Waislamu hawawezi jibu swali hili : Quran 15 :26 "Trinity"

Waislamu hawawezi jibu swali hili : Quran 15 :26 "Trinity"

Mwamba kwenye swala la mwanaume mmoja kuoa wake zaidi ya mmoja hilo halipo mzee... imagine Tanzania wanaume ni 30m wanawake ni 31m hapo hata ukisema mwanaume mmoja aoe mke mmoja na robo wanawake wataisha na wanaume wengi hawatapata mke sembuse wake wanne? Hivi watu 60m ukitaka ratio ya mume mmoja wake wawili inabidi iweje? Inabidi wanaume tuwe 20m wanawake 40m, vipi tukitaka tuoe 3,4 unajua itakuwaje? Kuoa wake 2,3,4 sio agizo la Mungu, acha uzinzi.

_Wanasayansi gani wamethibitisha kwamba jua linazunguka?

_hilo la mwezi kupasuka point yako ni nini mzee! Kukopi sio lazima aandike yote ni wazi kwamba ataingiza na yake
Shida yako umekurupuka kaka,mmesema Muhammad (saw) amecopy bible,nikauliza kama amecopy bible kweny qur'an kuna aya inasema mwezi umepasuka

Kama hio aya ipo kweny qur'an na qur'an imekuwa copied kutoka kweny bible naiman kuna sehem bible imeandika mwezi umepasuka

Kama bible haijaandika ni wapi mtume Muhammad (saw) Ametoa hili jambo kama bible aliyoicopy haijaandika

Kama bible haijaandika kuna mawili

01.Bibble mnayotumia imechakachuliwa[ Japo hamna sehem kweny biblia imeandikwa "Bible ni kitabu cha yesu".Na Kuna ushahid bible imeandikwa na watu miaka 100+ baada ya kufa yesu.]


02.Hakika uislam ni dini ya kweli sababu kama mtume alisema mwezi umepasuka na kipind hicho hakukua na technology ya kwenda mwezini, hizo taarifa alizitoa wapi?
 
Hapa ntakupa jibu la akili tu basi ntakupa baadhi ya mifano na matumizi ya lugha katika kutafsiri..then ntakuuliza swali .

Katika matumizi ya lugha tuje kwa kiswahili tunapotafsiri ndo tunatumia "Tume" "Tuli" kama kuonyesha wingi..Sasa katika tafsiri ya maandiko yakimuhusisha Mungu ni dhahiri huo wingi unaonyesha "Mamlaka" na "nguvu" za Mungu ndo maana mnaamini Kuna malaika wawe anawatuma katika ishu zake kwa kuwacommanda hapa ni wala malaika watiifu sio mashetani so ni wingi kwa vile kuwa viumbe ambavyo Mungu anavituma na kufanya moja kwa moja kwa maelezo ya Mungu.

Je yesu alifanya miujiza kwa nguvu zake au kwa mamlaka Mungu [emoji117]ndo maana yesu alitaka uamini Mungu kwanza ndo uponyaji wake utakuponya kwamba anatenda kupitia kupitia nguvu na mamlaka ya Mungu sio yeye ndo maana alimwambia yule mzee Iman yako imekuponya haya yote ni kufanya kwa mamlaka ya Mungu.

Katika mamlaka ya Mungu ambaye alikuwa na messengers (mitume) pamoja na malaiko wote walikuwa katika kufanya Yale aliyoyatuma ili kumfikia mwanadamu ,Alitumia viumbe vyake kama ambavyo ni tofauti na binadamu kama malaika na pia Alitumia miongoni mwa wanadamu ambao ni mItume walioishi katika Maisha halisi ya bidamu.

Mtoa mada [emoji117]come and show us how God abide with trio?

Matumizi ya lugha[emoji117] how sure you are that the almighty God is a man? Kwa nn mnaptafsiri kutoka kingereza katika pronoun ya Mungu tunaweka "He" na sio "she" or "It" ,je unao hakika Mungu ni mwanaume ?

