Waislamu Mnafeli wapi?

Hata Mimi mtu akichapia namuona ndo katoka bush anaanza tumia simu bado mshamba

What is ambato
Unajiaibisha. Hiyo bi adjective na neno "Tuvijana" hiyo ni kivumishi au adjective ya kuonesha udogo.

Au kudogosha, nlijua tu ni maamuma wewe.
 
Hayo majini na mashwetwani wanayoyakumbatia na kuyafuga ndio hayo hayo yanayowafanya wauwe na kujilipua, wachukie wasio waaislamu.

Waandamane kukataa kujengwa kwa makanisa, wachome moto makanisa na matendo mengine ya hovyo ambayo sio mazuri kwa mwanadamu mwenye dini na aliye staarabika.

Hakika hayo mapepo yawatoke mana ndio chanzo cha jihadi na ugaidi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nimeshajibu hoja yako kwenye Ile comment yako nyingine
 
Kwanza kabisa elewa tofauti ya dhibitisha na thibitisha.

Pili, swali lako ni logical non sequitur, nikiweza au nisipoweza kuthibitisha kwamba nipo, hoja yangu ya awali iko palepale.

Your question is moot, meaningless.
Unajua wewe ni mjanja mjanja Fulani hivi,mtu asipokujua anaweza kuona una hoja za msingi kumbe hamna lolote
 
Unajua wewe ni mjanja mjanja Fulani hivi,mtu asipokujua anaweza kuona una hoja za msingi kumbe hamna lolote
Tofauti yako na mimi ni kwamba, wewe unanijadili mimi, wakati mimi najadili hoja.

Unaelewa "logical non sequitur" ni nini?
 
Rudi kajifunze upya dini..unapo sali baada ya kumaliza unageuka kulia na kushoto kuwasalimu wakina nani kama sio majini.

Uislamu na majini ni samaki na maji.

#MaendeleoHayanaChama
Hata Malaika nao wanaswali pia,kwahiyo Acha ukuaji mwingi wakati huna lolote unalo jua
 
Tofauti yako na mimi ni kwamba, wewe unanijadili mimi, wakati mimi najadili hoja.

Unaelewa "logical non sequitur" ni nini?
Si ndio ujanja ninao uzungumza

Nimekuuliza je waeza dhibitisha kuwa hakuna Moto,unabakia kurukaruka na Maneno mengi mkuu kama sio janja janja ni nini
 
Si ndio ujanja ninao uzungumza

Nimekuuliza je waeza dhibitisha kuwa hakuna Moto,unabakia kurukaruka na Maneno mengi mkuu kama sio janja janja ni nini
Huyo jamaa hamnaga aachojua achana naye, kama mtu kila kitu anataka uthibitisho Kuna mtu hapo
 
Hakuna Malaika waasi mkuu futa hiyo dhana katika kichwa fasta

Malaika ni viumbe Safi Sana WA Mwenyezi Mungu na ndio wasaidizi wake,hawezi kuwa na viumbe wa ovyo.

Ingia darasani Kwanza ndo uje na hizo hoja zako

Shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…