Wajaluo wakimbeba John Hanning Speke kumpeleka lilipo Ziwa Victoria ili aligundue

Ungeenda shule usingekuwa na maswali kama haya. Nakusaidia tu kwa kifupi historia imesahishwa mara nyingi sana.
Historia Ipi wewe mmatumbi umesahihisha? Nipe mfano mmoja tu. Ulienda kukaririshwa hukupata kuelimika. Vinginevo hata lawama hii usingetoa kama ungeelimika japo kwa theluthi
 
Dude at this juncture i am done with you. You can't engage in any scholary discourse coherently. You are all over the place clinging to whatever your fingertips can hold onto.
What makes you think I can engage in a constructive conversation with an Uncle Tom? Go eat di*k.
 
What makes you think I can engage in a constructive conversation with an Uncle Tom? Go and eat dick.
Shows how good you are at dick riding, that the first thing your brain cell come across with is dick, sick dickrider.
 
Hata kuwatesa watu kwa kuwafanya wakubebe hivyo ni Ubaya na Ukatili
Wammeba kwa hiari Yao na sio kulazimishwa,niliongeana mtu alisem zamani ulikuwa usafiri huo unalipia.
So mzungu ni abiria kama wengine ambao hawakuwa na technology ya picha
 
Sasa mbona kwenye kava...Umemchora mtu aliyevaa kama wakoloni wa kiarabu na kuna majina ya kiarabu na sio kibantu.
Au ndio mzee wangu unawapromoti wakoloni wa kiarabu na mazalia yao ya wafuasi wao wa kibantu...na sio wabantu.
Kitabu chako bila hata kukisoma.....kinaonekana kunawapromoti wakoloni wa kiarabu na dini yao...!!
 
Waafrika tunakosea sana kujaribu kuruka hatua za maendeleo ya jamii yetu bila hata kujiaandaa, hii picha iwe ni kweli au si kweli Ila inatokana na matukio ya kweli.

Hapo ni Miaka ya 1800s wazungu walikuwa tayari wana miundombinu yote, barabara, reli, hospital, shule, vyuo Vikuu, wameshaanza kuandika faida na hasara za Upebari na Ujamaa, ni Miaka 100 tangu Industrial Revolution ianze.

Sisi waafrika Miaka hiyo hata viatu hatuna, shule za umma hatuna, hatujui uchumi wa soko yaani yuko nyuma Miaka 800 na zaidi, mwaka 2024 Tanzania ndio nchi yenye SGR ndefu Africa nzima na haijaisha, umeme wa mgao,

Alafu kuna waafrika wanataka nchi iwe ya kipebari, sijui soko huria tubinasishe kila kitu, wakati ilatakiwa tuwekeze kuwasomesha watoto wetu watoe ujinga kwanza
 
Vipi kuhusu babu yake na tip tip kudai kua ndie aliyevumbua mji wa ujiji???
Hiyo haichekeshi????
Au washirazi kudai kua walivikuta visiwa vya unguja na pemba vitupu????
Hiyo haichekeshi???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…