Matumizi ya lugha [emoji117] neno "Mungu" herufi ya kwanza ni lazima iwe kubwa kama jina la mtu ,the same kwa kingereza lazima lazima useme "God" na sio god ni makosa
Blah blah blah, hakuna kitu umeandika hapa. Bora ungekoroga uji ukanywa
 
Uthibitisho Kuwa Qur’an ni Neno la Mwenyezi Mungu (s.w)

a) Uthibitisho Kutokana na Qur’an Yenyewe
i. Kutojua kusoma na kuandika kwa Mtume Muhammad (s.a.w)
- Mtume (s.a.w) kutokujua kusoma na kuandika ni ushahidi tosha kuwa
asingeweza kutunga Kitabu mfano wa Qur’an. Rejea Qur’an (7:158), (29:48)

ii. Qur’an yenyewe inajieleza kuwa ni Kitabu cha Allah (s.w) kama ifuatavyo; “Uteremsho wa Kitabu hiki umetoka kwa Mwenyezi Mungu, Mwenye Nguvu na Mwenye Hikima” (45:2)
Pia rejea Qur’an (4:166), (32:2-3), (35:31), (25:1), n.k


iii. Hali aliyokuwa nayo Mtume (s.a.w) wakati akipokea wahyi
- Mtume (s.a.w) alikuwa akiogopa kuwa atasahau anayoteremshiwa, akawa na pupa kuyakariri, hii ni ushahidi kuwa hayakuwa maneno yake.
Rejea Qur’an (75:16-18), (87:6-7)


iv. Qur’an kushuka kidogo kidogo kwa kipindi cha miaka 23 kimatukio.
- Kama Qur’an aliitunga Mtume (s.a.w) angeliitunga yote kwa pamoja tena kwa haraka ili kuitumia kuongoza jamii.
Rejea Qur’an (17:106), (25:32), (76:23)


v. Mtume (s.a.w) kukosolewa ndani ya Qur’an
- Kama Mtume Muhammad (s.a.w) angelikuwa ndiye mtunzi wa Qur’an asingelikosolewa mara nyingi katika Kitabu alichokitunga mwenyewe. Rejea Qur’an (33:1-3), (66:1), (80:1-12), n.k

vi. Kutokea kweli matukio yalitabiriwa katika Qur’an
- Mifano ya matukio ni; Waislamu kuwashinda Warumi na Maquishi na kuwa katika hali ya furaha na amani, utabiri wa kuangamia Abu Lahab. Rejea Qur’an (30:2-3), (111:1-5), (93:4-5), (94:5-6), (48:1), n.k


vii. Mpangilio na muundo wa aya na sura za Qur’an wakati wa kushuka kwake na kuandikwa katika msahafu.
- Aya na sura za Qur’an zimepangiliwa ki-idadi na kimuundo kwa namna ya ajabu ambayo hakuna mwanaadamu yeyote anayeweza kufanya hivyo.

Mfano: neno mbingu saba limetajwa mara saba, neno “Yaum” (siku)
limetajwa mara 365, neno “shahri” (mwezi) limetajwa mara 12, n.k.
Rejea Qur’an (3:59), (2:87), (2:33-37), (20:115-121), n.k


viii. Wanaadamu kushindwa kutunga na kuandika Kitabu mfano wa Qur’an
- Qur’an imetoa changamoto kwa kuwataka wanaadamu kutunga kitabu au sura moja au aya moja tu mfano wa Qur’an hakuna aliyeweza.
Rejea Qur’an (17:88), (11:13), (2:23), (10:38), n.k


ix. Maudhui ya Qur’an na mvuto wa ujumbe wake
- Qur’an inaathiri na kugonga nyoyo za watu hata ambao si waislamu, mfano Umar Ibn Khattab na mshairi Labib ibn Rabiah kabla ya kusilimu. Rejea Qur’an (20:1-7), (4:82), (39:23), n.k

x. Ahadi ya Kuhifadhiwa na kulindwa Qur’an na kubakia katika asili yake
- Ni Qur’an pekee ambayo mwanaadamu hawezi kukiharibu kwa namna
yeyote ile ya kuongeza au kupungaza chochote.
Rejea Qur’an (15:9)

Halafu IMEIBA WAHUSIKA kwenye Biblia ya ISLAEL.

