Waislamu wanatubeba sana!!

Waislamu wanatubeba sana!!

They dominate and represent Tanzania in many aspects of life:

1. Football
70% of Simba, Yanga and Azam first eleven teams are dominated by Muslim players.

[UPDATE from DeepPond]:
  • Azam FC inadhaminiwa na Bakhresa.
  • Yanga inadhaminiwa na GSM.
  • Simba inadhaminiwa na Mo.
Not to mention the likes of Mbwana Samatta who shines our name internationally!
View attachment 2049955

2. Boxing
Nothing to say here. Check these names:
Hassan Mwakinyo
Dullah Mbabe
Twaha Kiduku
View attachment 2049956
3. Basketball
Kuna anaemjua successful basketball player other than Hashim Thabit?
View attachment 2049957
4. Muziki
[emoji3][emoji3] Tuseme nini hapa.
Muziki genres karibu zote hapa kuanzia Taarab, Dansi, Urban, Singeli zote ziko dominated nao.
Chibu Dangote, Alikiba, Konde, Raymond Shaaban, Lovebyte, Zuchu, Mbosso, Aslay, Marioo.
View attachment 2049959
Tuendelee?? Alichoki, Late Banza Stone, Mwinjuma, Nasma Kidogo, Malkia Khadija Kopa, Mzee Yusuph, Isha Mashauzi, Late TX Moshi, Late Marijani jabali la muziki, Komandoo Hamza Kalala.

5. Wealth:
Top ten billionaire list in Tanzania is dominated by them. I don't want to mention them. Wanafahamika.

View attachment 2049961
5. Leadership/Governance
Historians (and political experts) agree that awamu zilizotawaliwa na Muslim presidents ndizo zilikua na economic reforms, political stability, hata diplomatic relations na nchi za nje ziliimarika.
Don't mention Ugandan war ilitokea awamu gani, don't mention mauaji ya Mwembechai yalitokea awamu gani.
View attachment 2049963
Food for Thought: Is it a coincidence that all Muslim Presidents are still alive up to date!!!

========≠======
UPDATE: 6. Struggle for Independence:
Ni vigum mno, sana tena sana kutenganisha juhudi za kupigania uhuru wa Tanzania (both mainland and Zanzibar) na uislamu.

Kwenye baraza la wazee TANU mwaka 1961, liliundwa na watu 15, waislamu walikua 13 (JKN yule paleeeee)
View attachment 2051407
Kwa kweli wako juu !! Hongereni sana ,maana hata 99% ya magaidi, bokoharam, na wengineo ni wao.
 
hhhhhhhh sawaa
kwaio unaiamini iyo biblia ambayo watu wakijisikia tuu wanaweka agano jipya?
Yesu hakuoa,hakuingia kanisani,hakua mkristo, sasa ww mbona unayafanya hyo yote kma kweli unamfuata Yesu?

Nipe andiko kua Yesu kaingia kanisani,wapi bible inasema kua ni kitabu kisicho na shaka ndani yake hlf ndo nitakuona kweli unamfuata Yesu
Sema tu kama unataka niingie Msikitini ili tu unikutanishe na wale Jamaa walewale wale waliosilimu ili unitambulishe na mimi kwao.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Maana sioni fundisho la kustaajabisha zaidi ya hilo. Kuswali na wale mamjamaa.
 
Sema tu kama unataka niingie Msikitini ili tu unikutanishe na wale Jamaa walewale wale waliosilimu ili unitambulishe na mimi kwao.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Maana sioni fundisho la kustaajabisha zaidi ya hilo. Kuswali na wale mamjamaa.
Sorry. Unamaanisha baba yako alisilimu? Akakuacha wewe kwenye Ukristo?
 
Sema tu kama unataka niingie Msikitini ili tu unikutanishe na wale Jamaa walewale wale waliosilimu ili unitambulishe na mimi kwao.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Maana sioni fundisho la kustaajabisha zaidi ya hilo. Kuswali na wale mamjamaa.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] lete andiko basi wa ayo nilokwambia apo juu
 
They dominate and represent Tanzania in many aspects of life:

1. Football
70% of Simba, Yanga and Azam first eleven teams are dominated by Muslim players.

[UPDATE from DeepPond]:
  • Azam FC inadhaminiwa na Bakhresa.
  • Yanga inadhaminiwa na GSM.
  • Simba inadhaminiwa na Mo.
Not to mention the likes of Mbwana Samatta who shines our name internationally!
View attachment 2049955

2. Boxing
Nothing to say here. Check these names:
Hassan Mwakinyo
Dullah Mbabe
Twaha Kiduku
View attachment 2049956
3. Basketball
Kuna anaemjua successful basketball player other than Hashim Thabit?
View attachment 2049957
4. Muziki
[emoji3][emoji3] Tuseme nini hapa.
Muziki genres karibu zote hapa kuanzia Taarab, Dansi, Urban, Singeli zote ziko dominated nao.
Chibu Dangote, Alikiba, Konde, Raymond Shaaban, Lovebyte, Zuchu, Mbosso, Aslay, Marioo.
View attachment 2049959
Tuendelee?? Alichoki, Late Banza Stone, Mwinjuma, Nasma Kidogo, Malkia Khadija Kopa, Mzee Yusuph, Isha Mashauzi, Late TX Moshi, Late Marijani jabali la muziki, Komandoo Hamza Kalala.

