mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Hata kwenye oral maneno yanayosomwa kwenye quran yana utofauti na wanayoongea waarabu japo baadhi ya maneno huingiliana kotekote yapo.Hii ni kwenye written tu ? Au mpaka kwenye oral?
Kitu ambacho wakristo wengi hawaelewi.
Busara ya kuacha Qur-an katika lugha yake ya asili ni kuepuka maandiko kupotea, huwezi kufasiri exactly kitu kutoka kwenye lugha moja kwenda kwenye lugha nyingine lazima kuna maana itapotea. Na ndio mana hata Qur-an imebaki kwenye classical Arabic ambayo hakuna anayezungumza kwa sasaivi! Kama ilivyokuwa old English au latin. Ingekuwa rahisi basi ungeona Qur-an imeshafasiriwa kwenda kwenye Modern Standard Arabic lakini la hasha, huwezi kukuta hiko kitu. Eti Qur-an ya kiswahili, au kihaya NEVER. Mwenyezimungu aliapa kukilinda hiki kitabu kitakatifu na kitabaki kama kilivyoshushwa haijalishi itapita miaka mingapi
saivi ukijaribu kuifasiri Qur-an kutoka kwenye classical arabic (lugha iliyokomaa kimsamiati) ukaleta kwenye kiswahili bila kupoteza maana! Haiwezekani
Na hii ndiyo inayofanya bible kupoteza muundo wake kadiri miaka inavyoenda (No hard feelings) hata sisi waislamu tunaamini katika Zaburi, Injili na torati lakini sio hii iliyopinduliwa pinduliwa!
Ila huyu mtoa mada namsifu amejitahidi kutumia lugha nzuri kwa kias chake na pia sisi tuwajibu hivi hivi kwa kiungwana tutaelewana tuNimewaeleza hapo juu lakini wala hawataki kuelewa. Wala nia yao hawa watu sio kujifunza. NIA YAO NI KUUKASHIFU UISLAMU
Hiawezekani ukauliza jambo kisha ukafahamishwa halafu unabishana na anayekufahamisha. Ina maana una jibu lako ndio mana unabisha. Sasa umeuliza ya nini kama kila anayekueleza unabishana naye na unataka msimamo wako ndio tuusikie.
HAWA WENZENTU WAMETUMWA KUUCHAFUA UISLAMU NA INAWEZEKANA HATA WAKAWA WAPO KAZINI WANALIPWA KWA HILO
LAKINI KAMWE HAWAWEZI CHOCHOTE WANAHANGAIKA TU
Naam, issue ya kutoonesha irabu ni kwenye written tuHata kwenye oral maneno yanayosomwa kwenye quran yana utofauti na wanayoongea waarabu japo baadhi ya maneno huingiliana kotekote yapo.
Mfano wa maneno ambayo kote kwenye Quran na kiarabu yapo
1.Kullu-Kila
2.Qul-Sema
3.Mai-maji
4.Twaama-Chakula
5.Fukara-fukara
Sio kweli hata kidogo.Mkuu, huko Madrasa watoto wanafundishwa kwa mfumo wa lugha kama zilivyo lugha nyingine. Kwa maana ya kwamba a b c d & a e i o u.
Wanafundishwa vyema kabisa, ndio maana mwanafunzi bora anayezingatia mafunzo ana uwezo wa kukifahamu Kiarabu kwa ufasaha.
Hivi ukiwa muislamu uliyesoma dini madrasa automatically unakuwa na uwezo wa kuzungumza Kiarabu kwa ufasaha na weledi? Unaweza kufika uarabuni mkazungumza na mwarabu mkaelewana vizuri au huwa cha kuzungumza nje ya dini ni cha kuombea maji ya kunywa tu?
Huwa naona wengi wanaweza kunukuu Quran kwa kiarabu na pia hata katika kuswali kinatumika kiarabu.
Majadiliano hukuza uelewa mkuu, deep questioning, deep answering huko ulaya na amerika wengi wanabadili dini baada ya majadiliano. Kikubwa lugha ya kiungwana tu itumikeNimewaeleza hapo juu lakini wala hawataki kuelewa. Wala nia yao hawa watu sio kujifunza. NIA YAO NI KUUKASHIFU UISLAMU
Hiawezekani ukauliza jambo kisha ukafahamishwa halafu unabishana na anayekufahamisha. Ina maana una jibu lako ndio mana unabisha. Sasa umeuliza ya nini kama kila anayekueleza unabishana naye na unataka msimamo wako ndio tuusikie.