WAHUSIKA wakristo kama.
Adam.
Eva.
Abraham.
Sarah.
Yakobo
Isaka.
Daudi.
Seleman nk

TUMIENI akili
 
Shida yako umekurupuka kaka,mmesema Muhammad (saw) amecopy bible,nikauliza kama amecopy bible kweny qur'an kuna aya inasema mwezi umepasuka

Kama hio aya ipo kweny qur'an na qur'an imekuwa copied kutoka kweny bible naiman kuna sehem bible imeandika mwezi umepasuka

Kama bible haijaandika ni wapi mtume Muhammad (saw) Ametoa hili jambo kama bible aliyoicopy haijaandika

Kama bible haijaandika kuna mawili

01.Bibble mnayotumia imechakachuliwa[ Japo hamna sehem kweny biblia imeandikwa "Bible ni kitabu cha yesu".Na Kuna ushahid bible imeandikwa na watu miaka 100+ baada ya kufa yesu.]


02.Hakika uislam ni dini ya kweli sababu kama mtume alisema mwezi umepasuka na kipind hicho hakukua na technology ya kwenda mwezini, hizo taarifa alizitoa wapi?
01: Biblia imechakachuliwa......, onyesha ushahidi wa kuchakachuliwa Kisha onyesha biblia ambayo haijachakachuliwa.
02: weka hoja vizuri, haiwezekani kabisa ukasema uislamu ni dini ya kweli kisa tu imesema mwezi umepasuka.

-Halafu kuna kitu umesahau, wanasayansi gani walikiri kwamba jua linazunguka?
 
Muhamad alikuwa akikaa uchi mbele ya wanaume wenzie na kunyonya ulimi wa Hasan kila siju ndani ya Msikiti.

KWANINI MUHAMMAD ALIKUWA SHOGA NA ALIKUWA ANAKAA ANAKAA UCHI MBELE ZA WANAUME USHAHIDI NA KWA NINI MUHAMMAD ALIKUWA ANAUNYONYA ULIMI WA HASAN KILA SIKU NDANI YA MISIKITI JAMANI?

Imesimuliwa 'Aishah: "

Zaid bin Harithah aliwasili Al-Madinah wakati Mtume wa Allah (ﷺ) alikuwa nyumbani kwake. Kwa hivyo alikwenda na kugonga mlango, kwa hivyo Mjumbe wa Allah (ﷺ) alisimama uchi akiburuza nguo yake - na Wallahi! Sikumuona akiwa uchi kabla na baadaye - naye akamkumbatia na kumbusu. Wanasema kuwa maana ya uchi hapa ni kwamba hakuwa amevaa Rida (chupi )yake au kanga ya juu na ndiyo iliyokuwa ikiburuza, kwa hivyo eneo kati ya kitovu na magoti lilifunikwa.

حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ إِسْمَاعِيلَ، حَدَّثَنَا إِبْرَاهِيمُ بْنُ يَحْيَى بْنِ مُحَمَّدِ بْنِ عَبَّادٍ الْمَدَنِيُّ، حَدَّثَنِي أَبُو يَحْيَى بْنُ مُحَمَّدٍ، عَنْ مُحَمَّدِ بْنِ إِسْحَاقَ، عَنْ مُحَمَّدِ بْنِ مُسْلِمٍ الزُّهْرِيِّ، عَنْ عُرْوَةَ بْنِ الزُّبَيْرِ، عَنْ عَائِشَةَ، قَالَتْ قَدِمَ زَيْدُ بْنُ حَارِثَةَ الْمَدِينَةَ وَرَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم فِي بَيْتِي فَأَتَاهُ فَقَرَعَ الْبَابَ فَقَامَ إِلَيْهِ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم عُرْيَانًا يَجُرُّ ثَوْبَهُ وَاللَّهِ مَا رَأَيْتُهُ عُرْيَانًا قَبْلَهُ وَلاَ بَعْدَهُ فَاعْتَنَقَهُ وَقَبَّلَهُ ‏.‏ قَالَ أَبُو عِيسَى هَذَا حَدِيثٌ حَسَنٌ غَرِيبٌ لاَ نَعْرِفُهُ مِنْ حَدِيثِ الزُّهْرِيِّ إِلاَّ مِنْ هَذَا الْوَجْهِ ‏.‏

Jami` at-Tirmidhi 2732 Juzuu ya 5 kitabu cha 40 Hadith 2732



NJOO TENA HAPA MUHAMMAD ALIKUWA ANAKAA UCHI MBELE YA MASWAHABA ZAKE

Aisha amesema Mtume wa Allah : “kuwa Mtume alikuwa anakaa uchi mbele ya maswahaba.”

