Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Tatizo LA nyie jamaa hamsomi vitabu vyenu, mngekuwa mnasoma msingekuwa clueless hivi,

Hao mitume waliopita walikuwa wapoje? Walihubiri nini na Mtume Muhammad kahubiri nini? Na Leo waisilamu wanafanya nini?

Waisilamu Leo wamekuwa watu wanao Fuata Maelekezo ya yesu kushinda nyie mnaofuata dini ya tamaa.

Mpaka sasa hivi hujaleta ushahidi wowote wa kupinga nilicholeta mimi hapa, nimekuwekea hadi picha kwamba Dome of rock sio AL aqsa pekee kama mnavyoclaim.

Nakuletea ushahidi mwengine toka maandiko ya kiyahudi ambayo Yana lingana na maandiko ya kiisilamu

Lete na wewe ushahidi otherwise ukae kimya maana porojo hazisaidii
HUYO YESU GANI MNAYEMFATA ?

Je! Mungu anaetajwa na Yesu Kristo, Je! ndiye Mungu wenu anaehusika na Uislamu???

Luka 10:22 Akasema, Nimekabidhiwa vyote na Baba yangu, wala hakuna amjuaye Mwana ila Baba; wala hakuna amjuaye Baba ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana apenda kumfunulia.

Yesu anatueleza kwamba, Mungu yeye ni Baba yake, Je! Mungu wenu ndani ya Quran yeye ni Baba wa Yesu hata awe muislamu??
 
Vitu vingi vya mathematics, physics na chemistry asili yake ni uislamu na ndio maana ukisoma Kemia mambo mengi yanaanzi wa na AL ambayo kiarabu ni The, vitu kama Alchemy, Alkaline etc.

Juzi tu Hapa Unesco wamekubali kwamba University ya kwanza kutoa Degree ni invention ya Bibie Fatma huko Morocco toka Karne ya 9,

Leo katika ulimwengu wa kutoa Elimu kuna kitu bora kuliko Vyuo vya Elimu na maabara za Tafiti? Mbona vyote hivi ni legacy za waisilamu?
NDIO ULIVYODANGANYWA ? Yaani hizo hadith za mudy, ufananishe na SAYANSI?
 
Tatizo LA nyie jamaa hamsomi vitabu vyenu, mngekuwa mnasoma msingekuwa clueless hivi,

Hao mitume waliopita walikuwa wapoje? Walihubiri nini na Mtume Muhammad kahubiri nini? Na Leo waisilamu wanafanya nini?

Waisilamu Leo wamekuwa watu wanao Fuata Maelekezo ya yesu kushinda nyie mnaofuata dini ya tamaa.

Mpaka sasa hivi hujaleta ushahidi wowote wa kupinga nilicholeta mimi hapa, nimekuwekea hadi picha kwamba Dome of rock sio AL aqsa pekee kama mnavyoclaim.

Nakuletea ushahidi mwengine toka maandiko ya kiyahudi ambayo Yana lingana na maandiko ya kiisilamu

Lete na wewe ushahidi otherwise ukae kimya maana porojo hazisaidii
Kitu ambacho kinanithibitishia kabisa kuwa, Yesu Kristo, musa,ibrahimu, daudi,n.k hawjawahi kuwa waislamu, ni kauli ya MUHAMMADI, yeye anasema.

وَأُمِرْتُ لِأَنْ أَكُونَ أَوَّلَ الْمُسْلِمِينَ

(AZZUMAR – 12)
Na nimeamrishwa niwe wa mwanzo wa Waislamu.

قُلْ إِنِّي أَخَافُ إِنْ عَصَيْتُ رَبِّي عَذَابَ يَوْمٍ عَظِيمٍ

(AZZUMAR – 13)
Sema: Hakika mimi ninaogopa adhabu ya Siku Kubwa nikimuasi Mola wangu Mlezi.

Hapo MUHAMMADI anasema kwamba, yeye ameamrishwa awe wa kwanza wa Waislamu, na akathibitisha kuwa yeye ni muislamu wa kwanza

لَا شَرِيكَ لَهُ ۖ وَبِذَٰلِكَ أُمِرْتُ وَأَنَا أَوَّلُ الْمُسْلِمِينَ

(AL – AN-A’AM – 163)
Hana mshirika wake. Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu.

