Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
We ni jini unatabia za majiniKatika ubongo wako wa kidege usioweza kushikilia mambo zaidi ya mawili, kama si binadamu ni jini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni jini unatabia za majiniKatika ubongo wako wa kidege usioweza kushikilia mambo zaidi ya mawili, kama si binadamu ni jini.
Thibitisha majini wapo kikweli nje ya njozi za ubongo wako.We ni jini unatabia za majini
Unajiaibisha. Hiyo bi adjective na neno "Tuvijana" hiyo ni kivumishi au adjective ya kuonesha udogo.Hata Mimi mtu akichapia namuona ndo katoka bush anaanza tumia simu bado mshamba
What is ambato
Hiyo ni kauli yako kama kauli nyengine ambazo unaweza kuzisema bila kulipia kodi yoyoteAllah na Mwenyezi Mungu ni tafauti kabisa.
Hivyo tu
Hayo majini na mashwetwani wanayoyakumbatia na kuyafuga ndio hayo hayo yanayowafanya wauwe na kujilipua, wachukie wasio waaislamu.Naam, Majini hawatakiwi kukaa katika miili ya WanaAdamu. Nawanasihi wenye Majini kwenda kufanyiwa Ruqya ya Kishari'ah na tiba zinazokubalika Kishari'ah ili kuwaondoa Majini. Na wala sio kukaa nao. Msidanganyike na sijui Maruhani sijui Majini Sharifu, ni wahuni hao. Hao ni mashaitwani. Na kama ni Majini Waislam basi watakuwa Majini wabaya wenye kufanya maasi na mambo ya uzushi kama walivyo baadhi ya Waislam katika WanaAdamu. Hivyo hakuna Majini wazuri wanaokalia watu mwilini. Kama ni Waislam kweli waende huko wakamuabudu Allah katika makazi yao.
Mzee wa kuthibitisha in-short huna jipya kila kitu uthibitishiwe utasubiri sanaThibitisha majini wapo kikweli nje ya njozi za ubongo wako.
Nimeshajibu hoja yako kwenye Ile comment yako nyingineUkifika maeneo yaliyo na waislamu wengi kama Kigoma, Pemba, mombasa.
Swala majini utaweza kuliewa kwa mapana zaidi maaana yanakuwepo sana sehemu yenye waislamu watu.
Halafu hapa mi nimeongelea Majini Waislamu ambayo maandiko yenu yanawakubali kama ni viumbe vizuri tu
Hapa siongelei Majini waovu kama mnavyosema. Nayazungumzia yale ambayo mnasema yamesilimu na yanafuata nguzo zote za Uislamu.
Ningekuwa na maongezi na wewe binafsi ningekuambia namna ya kumtambua Jini mwislamu wakati na baada ya Swala.
Ukimwambia kwa utaratibu shehe wako anaweza kukugusia hili swala.
Unajua wewe ni mjanja mjanja Fulani hivi,mtu asipokujua anaweza kuona una hoja za msingi kumbe hamna loloteKwanza kabisa elewa tofauti ya dhibitisha na thibitisha.
Pili, swali lako ni logical non sequitur, nikiweza au nisipoweza kuthibitisha kwamba nipo, hoja yangu ya awali iko palepale.
Your question is moot, meaningless.
Cha zamani hujakiweza, unataka kipya hata nikikupa kipya utakijua hiki kipya?Mzee wa kuthibitisha in-short huna jipya kila kitu uthibitishiwe utasubiri sana
Mkuu usikurupuke Kaka,bakia kwenye hoja Tu, hayo mambo ni madogo Sana ujuena hao bikira 72 na mito ya wine ivi iyo ni mbingu dangulo
Tofauti yako na mimi ni kwamba, wewe unanijadili mimi, wakati mimi najadili hoja.Unajua wewe ni mjanja mjanja Fulani hivi,mtu asipokujua anaweza kuona una hoja za msingi kumbe hamna lolote
Hata Malaika nao wanaswali pia,kwahiyo Acha ukuaji mwingi wakati huna lolote unalo juaRudi kajifunze upya dini..unapo sali baada ya kumaliza unageuka kulia na kushoto kuwasalimu wakina nani kama sio majini.
Uislamu na majini ni samaki na maji.
#MaendeleoHayanaChama
Si ndio ujanja ninao uzungumzaTofauti yako na mimi ni kwamba, wewe unanijadili mimi, wakati mimi najadili hoja.
Unaelewa "logical non sequitur" ni nini?
Huyo jamaa hamnaga aachojua achana naye, kama mtu kila kitu anataka uthibitisho Kuna mtu hapoSi ndio ujanja ninao uzungumza
Nimekuuliza je waeza dhibitisha kuwa hakuna Moto,unabakia kurukaruka na Maneno mengi mkuu kama sio janja janja ni nini
Huna kipya, alafu unavyokomalia uthibitishiwe who are youCha zamani hujakiweza, unataka kipya hata nikikupa kipya utakijua hiki kipya?
Mungu kashindwa kukupa utajiri?Majini wanatupa utajiri bwashee, kwann tusishirikiane nao?
Wao pia ni viumbe wa Allah
Mbn wengine wanafuga kuku na ng'ombe?
Hakuna Malaika waasi mkuu futa hiyo dhana katika kichwa fastaHii dunia imejaa udanganyifu mwingi sana.
Kiukweli kabisa hakuna kiumbe kinachoitwa "jini". Shetani na Jini hawana tofauti yoyote ile. Ni majina tu tofauti lakini kiumbe ni yule yule.
Kuna Malaika watiifu kwa MUNGU na pia kuna Malaika waasi. Hao malaika waasi ndio wakapewa jina na kuitwa "Mashetani" yaani maana yake "Maadui".
Sass hao malaika waasi kwa sababu wao ni "wadanganyifu" wamekuwa wakiwatokea Wadamu katika maumbo na sura tofauti tofauti na kujifanya kuwasaidia Wanadamu.
Dhana ya kusema eti kuna Majini mazuri, majini mabaya, na Mashetani ni mbinu ya Malaika waovu (Shetani) kuwapotosha wanadamu. Hizo ni roho zidanganyazo tena zina uwezo wa kujibadilisha na kufanana kabisa na Malaika watiifu.
Ndiyo maana mnaambiwa; "itafuteni KWELI na hiyo KWELI itawaweka huru.
Kivipi yaani wakati nimesema watu wasishirikiane nao,au wenzetu mnaelewa mambo vise versaKumbe wee huyachukii??
Ha ha ha ha