Hizo hiden secrets na roho umeztoa wapi au wewe ndo umeawawekea hizo roho?Majestic Plural zinatumika kwa viongozi wakubwa tu(watawala). Kama Malkia na wafalme. Na hidden secret ya utawala wao , hua kuna roho zinamwongoza . Kwa hiyo ndo mana anatumia Tuta- , badala ya Nita-
Mangi na Plural We , wapi na wapi
Kwenye hio image ya pili umesoma ukaelewa?Pope?
Ndio, kwani yupo chini ya nani ? Siyo MUNGU?
Unajua nini kuhusu majestic plural?Hakuna , jipya Boss
Yote nayajua , ndo mana nikasema
Hili si jibu la swali nilo kuulizaRejea jumbe zangu
Hii sio mada ila unataka kuifanya kuwa madaHili si jibu la swali nilo kuuliza
Majestic Plural zinatumika kwa viongozi wakubwa tu(watawala). Kama Malkia na wafalme. Na hidden secret ya utawala wao , hua kuna roho zinamwongoza . Kwa hiyo ndo mana anatumia Tuta- , badala ya Nita-
Mangi na Plural We , wapi na wapi
Kwani msingi wa mada ni nini kama Si hili neno royal we(Majestic plural)?Hii sio mada ila unataka kuifanya kuwa mada
Isaya 21:13Ufunuo(unabii) maana yake ni Utabiri .
Kwenye biblia ya kingereza ufunuo - Prophecy(utabiri)
Na utabiri(ufunuo) wa Saudia Arabia ulikuwa ni vita ya wenyewe kwa wenyewe
Kutokuelewa ndiko kuna kukusumbua
Vipi Binti yakoKwani msingi wa mada ni nini kama Si hili neno royal we(Majestic plural)?
Hizo roho ni kwa mujibu wa nani?Vipi Binti yako
Akisema : Tutanyamaza
Badala ya nitanyamaza , alafu akuimbie wingi ni kuonesha udada(ukubwa). Hey, bro amka , hapo kuna roho mbili - siyo yeye mwenyewe
Bro , hivi unajua kusoma?Wewe ni nani aliyekuambia kuwa hu ufunuo/utabiri wa nabii Isaya kuhusu uzao wa Ishmael alikuwa anawatabiria vita?
Jibu swali hizo roho unazo zisema n kwa mujibu wa nani au kitabu gan?Haujui hapa tupo kwenye mada ya kiroho,
Au unadhani hii physics na english
Boss usinijazie uzi kwa utopolo. Hii mada majestic weJibu swali hizo roho unazo zisema n kwa mujibu wa nani au kitabu gan?
Hili ndo jibu la swali nlo kuuliza?Boss usinijazie uzi kwa utopolo. Hii mada majestic we
Kama We ipo kuonesha ukubwa , basi ingetumika kwa Mwalimu Mkuu -shuleni au Baba -akiwa kwenye familia
Lakini inatumika kwa viongozi wa juu tu
Sihitaji kuziona hizo ''hiden secrets na roho'' , nachotaka utuoneshe hapa hizo hiden secrets na roho umezitoa wapi au katika andiko gan?Unataka vitu vya kiroho nikuthibitishie kimwili?
Wewe unaweza ukanionesha Alah yupo wapi? Mbona simuoni
Rais akisema tumetoa fedha kwa wanachi il hali yeye ndo alotoa izo pesa je anamanisha nn?Kuran 15 : 26 " Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Quran 15 : 26 " We brought man into being out of dry ringing clay which was wrought from black mud "
Waislamu huwa wanapinga Utatu(Trinity), lakini trinity ipo kwenye Kuran.
Katika Biblia, uumbaji ulifanyika kwa Trinity yaani MUNGU Baba(Jehovah), MUNGU Mwana(Yesu) na MUNGU Roho(Roho Mtakatifu).
Ndo mana katika uumbaji kuna wingi , " tumfanye mtu kwa mfano wetu " - Mwanzo 1:26
Tukirejea kwenye Kuran uumbaji umefanyika na wingi (We / Tulimuumba) . Swali : Je , Allah alishiriki na nani katika zoezi la uumbaji?
Ikumbukwe kuwa malaika hawakushiriki katika zoezi la uumbaji.
Ikumbukwe Majestic We zinatumika kwa viongozi tu , na viongozi hao huwa kuna roho zinawaongoza . Ndo mana huwa kuna matumizi ya tuta- na sio nita-
Ikumbukwe kuna verse Allah ametumia I am na kwanini pale tu , ndipo alitumia wingi?