Waislamu hawawezi jibu swali hili : Quran 15 :26 "Trinity"

Waislamu hawawezi jibu swali hili : Quran 15 :26 "Trinity"

Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Quran 15 : 26 " We brought man into being out of dry ringing clay which was wrought from black mud "

Waislamu huwa wanapinga Utatu(Trinity), lakini trinity ipo kwenye Kuran.

Katika Biblia, uumbaji ulifanyika kwa Trinity yaani MUNGU Baba(Jehovah), MUNGU Mwana(Yesu) na MUNGU Roho(Roho Mtakatifu).
Ndo mana katika uumbaji kuna wingi , " tumfanye mtu kwa mfano wetu " - Mwanzo 1:26

Tukirejea kwenye Kuran uumbaji umefanyika na wingi (We / Tulimuumba) . Swali : Je , Allah alishiriki na nani katika zoezi la uumbaji?

Ikumbukwe kuwa malaika hawakushiriki katika zoezi la uumbaji.
Ikumbukwe kuna verse Allah ametumia I am na kwanini pale tu , ndipo alitumia wingi?

 
Mtoa mada unajiskiaje ukigoogle unaambiwa uislamu ndiyo dini inayokuwa kwa haraka hapa duniani?? Et watu zaidi ya bilioni moja hyo aya hawajaielewa ila wewe ndiye uliyeelewa?? Marekani pekee watu 25,000 kila mwaka wanakuwa waislamu baada ya wao wenyewe kuisoma quran na kuielewa,na duniani kwa ujumla ni zaidi ya watu 75,000 wanajiunga na uislamu.mambo ya WE tulishayatolea ufafanuzi zamani kuwa ni "plural of respect" Mungu ni mmoja na hana mshirika
 
Kitu ufaham qur'an inamafumbo mengi sana si rahis kuielewa kama utaki kuiamini.Mungu aliwashirikisha malaika katika kuumbwa mwanadam


Mohammad hakuwa anajua kusoma wala kuandika bali alikuwa anashushiwa wahyi na jibril na maswahaba zake wanaandika View attachment 2456819
Kwahiyo Mungu alishindwa kuumba pekeyako Hadi ashirikiane na Malaika
 
Dini yoyote haijawahi kosa jibu la kujitetea. Ni kufuatilia upepo na kujichosha kujaribu kukosoa dini yoyote. Umewahi sikia juu ya Royal we?
 
Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Quran 15 : 26 " We brought man into being out of dry ringing clay which was wrought from black mud "

Waislamu huwa wanapinga Utatu(Trinity), lakini trinity ipo kwenye Kuran.

Katika Biblia, uumbaji ulifanyika kwa Trinity yaani MUNGU Baba(Jehovah), MUNGU Mwana(Yesu) na MUNGU Roho(Roho Mtakatifu).
Ndo mana katika uumbaji kuna wingi , " tumfanye mtu kwa mfano wetu " - Mwanzo 1:26

Tukirejea kwenye Kuran uumbaji umefanyika na wingi (We / Tulimuumba) . Swali : Je , Allah alishiriki na nani katika zoezi la uumbaji?

Ikumbukwe kuwa malaika hawakushiriki katika zoezi la uumbaji.
Ikumbukwe kuna verse Allah ametumia I am na kwanini pale tu , ndipo alitumia wingi?
wakati Yesu yuko tumboni kwa mama yake je Mariamu alikuwa anamuabudu nani?
 
Mtoa mada unajiskiaje ukigoogle unaambiwa uislamu ndiyo dini inayokuwa kwa haraka hapa duniani?? Et watu zaidi ya bilioni moja hyo aya hawajaielewa ila wewe ndiye uliyeelewa?? Marekani pekee watu 25,000 kila mwaka wanakuwa waislamu baada ya wao wenyewe kuisoma quran na kuielewa,na duniani kwa ujumla ni zaidi ya watu 75,000 wanajiunga na uislamu.mambo ya WE tulishayatolea ufafanuzi zamani kuwa ni "plural of respect" Mungu ni mmoja na hana mshirika
Acha uongo. Ingekuwa ni hivyo kweli ungekuta marekani ishakuwa dola ya kiislamu zamani.
 
Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Quran 15 : 26 " We brought man into being out of dry ringing clay which was wrought from black mud "

Waislamu huwa wanapinga Utatu(Trinity), lakini trinity ipo kwenye Kuran.

Katika Biblia, uumbaji ulifanyika kwa Trinity yaani MUNGU Baba(Jehovah), MUNGU Mwana(Yesu) na MUNGU Roho(Roho Mtakatifu).
Ndo mana katika uumbaji kuna wingi , " tumfanye mtu kwa mfano wetu " - Mwanzo 1:26

Tukirejea kwenye Kuran uumbaji umefanyika na wingi (We / Tulimuumba) . Swali : Je , Allah alishiriki na nani katika zoezi la uumbaji?

Ikumbukwe kuwa malaika hawakushiriki katika zoezi la uumbaji.
Ikumbukwe kuna verse Allah ametumia I am na kwanini pale tu , ndipo alitumia wingi?
Hivi mama Samia anapo sema watanzania wamenituma niwape Salam hua tumempa Salam kweli au ni kutaka kutuwakilisha lakini Salam hua ni yake yeye kama yeye?
 
Back
Top Bottom