Waislamu tuandamane kupinga vita Sudan

Waislamu tuandamane kupinga vita Sudan

Ndio umeweka jina la huyo eunuch?

Hebu nitajie jina la eunuch mmoja tu kutoka kanisa lenu hivi sasa kwa tafsiri hiyo unayoitaka wewe na kanisa lenu
Acha kulazimisha. Sasa hiyo haya hapo vipi?
 
Acha kulazimisha. Sasa hiyo haya hapo vipi?

Jibu swali

Ndio umeweka jina la huyo eunuch?

Hebu nitajie jina la eunuch mmoja tu kutoka kanisa lenu hivi sasa kwa tafsiri hiyo unayoitaka wewe na kanisa lenu
 
Waislamu wote tuandamane kuelekea ubalozi wa Marekani na Israel kupinga vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

Licha ya kuandamana viongozi wa dini watoe tamko la kushutumu vikali vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe hasa mwezi huu mtukufu.
Sasa balozi za Marekani na Israel zinahusikaje?
 
Waislamu wote tuandamane kuelekea ubalozi wa Marekani na Israel kupinga vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

Licha ya kuandamana viongozi wa dini watoe tamko la kushutumu vikali vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe hasa mwezi huu mtukufu.
Acha mihemuko wewe

Uislamu haujatufundisha kitu kinaitwa maandamano
Ukiandamana ina maana unampinga mtawala wako na ni haki yako kuadhibiwa

Bani israil waliteswa na firauni miaka na miaka lakini hawakuandamana wala kutaka kumuua kiongozi dhalimu yule ila walisubiri mpka wakaokolewa na Mussa

Sasa leo hii Muislamu nikimuona anaandamana mm namuona hamnazo tu
 
Acha mihemuko wewe

Uislamu haujatufundisha kitu kinaitwa maandamano
Ukiandamana ina maana unampinga mtawala wako na ni haki yako kuadhibiwa

Bani israil waliteswa na firauni miaka na miaka lakini hawakuandamana wala kutaka kumuua kiongozi dhalimu yule ila walisubiri mpka wakaokolewa na Mussa

Sasa leo hii Muislamu nikimuona anaandamana mm namuona hamnazo tu
😆😆😆😆👆🏿👆🏿👆🏿👆🏿👆🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
 
Waislamu ninyi ni wapumbavu mno ,hivi mnakubali vip kuchonganishwa na wamarekani !? Basi mtakuwa na akili za kuku nyinyi!
 
Waislamu wote tuandamane kuelekea ubalozi wa Marekani na Israel kupinga vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

Licha ya kuandamana viongozi wa dini watoe tamko la kushutumu vikali vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe hasa mwezi huu mtukufu.
Wewe jamaa sio muislamu acha ulevi
 
Waislamu wote tuandamane kuelekea ubalozi wa Marekani na Israel kupinga vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

Licha ya kuandamana viongozi wa dini watoe tamko la kushutumu vikali vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe hasa mwezi huu mtukufu.
Wewe jamaa sio muislamu acha ule
 
Ni mataifa ovu Marekani na Israel kawachonganisha. Wakati wa Al Bashir hali ilikuwa shwari kwasababu aliegemea Urusi.
Huyo Al Bashir Unakumbuka alivyoua maelf Huko Darfur? Sasa Ni zamu yao Kulipa walivyofanya kwa Wengine..!
 
Waislamu wote tuandamane kuelekea ubalozi wa Marekani na Israel kupinga vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

Licha ya kuandamana viongozi wa dini watoe tamko la kushutumu vikali vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe hasa mwezi huu mtukufu.
Sasa vita inapiganwa sudani wewe unaenda ubalozi ww marekani ili iweje
 
Waislamu wote tuandamane kuelekea ubalozi wa Marekani na Israel kupinga vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

Licha ya kuandamana viongozi wa dini watoe tamko la kushutumu vikali vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe hasa mwezi huu mtukufu.
Hamna kazi za kufanya
 
Back
Top Bottom