قالت عائشة: أن النبي كان الله: "أن النبي كان جالسًا عريانًا أمام الصحابة".
: Sahihi Muslim Juzu . 4 Ukrasa . 153

KWA NINI MUHAMMAD ALIKUWA ANAUNYONYA WA ULIMI HASSAN NDANI YA MISIKITI?

Imesimuliwa na Abu Huraira

alisema, "Sikuwahi kumwambia sa-al-Hasan bila macho yangu kufurika machozi.

Restless Hustler endelea kupata madini hapa. Leo nipo free nikueleze uislamu ni nini kwa kutumia kitabu chao wala sikashifu dini
 
Muhamad alikuwa akikaa uchi mbele ya wanaume wenzie na kunyonya ulimi wa Hasan kila siju ndani ya Msikiti.

KWANINI MUHAMMAD ALIKUWA SHOGA NA ALIKUWA ANAKAA ANAKAA UCHI MBELE ZA WANAUME USHAHIDI NA KWA NINI MUHAMMAD ALIKUWA ANAUNYONYA ULIMI WA HASAN KILA SIKU NDANI YA MISIKITI JAMANI?

Imesimuliwa 'Aishah: "

Zaid bin Harithah aliwasili Al-Madinah wakati Mtume wa Allah (ﷺ) alikuwa nyumbani kwake. Kwa hivyo alikwenda na kugonga mlango, kwa hivyo Mjumbe wa Allah (ﷺ) alisimama uchi akiburuza nguo yake - na Wallahi! Sikumuona akiwa uchi kabla na baadaye - naye akamkumbatia na kumbusu. Wanasema kuwa maana ya uchi hapa ni kwamba hakuwa amevaa Rida (chupi )yake au kanga ya juu na ndiyo iliyokuwa ikiburuza, kwa hivyo eneo kati ya kitovu na magoti lilifunikwa.

حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ إِسْمَاعِيلَ، حَدَّثَنَا إِبْرَاهِيمُ بْنُ يَحْيَى بْنِ مُحَمَّدِ بْنِ عَبَّادٍ الْمَدَنِيُّ، حَدَّثَنِي أَبُو يَحْيَى بْنُ مُحَمَّدٍ، عَنْ مُحَمَّدِ بْنِ إِسْحَاقَ، عَنْ مُحَمَّدِ بْنِ مُسْلِمٍ الزُّهْرِيِّ، عَنْ عُرْوَةَ بْنِ الزُّبَيْرِ، عَنْ عَائِشَةَ، قَالَتْ قَدِمَ زَيْدُ بْنُ حَارِثَةَ الْمَدِينَةَ وَرَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم فِي بَيْتِي فَأَتَاهُ فَقَرَعَ الْبَابَ فَقَامَ إِلَيْهِ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم عُرْيَانًا يَجُرُّ ثَوْبَهُ وَاللَّهِ مَا رَأَيْتُهُ عُرْيَانًا قَبْلَهُ وَلاَ بَعْدَهُ فَاعْتَنَقَهُ وَقَبَّلَهُ ‏.‏ قَالَ أَبُو عِيسَى هَذَا حَدِيثٌ حَسَنٌ غَرِيبٌ لاَ نَعْرِفُهُ مِنْ حَدِيثِ الزُّهْرِيِّ إِلاَّ مِنْ هَذَا الْوَجْهِ ‏.‏

Jami` at-Tirmidhi 2732 Juzuu ya 5 kitabu cha 40 Hadith 2732



NJOO TENA HAPA MUHAMMAD ALIKUWA ANAKAA UCHI MBELE YA MASWAHABA ZAKE

Aisha amesema Mtume wa Allah : “kuwa Mtume alikuwa anakaa uchi mbele ya maswahaba.”

قالت عائشة: أن النبي كان الله: "أن النبي كان جالسًا عريانًا أمام الصحابة".
: Sahihi Muslim Juzu . 4 Ukrasa . 153

KWA NINI MUHAMMAD ALIKUWA ANAUNYONYA WA ULIMI HASSAN NDANI YA MISIKITI?