5. Wealth:
Top ten billionaire list in Tanzania is dominated by them. I don't want to mention them. Wanafahamika.

View attachment 2049961
5. Leadership/Governance
Historians (and political experts) agree that awamu zilizotawaliwa na Muslim presidents ndizo zilikua na economic reforms, political stability, hata diplomatic relations na nchi za nje ziliimarika.
Don't mention Ugandan war ilitokea awamu gani, don't mention mauaji ya Mwembechai yalitokea awamu gani.
View attachment 2049963
Food for Thought: Is it a coincidence that all Muslim Presidents are still alive up to date!!!

========≠======
UPDATE: 6. Struggle for Independence:
Ni vigum mno, sana tena sana kutenganisha juhudi za kupigania uhuru wa Tanzania (both mainland and Zanzibar) na uislamu.

Kwenye baraza la wazee TANU mwaka 1961, liliundwa na watu 15, waislamu walikua 13 (JKN yule paleeeee)
View attachment 2051407
Hakika kama Taifa kuna watu fikra zao zimelemaa sana. Karne hii ya sasa ya sayansi na Teknolojia bado kuna watu mnawaza udini? Kwamba uislamu na ukristu kipi ni bora? That's why tunaonekana as shit hole countries..

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Kumbuka kuna uislam na waislam, ktk uislam hayo Mambo yote Ni haraam
 
They dominate and represent Tanzania in many aspects of life:

1. Football
70% of Simba, Yanga and Azam first eleven teams are dominated by Muslim players.

[UPDATE from DeepPond]:
  • Azam FC inadhaminiwa na Bakhresa.
  • Yanga inadhaminiwa na GSM.
  • Simba inadhaminiwa na Mo.
Not to mention the likes of Mbwana Samatta who shines our name internationally!
View attachment 2049955

2. Boxing
Nothing to say here. Check these names:
Hassan Mwakinyo
Dullah Mbabe
Twaha Kiduku
View attachment 2049956
3. Basketball
Kuna anaemjua successful basketball player other than Hashim Thabit?
View attachment 2049957
4. Muziki
[emoji3][emoji3] Tuseme nini hapa.
Muziki genres karibu zote hapa kuanzia Taarab, Dansi, Urban, Singeli zote ziko dominated nao.
Chibu Dangote, Alikiba, Konde, Raymond Shaaban, Lovebyte, Zuchu, Mbosso, Aslay, Marioo.
View attachment 2049959
Tuendelee?? Alichoki, Late Banza Stone, Mwinjuma, Nasma Kidogo, Malkia Khadija Kopa, Mzee Yusuph, Isha Mashauzi, Late TX Moshi, Late Marijani jabali la muziki, Komandoo Hamza Kalala.

5. Wealth:
Top ten billionaire list in Tanzania is dominated by them. I don't want to mention them. Wanafahamika.

View attachment 2049961
5. Leadership/Governance
Historians (and political experts) agree that awamu zilizotawaliwa na Muslim presidents ndizo zilikua na economic reforms, political stability, hata diplomatic relations na nchi za nje ziliimarika.
Don't mention Ugandan war ilitokea awamu gani, don't mention mauaji ya Mwembechai yalitokea awamu gani.
View attachment 2049963
Food for Thought: Is it a coincidence that all Muslim Presidents are still alive up to date!!!

========≠======
UPDATE: 6. Struggle for Independence:
Ni vigum mno, sana tena sana kutenganisha juhudi za kupigania uhuru wa Tanzania (both mainland and Zanzibar) na uislamu.

Kwenye baraza la wazee TANU mwaka 1961, liliundwa na watu 15, waislamu walikua 13 (JKN yule paleeeee)
View attachment 2051407
USHIRIKINA WANAUJUA HASWA.
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] lete andiko basi wa ayo nilokwambia apo juu
Napenda kutoa shukrani za dhati kabisa kwa Waislamu waliohusika kuleta Uhuru ya nchi ya Tanganyika.
Pia napenda kuwapongeza Waislamu wote waliokubali kusoma shule za Wamisionari wa Kikristo wakati wa Mkoloni ambao wengi wao leo ni viongozi wandamizi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Kwa sasa tuelekeze nguvu zetu katika kuzidi kujielimisha na kuijenga nchi ya Tanzania.
 
