Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Ungeenda shule usingekuwa na maswali kama haya. Nakusaidia tu kwa kifupi historia imesahishwa mara nyingi sana.Unamuhoji nani sasa hapa, hakuna hata mmoja hapa anayeweza kubadilisha hayo maandishi.
Historia Ipi wewe mmatumbi umesahihisha? Nipe mfano mmoja tu. Ulienda kukaririshwa hukupata kuelimika. Vinginevo hata lawama hii usingetoa kama ungeelimika japo kwa theluthiUngeenda shule usingekuwa na maswali kama haya. Nakusaidia tu kwa kifupi historia imesahishwa mara nyingi sana.
Historical revisionism - Wikipedia soma hii, acha kelele.Historia Ipi wewe mmatumbi umesahihisha? Nipe mfano mmoja tu. Ulienda kukaririshwa hukupata kuelimika. Vinginevo hata lawama hii usingetoa kama ungeelimika japo kwa theluthi
Usiniletee mambo ya gugo, nimekwambia leta yako wewe mmatumbi uliyosahihisha. Hata kuelewa maelekezo ni shida halafu unasema ulienda shule na umepata maarifa.Historical revisionism - Wikipedia soma hii, acha kelele.
Umesoma? Lugha shida? Unataka kutafuniwa kila kitu.Usiniletee mambo ya gugo, nimekwambia leta yako wewe mmatumbi uliyosahihisha. Hata kuelewa maelekezo ni shida halafu unasema ulienda shule na umepata maarifa.
Dude at this juncture i am done with you. You can't engage in any scholary discourse coherently. You are all over the place clinging to whatever your fingertips can hold onto.Umesoma? Shule shida?
ReRightHistory - Africans Rising nyingine hiyo. soma. Elimu elimu.Usiniletee mambo ya gugo, nimekwambia leta yako wewe mmatumbi uliyosahihisha. Hata kuelewa maelekezo ni shida halafu unasema ulienda shule na umepata maarifa.
Huyo mbebwaji ni naniNgozi nyeusi shida sana, hadi leo ujinga huu unaendelea.
What makes you think I can engage in a constructive conversation with an Uncle Tom? Go eat di*k.Dude at this juncture i am done with you. You can't engage in any scholary discourse coherently. You are all over the place clinging to whatever your fingertips can hold onto.
Hata kuwatesa watu kwa kuwafanya wakubebe hivyo ni Ubaya na UkatiliWampigaje wakati hakuja Kwa ubaya,
Shows how good you are at dick riding, that the first thing your brain cell come across with is dick, sick dickrider.What makes you think I can engage in a constructive conversation with an Uncle Tom? Go and eat dick.
Wammeba kwa hiari Yao na sio kulazimishwa,niliongeana mtu alisem zamani ulikuwa usafiri huo unalipia.Hata kuwatesa watu kwa kuwafanya wakubebe hivyo ni Ubaya na Ukatili
Kawapige sisiemu 😹Na hapo hana silaha yoyote wanashindwa kujiorganize kumpiga na kumuua mtesi wao na familia zao
I can spot a homo from a mile away.Shows how good you are at dick riding, that the first thing your brain cell come across with is dick, sick dickrider.
Sasa mbona kwenye kava...Umemchora mtu aliyevaa kama wakoloni wa kiarabu na kuna majina ya kiarabu na sio kibantu.Ndugu zangu,
Nina kitabu nimeandika miaka miwili iliyopita.
Baada ya kusoma hii post ya Speke nimeona niweke kipande kifupi katika yale ambayo nami yamenifikirisha na nikayaandika katika kitabu cha maisha ya Rajabu Ibrahim Kirama:
''Msimamo wa Bruno Gutmann wa kuwaheshimu Wachagga katika maandiko yake akiwaonesha kama watu waliostaarabika ulimletea upinzani mkubwa kwao Ujerumani na katika duru ya wasomi wa enzi zile.
Haikuyumkinika kwao kuwa lile bara ambalo wao waliliita, “Dark Continent”, yaani “Bara la Kiza”, liwe na watu waliostaarabika.
Inasikitisha sana kuwa hawa Wamishionari hawakueleza uhusiano wao na wale Waafrika ambao wao waliwategemea kwa mengi katika safari zao. Hii ndiyo hali iliyopo katika historia nzima ya Wachagga.
Ingekuwa kama si kwa Susi na Chuma kubeba mwili wa David Livingstone kuufikisha Bagamoyo huenda watu hawa ambao walikuwa karibu sana na Livingstone wasingefahamika.
Chuma anafahamika kwa jina moja tu lakini kwa bahati nzuri mwenzake kabahatika kujulikana kwa majina yake mawili - Abdallah Susi.
Inafahamika kuwa Johannes Rebmann alifikishwa kuuona Mlima Kilimanjaro kwa msaada wa Wakikuyu lakini katika historia hii hakuna hata jina moja la Mkikuyu waliyoongozana nae katika safari hiyo limetajwa.
Baada ya hawa Wamishionari kufika Uchagga wakaiandika historia ya Wachagga historia hii ambayo haikuwa imeandikwa popote.