Sasa ikiwa MUHAMMADI aliyekuja miaka 570 baada ya Yesu, anasema yeye ni muislamu wa kwanza, ni vipi Yesu,musa,daudi, ibrahimu waliotangulia wawe waislamu??? ikiwa MUHAMMADI ni muislamu wa kwanza, Yesu Kristo, ni muislamu wa ngapi???
 
Safi kabisa,nakuonyesha kama wewe hujui chochote katika historia.

Asili ya jina Uyahudi limetokana na nini na wapi na lini uyahudi ulijulikana...?

Pili,Yakobo ni mjukuu wa nabii Ibrahimu ambaye alimzaa nabii Is'haqa. Sasa nionyeshe kama Uyahudi ulikuwepo tu kipindi cha nabii Yusufu au baba yake Yakobo achilia mbali kipindi cha baba yetu wa Imani Ibrahimu,huko mbali sana.

Kisha utaniambia nini maana ya Uislamu.

Nipo ...
Katika Torati-vitabu vitano vya kwanza vitano katika Biblia Mwanzo 14:13 inafundisha kuwa Abramu, kawaida anayetambuliwa kama Myahudi wa kwanza, alikuwa kama ilivyoelezwa "Kiebrania." Jina "Myahudi" linatokana na jina la Yuda, mmoja wa wana kumi na wawili wa Yakobo na mmoja wa makabila kumi na mawili ya Israeli.

Jina "Myahudi" awali lilijulikana tu kwa wale ambao walikuwa wanachama wa kabila la Yuda, lakini wakati ufalme uligawanyika baada ya utawala wa Sulemani (1 Wafalme 12), neno lilimaanisha mtu yeyote katika ufalme wa Yuda, ambayo ni pamoja na kabila la Yuda, Benjamin, na Lawi.

Leo hii, wengi wanaamini kwamba Myahudi ni mtu yeyote ambaye ana uzao wa kimwili na Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, bila ya kujali makabila ya awali kumi na mbili anapotoka.


SASA UISLAMU ULIOKUJA MWAKA 600 WAPI NA WAPI NA UYAHUDI
 
Shida yako huna marejeo,unaandika kama unahadithia wenzako kijiweni.

Hadithi za Abunuwas zikoje na unazitofautishaje na Hadithi za Mtume,maana katika Hadithi za mtume zinaelezea mambo ya Historia na nukuu niliyo kuwekea ni hadithi ya Mtume katika kuelezea Historia ya ujengwaji wa msikiti wa al Aqsa.

Naona ulichokitarajia sicho.

Tuendelee....
Yaani unamtegemea mudy wa mwaka 570AD, akupe historia ya HEKALU lililojengwa 500BC? si ndio maana anawadanganyeni kina musa, yesu , walikuwa waislamu..
 
Kama unakataa Adam na Eva walikuwa sio waislamu, bila Shaka unayo majibu walikuwa watu wa dini tofauti ebu tumbie walikuwa wa dini gani?
Walatamka Shahada?

Walishuhudia kuwa yupo Mungu mmoja tu ambaye ni Allah na Mtume mmoja tu ambaye ni Muhammad?

Jibu kinagaubaga
 
Vitu vingi vya mathematics, physics na chemistry asili yake ni uislamu na ndio maana ukisoma Kemia mambo mengi yanaanzi wa na AL ambayo kiarabu ni The, vitu kama Alchemy, Alkaline etc.

Juzi tu Hapa Unesco wamekubali kwamba University ya kwanza kutoa Degree ni invention ya Bibie Fatma huko Morocco toka Karne ya 9,

Leo katika ulimwengu wa kutoa Elimu kuna kitu bora kuliko Vyuo vya Elimu na maabara za Tafiti? Mbona vyote hivi ni legacy za waisilamu?
Hahahaha....wafuasi wa Mwamedi mnachekesha sana [emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]
 
Katika Torati-vitabu vitano vya kwanza vitano katika Biblia Mwanzo 14:13 inafundisha kuwa Abramu, kawaida anayetambuliwa kama Myahudi wa kwanza, alikuwa kama ilivyoelezwa "Kiebrania." Jina "Myahudi" linatokana na jina la Yuda, mmoja wa wana kumi na wawili wa Yakobo na mmoja wa makabila kumi na mawili ya Israeli.