HAWA WENZENTU WAMETUMWA KUUCHAFUA UISLAMU NA INAWEZEKANA HATA WAKAWA WAPO KAZINI WANALIPWA KWA HILO
LAKINI KAMWE HAWAWEZI CHOCHOTE WANAHANGAIKA TU
Majibu yashatolewa kote unless tu hujasoma, Mkuu mngoni ametoa Majibu mazuri tu.Nimejaribu kufatilia huu mjadala toka mwanzo sijaona jibu la mwislamu yeyote kutoa jibu fasaha kuhusu lugha iliyoandikwa kwenye korani inaonekana wengi wenu ni wale fata mkumbo au umezaliwa ktk familia ya kiislamu lakini ukuwai kudadisi masuala ya dini yako uliyoirithi toka kwa wazazi wako.
Nilijaribu kuwauliza marafiki zangu waisalamu kwenye kijiwe cha kahawa .
Kuna ustaadh mmoja hivi anajua sana masuala ya dini anatokea msikiti maarufu kwa jina la ngamia mburahati.
Alinijibu kwamba Korani imeandikwa kwa kutumia lugha ambayo ipo ktk jamii fulani kwenye kijiji na hadi leo hii hiyo jamii hipo na wanazungumza hiyo lugha, tufanye hapa wangechukua mfano lugha ya( kizanaki) ingetumbukizwa kwenye korani ingekosa irabu a,ei,o,u
Mpaka hapa hakuna tena maana ya kushiriki kwenye huu mdahalo, ni wazi kuwa mtoa mada ana majibu yake anayoyahitaji. Anauliza swali anajibiwa anabisha sasa mbona uulize wakati majibu yako inayo??Nimewaeleza hapo juu lakini wala hawataki kuelewa. Wala nia yao hawa watu sio kujifunza. NIA YAO NI KUUKASHIFU UISLAMU
Hiawezekani ukauliza jambo kisha ukafahamishwa halafu unabishana na anayekufahamisha. Ina maana una jibu lako ndio mana unabisha. Sasa umeuliza ya nini kama kila anayekueleza unabishana naye na unataka msimamo wako ndio tuusikie.
HAWA WENZENTU WAMETUMWA KUUCHAFUA UISLAMU NA INAWEZEKANA HATA WAKAWA WAPO KAZINI WANALIPWA KWA HILO
LAKINI KAMWE HAWAWEZI CHOCHOTE WANAHANGAIKA TU
Hapa ndio hua wananichanganya kwamba kuran imeandikwa kwakiarabu ila kiarabu ni lugha tofaut na kuran, yan unaweza kuijua koran nzima kuisoma nakuitafsiri ila ukashindwa kukijua kiarabu
Hivi ukiwa muislamu uliyesoma dini madrasa automatically unakuwa na uwezo wa kuzungumza Kiarabu kwa ufasaha na weledi? Unaweza kufika uarabuni mkazungumza na mwarabu mkaelewana vizuri au huwa cha kuzungumza nje ya dini ni cha kuombea maji ya kunywa tu?
Huwa naona wengi wanaweza kunukuu Quran kwa kiarabu na pia hata katika kuswali kinatumika kiarabu.
Kwanza Kiarabu ni lugha kama zilivyo Kiswahili, Kiingereza n.k
Kiarabu sio Kiislam bali ni lugha iliyotumika kushushiwa Quran.
Hivyo basi, wapo wanaokielewa Kiarabu vyema kabisa na binafsi nina ndugu wenye uwezo wa kuzungumza Kiarabu kwa ufasaha na ni kweli walijifunza hukohuko Madrasa na wengine walipata nafasi ya kuongeza maarifa huko Arabuni.
Yani wewe mmatumbi huoni aibu kusema kiarabu ni lugha yako? Huu ni utumwa wa kiakili wa viwango vya juu sana.
Kwamba kuna watu wanajua Kiarabu fasaha lakini hawawezi kusoma na kuelewa Quran?!
Quran imeandikwa kiarabu ila kiarabu si Quran maandishi ya kiarabu yanatofautiana na ya kwenye Quran kwa kuwa huwa hayana irabu(aeiou) kwa hyo anaesoma Quran tupu hawez kusoma kiarabu unless amesoma kiarabu ama kwa lugha nyingine kiarabu kinasomwa kwa kujua maana na muundo wa maneno.
Je kuna umuhimu wa kufahamu kiarabu?
Wakiristo waliosoma Magomeni Mwakinya St Joseph secondary school wakienda ulaya wanaongea kidhungu? Au ndio hello hello
Lugha Hutambulisha jamii.Si ilishushwa kwa mtume na watu wanaoongea lugha hiyo. Sasa ulitegemea iwe ya kiswahili. Vitabu vyote vya dini viliandikwa kwa lugha zao . Kilichotakiwa ni viongozi kufanya juhudi za kufundisha Quran kwa lugha zinazotumiwa na watu mbalimbali
Kumbe na yeye ni MwarabuKwa kuwa allahu hajui lugha nyingine zaidi ya kiarabu, basi hilo ni shurti