Napenda kutoa shukrani za dhati kabisa kwa Waislamu waliohusika kuleta Uhuru ya nchi ya Tanganyika.
Pia napenda kuwapongeza Waislamu wote waliokubali kusoma shule za Wamisionari wa Kikristo wakati wa Mkoloni ambao wengi wao leo ni viongozi wandamizi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Kwa sasa tuelekeze nguvu zetu katika kuzidi kujielimisha na kuijenga nchi ya Tanzania.
Kijana najua hutoweza kupata ayo maandiko mpk mwisho wa dunia
M nakushauri kaa chini usome ipi ni dini Sahihi
 
hhhhhhhh sawaa
kwaio unaiamini iyo biblia ambayo watu wakijisikia tuu wanaweka agano jipya?
Yesu hakuoa,hakuingia kanisani,hakua mkristo, sasa ww mbona unayafanya hyo yote kma kweli unamfuata Yesu?

Nipe andiko kua Yesu kaingia kanisani,wapi bible inasema kua ni kitabu kisicho na shaka ndani yake hlf ndo nitakuona kweli unamfuata Yesu
Soma kijana ili uelimike japo kidogo.
1. Agano jipya lilitabiriwa kabla ya Kristo.

[emoji117]Yeremia 31:31 Angalia, siku zinakuja, asema Bwana, nitakapofanya agano jipya na nyumba ya Israeli, na nyumba ya Yuda.
32 Si kwa mfano wa agano lile nililolifanya na baba zao, katika siku ile nilipowashika mkono, ili kuwatoa katika nchi ya Misri; ambalo agano langu hilo walilivunja, ingawa nalikuwa mume kwao, asema Bwana.

2. Yesu hakuwa Mkristo, kwakuwa Yesu ndiye Kristo mwenyewe.
[emoji117]Wanafunzi wake ndio waliitwa Wakristo.

3. Yesu hakuingia Kanisani.
[emoji117]Kwakuwa wakati wake Kanisa halikuwepo.

{ [emoji117]Tafadhali hebu jibidiishe kusoma kwakuwa unauliza maswali yakitoto sana tofauti na umri wako.
[emoji117]Pia hapa sio mahali pa kujibishana hoja za Dini kwakuwa ni nje ya Mada husika. Wanaosoma hapa hawapendi malumbano ya kidini na ni lazima tuwaheshimu.
[emoji117]Ukitaka mihadhala ya Kidini turudi kule kwenye jukwaa letu hapa tutakuwa tunaenda kinyume na sheria za Jamii Forum. Hebu Jadili Mada husika hapa }
 
Soma kijana ili uelimike japo kidogo.
1. Agano jipya lilitabiriwa kabla ya Kristo.

[emoji117]Yeremia 31:31 Angalia, siku zinakuja, asema Bwana, nitakapofanya agano jipya na nyumba ya Israeli, na nyumba ya Yuda.
32 Si kwa mfano wa agano lile nililolifanya na baba zao, katika siku ile nilipowashika mkono, ili kuwatoa katika nchi ya Misri; ambalo agano langu hilo walilivunja, ingawa nalikuwa mume kwao, asema Bwana.

2. Yesu hakuwa Mkristo, kwakuwa Yesu ndiye Kristo mwenyewe.
[emoji117]Wanafunzi wake ndio waliitwa Wakristo.

3. Yesu hakuingia Kanisani.
[emoji117]Kwakuwa wakati wake Kanisa halikuwepo.

{ [emoji117]Tafadhali hebu jibidiishe kusoma kwakuwa unauliza maswali yakitoto sana tofauti na umri wako.
[emoji117]Pia hapa sio mahali pa kujibishana hoja za Dini kwakuwa ni nje ya Mada husika. Wanaosoma hapa hawapendi malumbano ya kidini na ni lazima tuwaheshimu.
[emoji117]Ukitaka mihadhala ya Kidini turudi kule kwenye jukwaa letu hapa tutakuwa tunaenda kinyume na sheria za Jamii Forum. Hebu Jadili Mada husika hapa }
Fungua iyo bible yko angalia maana ya hekalu ni nini?

Sasa kma Yesu hakuingia kanisani mm namfuata yy hakuingia kanisani na mm siingii kwn kuna tabu gni apo?
Kwaio Yule kiongozi wenu kutaka kuruhusu Ugasho pia ni katika agano jipya?
 
Back
Top Bottom