Wajaluo wakimbeba John Hanning Speke kumpeleka lilipo Ziwa Victoria ili aligundue

Kwahiyo kila mzungu wakati ule ni wamishionari? Maana yake ametajwa Speke
 
Mzee wangu Mohamed Said naomba unifafanulie

Je unamaanisha katika jamii zote za tanganyika ni jamii ya wachaga tu ambayo historia yake iliandikwa kwa ukweli bila kufichwa kuwa walishastaarabika kabla ya wakolon kufika?

Ila mkoloni huyo huyo alipofika pwan akakuta kumestaarabika na watu wanatawala za kisheria akaamua tu kupindish ukwel sababu watu hawa haaakuwa dini yake Vip kuhusu kusini na kule bukoba

Mwisho kwa research yako kwenye historia ya huku kwetu ( east africa). Ni jamii ipi ambayo ilikutwa na wajeruman walau imestaraabika na ina watu wanaojua kusoma na kuandika tukiacha zanzibar kwan wao tunajua walianza zaman
 
Mimi nadhani hao wageni walikuwa na mengineyo
Siio "kudhani" yaani Karne mzima imepita bado tu una doubts?

picha kamili ilishaonekana na wakaligawana Bara la Afrika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…