Waislamu Waafrika waliosoma madrasa wanaweza kuongea lugha ya kiarabu kwa ufasaha na weledi?

Hii ni kwenye written tu ? Au mpaka kwenye oral?
Hata kwenye oral maneno yanayosomwa kwenye quran yana utofauti na wanayoongea waarabu japo baadhi ya maneno huingiliana kotekote yapo.
Mfano wa maneno ambayo kote kwenye Quran na kiarabu yapo
1.Kullu-Kila
2.Qul-Sema
3.Mai-maji
4.Twaama-Chakula
5.Fukara-fukara
 
Reactions: Lax

Nimewaeleza hapo juu lakini wala hawataki kuelewa. Wala nia yao hawa watu sio kujifunza. NIA YAO NI KUUKASHIFU UISLAMU
Hiawezekani ukauliza jambo kisha ukafahamishwa halafu unabishana na anayekufahamisha. Ina maana una jibu lako ndio mana unabisha. Sasa umeuliza ya nini kama kila anayekueleza unabishana naye na unataka msimamo wako ndio tuusikie.

HAWA WENZENTU WAMETUMWA KUUCHAFUA UISLAMU NA INAWEZEKANA HATA WAKAWA WAPO KAZINI WANALIPWA KWA HILO

LAKINI KAMWE HAWAWEZI CHOCHOTE WANAHANGAIKA TU
 
Ila huyu mtoa mada namsifu amejitahidi kutumia lugha nzuri kwa kias chake na pia sisi tuwajibu hivi hivi kwa kiungwana tutaelewana tu
 
Naam, issue ya kutoonesha irabu ni kwenye written tu
 
Sio kweli hata kidogo.
 

Bro wakija wenyewe mii simo. Maana kuna siku niliwahi kuuliza hapa kama uislam ni chombo au mpango wa waarabu kueneza tamaduni, mila na zao. Walikuwa mbogo. Badala ya kushambulia hoja, wakamshambulia mtoa hoja.
 
Majadiliano hukuza uelewa mkuu, deep questioning, deep answering huko ulaya na amerika wengi wanabadili dini baada ya majadiliano. Kikubwa lugha ya kiungwana tu itumike
 
Majibu yashatolewa kote unless tu hujasoma, Mkuu mngoni ametoa Majibu mazuri tu.

Quran inatokana na Fus'ha classical Arabic ya wakati huo, kama huyo sheikh alivyokwambia ila kuifanya iwe rahisi kusomeka na hata wasio kuwa waarabu yakatumika maandishi rahisi kuyasoma yakawekwa irabu na viashiria vingine kMa hapa uvute, hapa ukaze etc.

So ni rahisi kusoma Quran hata kama sio mwarabu, binafsi naweza kusoma Quran ila Kiarabu mpaka nikaze sana na maneno mengi yatanishinda.

Hili ni shairi la kiswahili ambalo lime tumia Lugha ya kiarabu cha kwenye Quran kuandika


Unaona hivyo mistari vimepita juu na chini? Hizo ni irabu na alama nyengine kukusaidia kusoma,

Ila kiarabu chenyewe kinakua kama hivi


So kiarabu cha Quran hata wewe ukipigwa msasa wiki tu unaweza kuanza kusoma, ila kiarabu chenyewe inabidi ukae darasani kujifunza.
 
Mpaka hapa hakuna tena maana ya kushiriki kwenye huu mdahalo, ni wazi kuwa mtoa mada ana majibu yake anayoyahitaji. Anauliza swali anajibiwa anabisha sasa mbona uulize wakati majibu yako inayo??
 
Hapa ndio hua wananichanganya kwamba kuran imeandikwa kwakiarabu ila kiarabu ni lugha tofaut na kuran, yan unaweza kuijua koran nzima kuisoma nakuitafsiri ila ukashindwa kukijua kiarabu
 
Kwenye shule za Kiislamu kiarabu kinafundishwa kama (Arabic language) na somo la dini (Islamic knowledge)
Kwa kuna umuhimu kujua kiarabu ili uelewe zaidi Quran
 

Hapana hii inategemea. Madrasa zetu nyingi hazitilii mkazo katika kujifunza lugha ya Kiarabu. Zile ambazo zinafundisha Kiarabu hazifundishi kwa undani sana.

Ila ukitaka uijue Dini ya Kiislamu vizuri lazima usome Kiarabu na ukijue. Hii inataka muda na juhudi kubwa.

Qur'an ni muujiza ndio maana mtu yoyote ambaye hakijui Kiarabu anaweza kuihifadhi Qur'an na akaisoma kwa ufasaha, hata akiwa hajui maana yake. Kwa vitabu vingine hili ni muhali.
 

Hao ni asilimia ngapi ya jamii ya watanzania?
Pia unadhani mazingira ya lugha (linguistic environment) ya kiarabu hapa Tanzania 🇹🇿 yanamsaidia mtu wa kawaida kuielewa lugha hiyo inavyopaswa?
Au ni kukalili yale maneno ya kwenye swala tano ndiyo kuna mfanya mtu aonekane anajua kiarabu?
Ninachojua kiarabu kina maneno mengi sana zaidi ya yale mnayoyatumia kwenye swala 5 na adhana.
 
Yani wewe mmatumbi huoni aibu kusema kiarabu ni lugha yako? Huu ni utumwa wa kiakili wa viwango vya juu sana.

Kiarabu ni lugha yetu sisi Waislamu na tunajivunia sana.

Sababu kama unataka kuijua dini ya Kiislamu vizuri ni lazima ujifunze lugha ya Kiarabu.

Lakini, kingine hakuna lugha ambayo imehudumiwa na kuhifadhiwa vizuri sana kuzidi lugha ya Kiarabu. Hapa tuweke mapenzi pembeni.
 

Hapo tujiulize swali. Je kiarabu cha awali/zamani pia kiliandikwa bila irabu (vowels; a, e, i, o & u)?

Maoni yangu ni kuwa lugha iliyoandikwa kwenye kuruwan kuna kipindi itakufa. Hakutakuwa na lugha inayofanana nayo. Hiyo ni kwa sababu kila lugha maneno yake mengi tu huzaliwa, hukua na kufa. Sasa kama lugha ya kuruwan haiendani na sheria hii ya lugha, basi itapitwa na wakati. Katika maana ya kuwa itaendelea kitumia maneno ya zamani ambayo hayapo tena katika lahaja za kisasa za lugha ya kiarabu.
 
Wakiristo waliosoma Magomeni Mwakinya St Joseph secondary school wakienda ulaya wanaongea kidhungu? Au ndio hello hello

Ukitumia msingi huo huo. Je mswahili aliyesomeshwa kiarabu madrasa pekee, ataweza kuongea kiarabu na muarabu wa Oman? Achilia mbali muarabu wa Zanzibar.
CC: Yoda
 
Si ilishushwa kwa mtume na watu wanaoongea lugha hiyo. Sasa ulitegemea iwe ya kiswahili. Vitabu vyote vya dini viliandikwa kwa lugha zao . Kilichotakiwa ni viongozi kufanya juhudi za kufundisha Quran kwa lugha zinazotumiwa na watu mbalimbali
Lugha Hutambulisha jamii.
Kama Quran ilishushwa ikiwa na ujumbe wa kiarabu Maana yake walengwa walikuwa ni waarabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…