Jina "Myahudi" awali lilijulikana tu kwa wale ambao walikuwa wanachama wa kabila la Yuda, lakini wakati ufalme uligawanyika baada ya utawala wa Sulemani (1 Wafalme 12), neno lilimaanisha mtu yeyote katika ufalme wa Yuda, ambayo ni pamoja na kabila la Yuda, Benjamin, na Lawi.

Leo hii, wengi wanaamini kwamba Myahudi ni mtu yeyote ambaye ana uzao wa kimwili na Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, bila ya kujali makabila ya awali kumi na mbili anapotoka.


SASA UISLAMU ULIOKUJA MWAKA 600 WAPI NA WAPI NA UYAHUDI
Hujajibu swali langu, Ibrahimu alikuwa dini gani ? Sasa kama jins linatokana na Yuda,na Ibrahimu alikuwa wa zamani sana hata huyo Yuda hakuwahi kumuona Ibrahimu. Nataka unipe ushahidi ya kuwa Ibrahimu alikuwa nani na Uyahudi ulianza lini na ukianzishwa na nani...?

Sasa maana yake Wayahudi hawapo sasa,kama wapo nipe chain yao ya uzao mpaka ifike kwa nabii Ibrahimu.

Sasa niambie Ibrahimu ana uhusiano gani na Uyahudi ?

Kiebrania walimuelezeaje Ibrahimu ? Hili andiko "Mwanzo 14 : 13" limeonyesha wapi ya kuwa Ibrahimu alikuwa Myahudi ? Au mimi sijui kusoma.

Mwanzo 14:13 BHN​

Mtu mmoja aliyeponyoka, akaenda kumwarifu yule Mwebrania Abramu ambaye alikuwa anaishi karibu na mialoni ya Mwamori Mamre. Mamre alikuwa ndugu yake Eshkoli na Aneri. Wote walikuwa wamefanya agano na Abramu.
 
Yaani unamtegemea mudy wa mwaka 570AD, akupe historia ya HEKALU lililojengwa 500BC? si ndio maana anawadanganyeni kina musa, yesu , walikuwa waislamu..
Kwani nyiny habari za Musa,Ibrahimu mlizipataje na inakuwaje mnaziamini wakati hazina hata chain,maana Yesu hakuwaona hao ?

Umeuliza swali la kijinga sana. Hilo ndiyo jibu la swali lako,sasa ukijibu swali hilo nitarudi kukupa tofauti ya sisi na nyinyi hasa katika kupokea habari.
 
Kwani nyiny habari za Musa,Ibrahimu mlizipataje na inakuwaje mnaziamini wakati hazina hata chain,maana Yesu hakuwaona hao ?

Umeuliza swali la kijinga sana. Hilo ndiyo jibu la swali lako,sasa ukijibu swali hilo nitarudi kukupa tofauti ya sisi na nyinyi hasa katika kupokea habari.
Unaweza ukatupa chain ya mapokea kutoka kwa Yesu mpaka Muhammad
 
HUYO YESU GANI MNAYEMFATA ?

Je! Mungu anaetajwa na Yesu Kristo, Je! ndiye Mungu wenu anaehusika na Uislamu???

Luka 10:22 Akasema, Nimekabidhiwa vyote na Baba yangu, wala hakuna amjuaye Mwana ila Baba; wala hakuna amjuaye Baba ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana apenda kumfunulia.

Yesu anatueleza kwamba, Mungu yeye ni Baba yake, Je! Mungu wenu ndani ya Quran yeye ni Baba wa Yesu hata awe muislamu??
Mbona mkuu hujajibu hoja za AL aqsa umekimbilia huku?

Kumfuata mtu kuna mambo mengi
1. Appearence yake, Yesu alikuwa akifunga ndevu kama mitume wengine leo hamfuati mafundisho haya

2. Mavazi yake ya kanzu fupi na makubazi Leo utasikia wakristo wanavyodhihaki watu wanaovaa hivi, wanawake wake kama mama yake alikuwa akivaa ushungi lakini leo mmeutupa kule

3.kabla ya Ibada yesu alikua akiosha mikono, miguu, na uso kama waisilamu wa Leo,

4.yesu na mitume wa zamani walikuwa wakiabudu kwa kusujudu chini kama waisilamu wa leo
-yesu mwenyewe (as)
And he (Jesus) went a little farther, and fell on his face, and prayed, saying, O my Father, if it be possible, let this cup pass from me: nevertheless not as I will, but as thou wilt." - New Testament (Matthew 26:39)