Imesimuliwa na Abu Huraira

alisema, "Sikuwahi kumwambia sa-al-Hasan bila macho yangu kufurika machozi.

Restless Hustler endelea kupata madini hapa. Leo nipo free nikueleze uislamu ni nini kwa kutumia kitabu chao wala sikashifu dini
Kila uzi wowote haijalishi mada ni ipi unakuja na bandiko lako la chuki inatatizo gani na uislamu wewe endelea na Imani yako hamna anae kuhitaji kwenye uislamu
 
Kila uzi wowote haijalishi mada ni ipi unakuja na bandiko lako la chuki inatatizo gani na uislamu wewe endelea na Imani yako hamna anae kuhitaji kwenye uislamu
Hivi hiyo mistari aliyotaja ipo kweli au jamaa anadanganya?
 
HILO LI KITABU LA WAVAA KOBAZI LIMEJAA UONGO TELE, WANAJUA ILA HAWANA JINSI,IMANI😜😜😜
 
Muhamad alikuwa akikaa uchi mbele ya wanaume wenzie na kunyonya ulimi wa Hasan kila siju ndani ya Msikiti.

KWANINI MUHAMMAD ALIKUWA SHOGA NA ALIKUWA ANAKAA ANAKAA UCHI MBELE ZA WANAUME USHAHIDI NA KWA NINI MUHAMMAD ALIKUWA ANAUNYONYA ULIMI WA HASAN KILA SIKU NDANI YA MISIKITI JAMANI?

Imesimuliwa 'Aishah: "

Zaid bin Harithah aliwasili Al-Madinah wakati Mtume wa Allah (ﷺ) alikuwa nyumbani kwake. Kwa hivyo alikwenda na kugonga mlango, kwa hivyo Mjumbe wa Allah (ﷺ) alisimama uchi akiburuza nguo yake - na Wallahi! Sikumuona akiwa uchi kabla na baadaye - naye akamkumbatia na kumbusu. Wanasema kuwa maana ya uchi hapa ni kwamba hakuwa amevaa Rida (chupi )yake au kanga ya juu na ndiyo iliyokuwa ikiburuza, kwa hivyo eneo kati ya kitovu na magoti lilifunikwa.

حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ إِسْمَاعِيلَ، حَدَّثَنَا إِبْرَاهِيمُ بْنُ يَحْيَى بْنِ مُحَمَّدِ بْنِ عَبَّادٍ الْمَدَنِيُّ، حَدَّثَنِي أَبُو يَحْيَى بْنُ مُحَمَّدٍ، عَنْ مُحَمَّدِ بْنِ إِسْحَاقَ، عَنْ مُحَمَّدِ بْنِ مُسْلِمٍ الزُّهْرِيِّ، عَنْ عُرْوَةَ بْنِ الزُّبَيْرِ، عَنْ عَائِشَةَ، قَالَتْ قَدِمَ زَيْدُ بْنُ حَارِثَةَ الْمَدِينَةَ وَرَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم فِي بَيْتِي فَأَتَاهُ فَقَرَعَ الْبَابَ فَقَامَ إِلَيْهِ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم عُرْيَانًا يَجُرُّ ثَوْبَهُ وَاللَّهِ مَا رَأَيْتُهُ عُرْيَانًا قَبْلَهُ وَلاَ بَعْدَهُ فَاعْتَنَقَهُ وَقَبَّلَهُ ‏.‏ قَالَ أَبُو عِيسَى هَذَا حَدِيثٌ حَسَنٌ غَرِيبٌ لاَ نَعْرِفُهُ مِنْ حَدِيثِ الزُّهْرِيِّ إِلاَّ مِنْ هَذَا الْوَجْهِ ‏.‏

Jami` at-Tirmidhi 2732 Juzuu ya 5 kitabu cha 40 Hadith 2732



NJOO TENA HAPA MUHAMMAD ALIKUWA ANAKAA UCHI MBELE YA MASWAHABA ZAKE

Aisha amesema Mtume wa Allah : “kuwa Mtume alikuwa anakaa uchi mbele ya maswahaba.”

