Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 1,117
- 3,153
Wajaluo wakimbeba John Hanning Speke kumpeleka lilipo Ziwa Victoria ili aligundue.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa walikula bata sana, kubebwa namna hiyo!Wajaluo wakimbeba John Hanning Speke kumpeleka lilipo Ziwa Victoria ili aligundue.View attachment 2948913
Picha ya mchongo hii. Nani kawavalisha nguo nzuri namna hiyo na enzi hizo.Wajaluo wakimbeba John Hanning Speke kumpeleka lilipo Ziwa Victoria ili aligundue.View attachment 2948913
Ndugu zangu,Wajaluo wakimbeba John Hanning Speke kumpeleka lilipo Ziwa Victoria ili aligundue.View attachment 2948913
Ni picha yakuchora tu based on Afrcanist historiography.Picha ya mchongo hii. Nani kawavalisha nguo nzuri namna hiyo na enzi hizo.
Na hapo hana silaha yoyote wanashindwa kujiorganize kumpiga na kumuua mtesi wao na familia zaoWajaluo wakimbeba John Hanning Speke kumpeleka lilipo Ziwa Victoria ili aligundue.View attachment 2948913
Una hojaIsije kuwa walijitolea ili kudhihirisha Upendo wao… ikitokea leo Mamasaa100 akataka kubebwa Kwa style hiyo- atawapata wengi sana wa kumbeba… zama zao hao babu zetu hata leo bado zipo…
Watu weusi ni jamii dhaifu kuliko jamii zingine zote dunianiMuafrika kuwa mpole hii sio kawaidaView attachment 2950303
Hata kumpondaponda mkasepa zenu hii akili waliikosa?