Wajaluo wakimbeba John Hanning Speke kumpeleka lilipo Ziwa Victoria ili aligundue

Wajaluo wakimbeba John Hanning Speke kumpeleka lilipo Ziwa Victoria ili aligundue

Watu weusi ni jamii dhaifu kuliko jamii zingine zote duniani

Ni dhaifu zaidi kiakili, kiubunifu na kimbinu ndio popote walipo wao ndio Watumwa...hata hapa nchini Watu weusi ni watumwa kwa Wahindi mpaka leo hii
Kweli tupu
 
Ni moja ya maajabu ya dunia. Wazungu kugundua maeneo ya Africa halafu hao Waafrika wanaenda kufundishwa shule wagunduzi wa kizungu.
Kugundua kitu sio lazima wewe uwe wa kwanza kukiona. Bali kuwa wa kwanza kuona potentials zake na kukimarket. Mfano Wanamuziki kibao tu waligunduliwa na maprodyuza waliowafanya wawe maarufu, je hao wanamuziki hawakuwahi kuonwa na watu wengine kabla? Usher Raymond aligunduliwa na J Dupri, ni lugha tu. Hilo ziwa victoria lilikuwapo lakini Mzungu ulaya hakuwa analijua, na mwafrika aliyekua anaishi nalo hakua anajua full potential ya ziwa hili na ukubwa wake. Columbus alipovumbua america sio kuwa wale waamerica hawakuwapo, bali watu nje na america hawakujua kama kuna bara lile na lina utajiri wa mali zipi asilia
 
Ngozi nyeusi shida sana, hadi leo ujinga huu unaendelea.
 

Attachments

  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    38 KB · Views: 6
Watu weusi ni jamii dhaifu kuliko jamii zingine zote duniani

Ni dhaifu zaidi kiakili, kiubunifu na kimbinu ndio popote walipo wao ndio Watumwa...hata hapa nchini Watu weusi ni watumwa kwa Wahindi mpaka leo hii
Nashangaa kuona wanashangaa wakati hata sasa sisi ingali tu watumwa si kwa weupe tu bali hata kwa weusi wenzetu
 
Tulipokuwa wadogo Kuna mchezo tulikuwa tunacheza wa kubebana huku tunaimba

Kiti Kiti cha Mfalme

Kiti Kiti cha Mfalme

Kumbe tulikuwa tunaimbishana nyimbo za kitumwa za Mababu zetu 🙌
 
Kugundua kitu sio lazima wewe uwe wa kwanza kukiona. Bali kuwa wa kwanza kuona potentials zake na kukimarket. Mfano Wanamuziki kibao tu waligunduliwa na maprodyuza waliowafanya wawe maarufu, je hao wanamuziki hawakuwahi kuonwa na watu wengine kabla? Usher Raymond aligunduliwa na J Dupri, ni lugha tu. Hilo ziwa victoria lilikuwapo lakini Mzungu ulaya hakuwa analijua, na mwafrika aliyekua anaishi nalo hakua anajua full potential ya ziwa hili na ukubwa wake. Columbus alipovumbua america sio kuwa wale waamerica hawakuwapo, bali watu nje na america hawakujua kama kuna bara lile na lina utajiri wa mali zipi asilia
Sawa Kaka naona historia ya kikoloni imekuka vizuri sana hadi unaandika ujinga kwa kujiamini.
 
Sawa Kaka naona historia ya kikoloni imekuka vizuri sana hadi unaandika ujinga kwa kujiamini.
Vitu vidogo kama lugha vinakusumbua roho, sasa Speke kugundua ziwa victoria wewe imekupunguzia ama kukuongezea sh ngapi? Imepunguza kina cha maji? Ama samaki wameibwa? Hiyo ni kwa archieve zao narration itabaki kiwa hivo, haitabadilika hata ulie mara alfu kwa siku. By the way come to zanzibar and discover the beauty of the east african archipelago. Ili nawe uwe mgunduzi
 
Vitu vidogo kama lugha vinakusumbua roho, sasa Speke kugundua ziwa victoria wewe imekupunguzia ama kukuongezea sh ngapi? Imepunguza kina cha maji? Ama samaki wameibwa? Hiyo ni kwa archieve zao narration itabaki kiwa hivo, haitabadilika hata ulie mara alfu kwa siku. By the way come to zanzibar and discover the beauty of the east african archipelago. Ili nawe uwe mgunduzi
Wewe upeo wako mdogo ukimaliza kuvua samaki uwe unaenda shule kuongeza elimu. Dunia ni kubwa kuliko Zanzibar.
 
Muafrika kuwa mpole hii sio kawaidaView attachment 2950303

Hata kumpondaponda mkasepa zenu hii akili waliikosa?
Maisha ni haya haya tu mbona usidhani zamani kulikuwa tofauti kama unavyodhania.. nenda mlima kilimanjaro utakuta watu wanabeba mizigo mikubwa ya watalii.. huyo mzungu alikuwa anawalipa hao na kuwalisha n.k ndio maana wanasema Ukoloni hauishi.. kwenu tu inawezwkana mna mfanyakazi mnamlipa labda elfu 20 hadi 50 kwa mwezi na anafanya kazi nyingi mno.. kuna watu wanavusha watu kwenye mitaro mvua zikinyesha kwa malipo kidogo .n.k
 
Back
Top Bottom