Waislamu kwenye ndoa na mazishi wametuacha mbali sana Wakristo

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Ndugu zangu japo mimi ni mkristo ila hawa ndugu zetu waislamu linapokuja suala la ndoa na mazishi huwa hawana mambo mengi.

Mtu anafariki leo kesho mapema tu anazikwa kama hakutokuwa na safari ya kumsafirisha.

Kwenye ndoa nako hakuna kuremba watu wamependana wakatambulishana kijana wa kiume akaridhia mahari dhidi ya binti ni fasta to ndoa inafungwa.

Mahari zenyewe ni kawaida tu si kama huku kwetu, wanachojali wao ni watu waowane na ndio maana ni ngumu sana kukuta jamii nyingi za Waislamu wanaishi pamoja bila ndoa.
 
Kuna watu huwa wanafanya dhihaka kuwa waislamu mahari ndogo na bla bla kibao,hawajui lengo ni kufanya ndoa iwe nyepesi ili watu wafunge ndoa waepuke zinaa, lkn upande wa pili kwakuwa hamuogopi dhambi huwa mnadunda Tu.
 

Kweli kabisa na mwanamke kazi yake ni kuchakatwa tuu haruhusiqi hata gengeni aende hiyo ni kazi ya mwanaume
 


Ngoja waje mujahidina wa kikristo kukupiga za uso!!, unatoaje siri ya kambi ?!!😀😀
 
Sheria haitaki hivyo Ila inapo bidi muachane Kwa wema kuliko kuja kuuwana


Tena wao (Wakristo) sheria ya talaka inawabana mno, huwezi kumuacha mkeo kwa kosa jingine lolote isipokuwa la uzinifu tu, kwa Waisilamu hiyo hakuna, kama mmechokana basi talaka inaswihi ili kila mmoja akatafute ahueni huko mbele ya safari.
 
Si uhamie huko. Kwani huko ukristo umefungiwa?
 
Nilitaka niolewe nyumbani wakataja mahari jamaa akasema ngoja ajipange. Alirudi baada ya mwaka nikawa nimebadili mawazo. Ningekuwa muislamu ningeshaolewa. Ila daah jamani hizi mahari zetu za kikristo sio fair. Yani wenzio wamemla buuure na wataendelea kumla tu bila kulipa hiyo mahari. Halafu wewe unaenda kutoa milioni kadhaa? Dah poleni wanaume.
 
Kuna watu huwa wanafanya dhihaka kuwa waislamu mahari ndogo na bla bla kibao,hawajui lengo ni kufanya ndoa iwe nyepesi ili watu wafunge ndoa waepuke zinaa,lkn upande wa pili kwakuwa hamuogopi dhambi huwa mnadunda Tu!
Option KWA Christians ni uchumba sugu!!

Miaka kumi bila ndoa kabisa huku kuzaa Watoto Hata tano! Kazi Sana AISEH!!
 
Sasa utafanyeje ndo utaratibu uo..jamaa alitajiwa million ngap??
 
Hamia kwao
Kila dini na taratibu zake
Mbona sisi tumewaacha mbali kwenye umiliki wa shule hospital vyuo

Hapo hujilinganishi nao


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kweli watu wamekula kwa chips kavu na ukimuoa wanaendelea kumla kama kawaida ila ndo utaratb uo atuna jinsi.ila waislam nawakubal sana upande wa ndoa chap tu unamawazo..jamaa mlimuambia M ngap,?
 


Hii pole kama unampa huyo alietaka kutoa mahari hivi?kwamba wenzie wamekula Bure ...yeye atoe mahar??

Hukumpenda huyo jamaa ..umgemwambia atoe barua halafu unabeba mimba....kwenu wenyewe wangeshusha mahari
 
Mkuu

Usijalie kuna mzigo utaenea Muda sio MREFU!

Unaitwa chrislam Dini Mpya ya Dunia Yaani muunganikoe wa dinie ZOTE!

Nadhani tutaoana bila ubaguzi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…