Historia yote, Wazungu waliipokea kutoka katika kumbukumbu ambazo zilikuwa zimehifadhiwa katika vichwa vya watu.
Iwe iwavyo Johann Krapf alipofika Usambaa mwaka wa 1848, nchi ambayo haikuwa mbali na Uchaggani kwa Chifu Kimweri, alimkuta Kimweri katika mahakama yake Vuga.
Alikuwa akihukumu mashauri ya raia zake huku akisoma na kuandika kwa herufi za Kiarabu na amevaa kanzu, juba na amepiga kilemba kama kile wanachofunga Waarabu wa Omani.
Watoto wake pia walikuwa wanajua kusoma na kuandika.
Na bila shaka raia zake pia walikuwa wanajua kusoma na kuandika.
Chifu Kimweri alikuwa na uhusiano mzuri na sultani wa Zanzibar.
Krapf akiwa mmishionari aliyekuja kueneza Injili bila shaka hasad iliingia katika nafsi yake kwa kushuhudia, kwa macho yake, kuwa kama ni suala la kumjua Mungu, Mwenyezi Mungu alikuwa anafahamika na kuabudiwa si pwani ya Bahari ya Hindi alikoingilia kuja Afrika ya Mashariki bali hata bara.''
Inachekesha kuwa Speke abebwe na wananchi wampeleke kwenda kulivumbua ziwa Victoria kama Wakikuyu walivyowapeleka Krapf na Rebmann kwenda kuuvumbua Mlima Kilimanjaro.
You got missed calls from diddy and dwight howard, them niggas gonna have have a party on your poor ass.I can spot a homo from a mile away.
Vipi kuhusu babu yake na tip tip kudai kua ndie aliyevumbua mji wa ujiji???Ndugu zangu,
Nina kitabu nimeandika miaka miwili iliyopita.
Baada ya kusoma hii post ya Speke nimeona niweke kipande kifupi katika yale ambayo nami yamenifikirisha na nikayaandika katika kitabu cha maisha ya Rajabu Ibrahim Kirama:
''Msimamo wa Bruno Gutmann wa kuwaheshimu Wachagga katika maandiko yake akiwaonesha kama watu waliostaarabika ulimletea upinzani mkubwa kwao Ujerumani na katika duru ya wasomi wa enzi zile.
Haikuyumkinika kwao kuwa lile bara ambalo wao waliliita, “Dark Continent”, yaani “Bara la Kiza”, liwe na watu waliostaarabika.
Inasikitisha sana kuwa hawa Wamishionari hawakueleza uhusiano wao na wale Waafrika ambao wao waliwategemea kwa mengi katika safari zao. Hii ndiyo hali iliyopo katika historia nzima ya Wachagga.
Ingekuwa kama si kwa Susi na Chuma kubeba mwili wa David Livingstone kuufikisha Bagamoyo huenda watu hawa ambao walikuwa karibu sana na Livingstone wasingefahamika.
Chuma anafahamika kwa jina moja tu lakini kwa bahati nzuri mwenzake kabahatika kujulikana kwa majina yake mawili - Abdallah Susi.
Inafahamika kuwa Johannes Rebmann alifikishwa kuuona Mlima Kilimanjaro kwa msaada wa Wakikuyu lakini katika historia hii hakuna hata jina moja la Mkikuyu waliyoongozana nae katika safari hiyo limetajwa.
Baada ya hawa Wamishionari kufika Uchagga wakaiandika historia ya Wachagga historia hii ambayo haikuwa imeandikwa popote.
Historia yote, Wazungu waliipokea kutoka katika kumbukumbu ambazo zilikuwa zimehifadhiwa katika vichwa vya watu.
Iwe iwavyo Johann Krapf alipofika Usambaa mwaka wa 1848, nchi ambayo haikuwa mbali na Uchaggani kwa Chifu Kimweri, alimkuta Kimweri katika mahakama yake Vuga.
Alikuwa akihukumu mashauri ya raia zake huku akisoma na kuandika kwa herufi za Kiarabu na amevaa kanzu, juba na amepiga kilemba kama kile wanachofunga Waarabu wa Omani.
Watoto wake pia walikuwa wanajua kusoma na kuandika.
Na bila shaka raia zake pia walikuwa wanajua kusoma na kuandika.
Chifu Kimweri alikuwa na uhusiano mzuri na sultani wa Zanzibar.
Krapf akiwa mmishionari aliyekuja kueneza Injili bila shaka hasad iliingia katika nafsi yake kwa kushuhudia, kwa macho yake, kuwa kama ni suala la kumjua Mungu, Mwenyezi Mungu alikuwa anafahamika na kuabudiwa si pwani ya Bahari ya Hindi alikoingilia kuja Afrika ya Mashariki bali hata bara.''
Inachekesha kuwa Speke abebwe na wananchi wampeleke kwenda kulivumbua ziwa Victoria kama Wakikuyu walivyowapeleka Krapf na Rebmann kwenda kuuvumbua Mlima Kilimanjaro.