Wajinga ndio waliwao huu ni uthibitisho kwa Simba, Rage huna baya

Ni hiari na imewekwa wazi kwa mashabiki wao kuchangia. Si mbinu ngeni kutumika.
 
Umeshindwa kujificha.Ohh mimi sio shabiki wa Timu za Tanzania. Uharo mtupu.Unakunya porini huku matako umeyaelekeza barabarani. Eti Gunner Shooter hao Arsenal hata hawakujui unajifanya shabiki maandazi.
 
Wajinga ndio mliwao hahaha wajanja wanavuna noti wewe unakalia kuleta screenshot walizotuma mjini mipango🤣🤣🤣🤣🤣
Utajinyonga wewe kijana, si bure! 🤣🤣🤣
Una mapovu sana 🤣🤣🤣
 
Umeshindwa kujificha.Ohh mimi sio shabiki wa Timu za Tanzania. Uharo mtupu.Unakunya porini huku matako umeyaelekeza barabarani. Eti Gunner Shooter hao Arsenal hata hawakujui unajifanya shabiki maandazi.
Ajabu sijawahi kuchangia hata mia Kwa arsenal ila mjinga kama wewe masikini choka mbaya unapigwa na wajanja kutoka msimbazi na hawakujui 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Utajinyonga wewe kijana, si bure! 🤣🤣🤣
Una mapovu sana 🤣🤣🤣
Endelea kuleta screenshot za wajanja wakipiga pesa huku wewe ukipiga miayo mjini mipango na akili tu🤣🤣🤣🤣🤣
 
Endelea kuleta screenshot za wajanja wakipiga pesa huku wewe ukipiga miayo mjini mipango na akili tu🤣🤣🤣🤣🤣
Kijana mimi napiga za semina za serikali. Wewe lipa kodi sisi tuzipige 🤣🤣🤣
 
Kijana mimi napiga za semina za serikali. Wewe lipa kodi sisi tuzipige 🤣🤣🤣
Baada ya kugundua wajanja wa hizi timu wapo kazini mjinga umestukaunaanza kuzuga ushapigwa mzee hahahaha🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mtoto wa kiume kuonea huruma pesa za wanaume wenzako Kuna mashaka [emoji848]

Simba nguvu moja[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…