Uliongea na Mtu yupi aliyekuambia walimbeba kwa hiari kama Uber?Wammeba kwa hiari Yao na sio kulazimishwa,niliongeana mtu alisem zamani ulikuwa usafiri huo unalipia.
So mzungu ni abiria kama wengine ambao hawakuwa na technology ya picha
Dah sawasawa mkuu shukrani kwa mtizamo huu, hakika ukoloni hauwezi isha. Tena hao wapagazi wa mlima kilimanjaro wameunda hadi chama kabisa. Ila kimsingi ni sawasawa na wapagazi waliombebea mizigo bwana Livingstone.Maisha ni haya haya tu mbona usidhani zamani kulikuwa tofauti kama unavyodhania.. nenda mlima kilimanjaro utakuta watu wanabeba mizigo mikubwa ya watalii.. huyo mzungu alikuwa anawalipa hao na kuwalisha n.k ndio maana wanasema Ukoloni hauishi.. kwenu tu inawezwkana mna mfanyakazi mnamlipa labda elfu 20 hadi 50 kwa mwezi na anafanya kazi nyingi mno.. kuna watu wanavusha watu kwenye mitaro mvua zikinyesha kwa malipo kidogo .n.k
Ingefika mahala kiongozi yeyeote wa CCM ananitaka nimfungie kamba za viatu acha tu kumbeba nitapigana...nafuu sasahivi wananiibia lakini nipo huruKawapige sisiemu πΉ
Wazee wa zaman kabla ya uhuru,achen chukiUliongea na Mtu yupi aliyekuambia walimbeba kwa hiari kama Uber?
Acha ujeuri πΉIngefika mahala kiongozi yeyeote wa CCM ananitaka nimfungie kamba za viatu acha tu kumbeba nitapigana...nafuu sasahivi wananiibia lakini nipo huru
Damn! You're a homo and slow.You got missed calls from diddy and dwight howard, them niggas gonna have have a party on your poor ass.
Im Living rent free in your tiny brain cell, you cant let it go pendejo,Damn! You're a homo and slow.
Whatever, Batty man.Im Living rent free in your tiny brain cell, you cant let it go pendejo,
jamaa alikuwa kawalipa hao.Muafrika kuwa mpole hii sio kawaidaView attachment 2950303
Hata kumpondaponda mkasepa zenu hii akili waliikosa?
Emotional damage pendejo, see a shrinkWhatever, Batty man.
Whatever helps you sleep at night Bozo.Emotional damage pendejo, see a shrink
Acha kuwafananisha Wajaluo na vitu vya kijingaWajaluo wakimbeba John Hanning Speke kumpeleka lilipo Ziwa Victoria ili aligundue.View attachment 2948913
Huyo alikuwa mpelelezi na hao walipewa stahiki zao kutokana na kazi waliyofanya, tofautisha na wakoloni waliokuja baadae kwa maguvi na mitutuNa hapo hana silaha yoyote wanashindwa kujiorganize kumpiga na kumuua mtesi wao na familia zao
Uanze mchakato wa kurudisha jina la asili la hilo ziwa. Nafikiri liliitwa Nyanza. Tuache utumwa hata wa kujitakiaTBC wanasemaje kwani.
Kuhusu ziwa Victoria
ππππ
Wajaluo wakimbeba John Hanning Speke kumpeleka lilipo Ziwa Victoria ili aligundue.View attachment 2948913
Na hapo hana silaha yoyote wanashindwa kujiorganize kumpiga na kumuua mtesi wao na familia zao
Binadamu wote wamefanya watumwa duniani, ni bahati mbaya tu ngozi nyeusi hatukupata mnyonge wetu wa kumuonea.Mwamba katulia kabisa kama vile kabebwa na mashine, kumbe mabega ya watu.
Ila ngozi nyeusi imepitia na inapitia mengi mno.
Sawa sawa mkuu πππUanze mchakato wa kurudisha jina la asili la hilo ziwa. Nafikiri liliitwa Nyanza. Tuache utumwa hata wa kujitakia