قالت عائشة: أن النبي كان الله: "أن النبي كان جالسًا عريانًا أمام الصحابة".
: Sahihi Muslim Juzu . 4 Ukrasa . 153

KWA NINI MUHAMMAD ALIKUWA ANAUNYONYA WA ULIMI HASSAN NDANI YA MISIKITI?

Imesimuliwa na Abu Huraira

alisema, "Sikuwahi kumwambia sa-al-Hasan bila macho yangu kufurika machozi.

Restless Hustler endelea kupata madini hapa. Leo nipo free nikueleze uislamu ni nini kwa kutumia kitabu chao wala sikashifu dini
Hizo zinaitwa Hadithi israliati,Hadithi za uongo,wanawake wa kiislamu,hawakai na wanaume,huyo Aisha alimuona saa ngapi,alikaa uchi.
Wewe badala ya kujadili ya Yosef(Joseph) mwenye miaka 89,kumuoa Maria,mjukuu wake wa miaka 14.
Mambo mengi ulioandika,ni uongo mtupu,kuna ilimu ya inaitwa,ILIMU L'HADITH,katika uislamu,mpaka usome elimu hiyo,ndio unaweza kuelewa,habari (hadith),ipi ni ya ukweli na ipi ni ya uongo.
Kasome,kama kitu huna elimu nacho,usikindandie kwa mbele,utaonekana mjinga.
Ni sawa na hapo nimekuonyesha Joseph,alimuoa Maria,akiwa ana miaka 89,na Maria(mama wa Yesu),akiwa na miaka 14.Kwa mashariki ya kati,wanawake wanakuwa na afya na warefu,na wenye afya,tofauti na maeneo mengine,kama China.
Mara nyingi,usilete hoja,bila kuwa na elimu nazo.Kama unasema Allah,alichukuwa udongo wa sura yake,akamuumba mwanadamu,Sio Udongo wenye sura yake,ila ni UDONGO MWEUSI(Black mud).
 
Hizo zinaitwa Hadithi israliati,Hadithi za uongo,wanawake wa kiislamu,hawakai na wanaume,huyo Aisha alimuona saa ngapi,alikaa uchi.
Wewe badala ya kujadili ya Yosef(Joseph) mwenye miaka 89,kumuoa Maria,mjukuu wake wa miaka 14.
Mambo mengi ulioandika,ni uongo mtupu,kuna ilimu ya inaitwa,ILIMU L'HADITH,katika uislamu,mpaka usome elimu hiyo,ndio unaweza kuelewa,habari (hadith),ipi ni ya ukweli na ipi ni ya uongo.
Kasome,kama kitu huna elimu nacho,usikindandie kwa mbele,utaonekana mjinga.
Ni sawa na hapo nimekuonyesha Joseph,alimuoa Maria,akiwa ana miaka 89,na Maria(mama wa Yesu),akiwa na miaka 14.Kwa mashariki ya kati,wanawake wanakuwa na afya na warefu,na wenye afya,tofauti na maeneo mengine,kama China.
Mara nyingi,usilete hoja,bila kuwa na elimu nazo.Kama unasema Allah,alichukuwa udongo wa sura yake,akamuumba mwanadamu,Sio Udongo wenye sura yake,ila ni UDONGO MWEUSI(Black mud).


Kwasababu Mudi ALIOA katoto ka miaka 6.

Mmepotea
 
Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Quran 15 : 26 " We brought man into being out of dry ringing clay which was wrought from black mud "

Waislamu huwa wanapinga Utatu(Trinity), lakini trinity ipo kwenye Kuran.

Katika Biblia, uumbaji ulifanyika kwa Trinity yaani MUNGU Baba(Jehovah), MUNGU Mwana(Yesu) na MUNGU Roho(Roho Mtakatifu).
Ndo mana katika uumbaji kuna wingi , " tumfanye mtu kwa mfano wetu " - Mwanzo 1:26

Tukirejea kwenye Kuran uumbaji umefanyika na wingi (We / Tulimuumba) . Swali : Je , Allah alishiriki na nani katika zoezi la uumbaji?

Ikumbukwe kuwa malaika hawakushiriki katika zoezi la uumbaji.
Ikumbukwe kuna verse Allah ametumia I am na kwanini pale tu , ndipo alitumia wing.
 
Back
Top Bottom