambi leo usiku kwenye nyika za Arabia.
14 Enyi wakazi wa nchi ya Tema(Kusini Arabia), wapeni maji hao wenye kiu; wapelekeeni chakula hao wakimbizi.
15 Maana wamekimbia mapanga, mapanga yaliyochomolewa, pinde zilizovutwa na ukali wa mapigano.
16 Maana Bwana aliniambia hivi: “Katika muda wa mwaka mmoja, bila kuzidi wala kupungua, fahari yote ya Kedari itakwisha.
17 Wapiga upinde wachache kati ya mashujaa wa watu wa Kedari(wa-Arabia wanaohama hama) ndio watakaosalia. Mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, nimenena.
Hapo nabii Isaya alikuwa anatabiri kuwa katika vizazi vya nabii Ishmael Kuna ufunuo hao akina Tema , Dedan ,Kedari hao wote ni watoto wa nabii Ishmael na waliishi Saudi Arabia

Isaiah 21:13-16
[13]
Ufunuo juu ya Arabuni. Ndani ya msitu wa Arabuni mtalala, Enyi misafara ya Wadedani.
[14]
Waleteeni wenye kiu maji, Enyi wenyeji wa nchi ya Tema; Nendeni kuwalaki wakimbiao na chakula chao.
[15]
Kwa maana wanakimbia mbele ya panga, Upanga uliofutwa, na upinde uliopindwa, Na mbele ya ukali wa vita.
[16]
Kwa sababu Bwana ameniambia hivi, Katika muda wa mwaka, kama miaka ya mtu mwenye kuajiriwa, utaangamia utukufu wote wa Kedari.


Genesis 25:12-16
[12]
Hivi ndivyo vizazi vya Ishmaeli, mwana wa Ibrahimu, ambaye Hajiri, Mmisri, mjakazi wa Sara, alimzalia Ibrahimu.
[13]
Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
[14]
na Mishma, na Duma, na Masa,
[15]
na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.
[16]
Hao ndio wana wa Ishmaeli, na hayo ni majina yao, katika miji yao, na katika vituo vyao, maseyidi kumi na wawili kwa kufuata jamaa zao.


Nakuwekea na ramani ya Saudi Arabia ya Zamani ili kukuonyesha kuwa hao wato wa Ishmael wote waliishi Saudi Arabia

Sasa ni mtume gani aliyetoka Saudi Arabia kama Muhammad?
Screenshot_20221231-164159.jpg
 
Hapo nabii Isaya alikuwa anatabiri kuwa katika vizazi vya nabii Ishmael Kuna ufunuo hao akina Tema , Dedan ,Kedari hao wote ni watoto wa nabii Ishmael na waliishi Saudi Arabia

Sasa ni mtume gani aliyetoka Saudi Arabia kama Muhammad?
Ufunuo(unabii) maana yake ni Utabiri .
Kwenye biblia ya kingereza ufunuo - Prophecy(utabiri)

Na utabiri(ufunuo) wa Saudia Arabia ulikuwa ni vita ya wenyewe kwa wenyewe

Kutokuelewa ndiko kuna kukusumbua
 
Back
Top Bottom