Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kulazimisha. Sasa hiyo haya hapo vipi?Ndio umeweka jina la huyo eunuch?
Hebu nitajie jina la eunuch mmoja tu kutoka kanisa lenu hivi sasa kwa tafsiri hiyo unayoitaka wewe na kanisa lenu
Mpka kunya tenaaa...Allah lasul katika quran takatifu surat al qalbul de mariam aya ya 8:10 ametuasa eewe muislam ukitukanwana muislamu mwenzio chutama kunya na ujitawaze na uende zako bila mabishano.
Allah and his beloved prohet are my shaheed.
hydroxo The Icebreaker
mjiuwe muende binguni bikira zina wasubir hukoMleta uzi ni kafiri kama nyinyi. Amekuja kuukejeli Uislam.
Acha kulazimisha. Sasa hiyo haya hapo vipi?
Sasa balozi za Marekani na Israel zinahusikaje?Waislamu wote tuandamane kuelekea ubalozi wa Marekani na Israel kupinga vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
Licha ya kuandamana viongozi wa dini watoe tamko la kushutumu vikali vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe hasa mwezi huu mtukufu.
Sasa balozi za Marekani na Israel zinahusikaje?
Acha mihemuko weweWaislamu wote tuandamane kuelekea ubalozi wa Marekani na Israel kupinga vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
Licha ya kuandamana viongozi wa dini watoe tamko la kushutumu vikali vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe hasa mwezi huu mtukufu.
😆😆😆😆👆🏿👆🏿👆🏿👆🏿👆🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿Acha mihemuko wewe
Uislamu haujatufundisha kitu kinaitwa maandamano
Ukiandamana ina maana unampinga mtawala wako na ni haki yako kuadhibiwa
Bani israil waliteswa na firauni miaka na miaka lakini hawakuandamana wala kutaka kumuua kiongozi dhalimu yule ila walisubiri mpka wakaokolewa na Mussa
Sasa leo hii Muislamu nikimuona anaandamana mm namuona hamnazo tu
Swali zuri sanaNaomba unitajie sababu za Sudani kupigana wenyewe kwa wenyewe
Huyo siyo Muisilamu Bali ni msilamuNdio maana waislamu mnadharaulika muda mwingine.
Wewe jamaa sio muislamu acha uleviWaislamu wote tuandamane kuelekea ubalozi wa Marekani na Israel kupinga vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
Licha ya kuandamana viongozi wa dini watoe tamko la kushutumu vikali vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe hasa mwezi huu mtukufu.
Wewe jamaa sio muislamu acha uleWaislamu wote tuandamane kuelekea ubalozi wa Marekani na Israel kupinga vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
Licha ya kuandamana viongozi wa dini watoe tamko la kushutumu vikali vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe hasa mwezi huu mtukufu.
Nyuma yake mnaifanyaje?Takbir Takbir Takbir.
Mleta mada tangulia mbele sisi tupo nyuma yako hapo nyuma kabisa.
Huyo Al Bashir Unakumbuka alivyoua maelf Huko Darfur? Sasa Ni zamu yao Kulipa walivyofanya kwa Wengine..!Ni mataifa ovu Marekani na Israel kawachonganisha. Wakati wa Al Bashir hali ilikuwa shwari kwasababu aliegemea Urusi.
Ilmu yako ni ndogoHuna haki ya kuniondoa kwenye uislamu na hiyo nakuhakikishia hutaweza. Allah na mtume wake watanitetea.
Allah Lasul na mtume wake wallahi ni shaheed. Allah and his prophet will always protect me.
Sasa vita inapiganwa sudani wewe unaenda ubalozi ww marekani ili iwejeWaislamu wote tuandamane kuelekea ubalozi wa Marekani na Israel kupinga vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
Licha ya kuandamana viongozi wa dini watoe tamko la kushutumu vikali vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe hasa mwezi huu mtukufu.
Hamna kazi za kufanyaWaislamu wote tuandamane kuelekea ubalozi wa Marekani na Israel kupinga vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
Licha ya kuandamana viongozi wa dini watoe tamko la kushutumu vikali vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe hasa mwezi huu mtukufu.