-wanafunzi wake
And when the disciples heard it, they fell on their face, and were sore afraid." - New Testament (Matthew 17:6)

-na Musa (as)
And Moses made haste, and bowed his head toward the earth, and worshipped." - Old Testament (Tanakh) (Exodus 34:8)

-na Ibrahim (as)
And Abram fell on his face: and God talked with him, saying," - Old Testament (Tanakh) (Genesis 17:3)

Nyie mmeieka tu ile Bible kama pambo, hamsomi wala hamuifatilii,
 
Kitu ambacho kinanithibitishia kabisa kuwa, Yesu Kristo, musa,ibrahimu, daudi,n.k hawjawahi kuwa waislamu, ni kauli ya MUHAMMADI, yeye anasema.

وَأُمِرْتُ لِأَنْ أَكُونَ أَوَّلَ الْمُسْلِمِينَ

(AZZUMAR – 12)
Na nimeamrishwa niwe wa mwanzo wa Waislamu.
Muogopeni Mungu na Moto wake, msibadili maneno yake, hii Aya Tafsiri yake ni
(39:12) and I am bidden to be the first of those who surrender to Him.”33
33. That is, my mission is not only to exhort others but also to practice what I preach to myself. First, I follow the way which I call others to follow

Ikimaanisha Mtume ametakiwa kuwa wa kwanza kufuata anachokihubiria na sio anahubiri ikiwa yeye hafuati


قُلْ إِنِّي أَخَافُ إِنْ عَصَيْتُ رَبِّي عَذَابَ يَوْمٍ عَظِيمٍ

(AZZUMAR – 13)
Sema: Hakika mimi ninaogopa adhabu ya Siku Kubwa nikimuasi Mola wangu Mlezi.

Hapo MUHAMMADI anasema kwamba, yeye ameamrishwa awe wa kwanza wa Waislamu, na akathibitisha kuwa yeye ni muislamu wa kwanza

لَا شَرِيكَ لَهُ ۖ وَبِذَٰلِكَ أُمِرْتُ وَأَنَا أَوَّلُ الْمُسْلِمِينَ
AL – AN-A’AM – 163)
Hana mshirika wake.
(Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu.

Sasa ikiwa MUHAMMADI aliyekuja miaka 570 baada ya Yesu, anasema yeye ni muislamu wa kwanza, ni vipi Yesu,musa,daudi, ibrahimu waliotangulia wawe waislamu??? ikiwa MUHAMMADI ni muislamu wa kwanza, Yesu Kristo, ni muislamu wa ngapi???
Jibu la hio Aya ya 163 ungelipata kwenye Aya ya 161 ambayo ni muendelezo (Aya ya 161 mpaka 163 inazungumzia kitu kimoja) Aya ya 161 inasema

{161. Say: “Truly, my Lord has guided me to a straight path, a right religion, the religion of Ibrahim, Hanifan (monotheism) and he was not of the Mushrikin.”
 
Ambapo ukiangalia muundo wake wa nje na ndani + mosaic and design ni kutoka Roman Catholic Church or Byzantine empire
Most of Muslim hawajui hii historia na watakupinga sana ukimwambia kwa kuwa wamedanganwya na kulishwa vitu vingi vya uongo.

View attachment 1757085

Kilicho jitokeza ni nini?

Waislam wengi huupinga na kusema huu ni msikiti uliojengwa na Suleiman
[emoji1787]
[emoji1787]
[emoji1787]
ni vichekesho kidogo wengine wakasema umejengwa na Umar ibn Al-Khattāb ili mradi tu! Kupinga kuwa haukuwa kanisa before.

Na kitu wanacho changanya waislam wengi ni msikiti wa al aqsa na the dome of the rock
The dome of the rock sio msikiti msikiti ni al aqsa ijapokuwa hivi vitu viwili vipo karibu na eneo moja
hiyo ni kawaida ya waislam wengi kupinga na kupinga kwao si bure coz ni wamefundishwa vitu vingi na bila kujua kuwa mengine walidanganywa kwa manufaa ya viongozi wao bila wao kujua ni sumu walilishwa.

So tuangalie historia kidogo

Eneo hili ndipo palipokuwa hekalu la wayaudi na mara kwa mara waisrael walipokuwa wakivamiwa na kushambuliwa basi hekalu lilibomolewa basi miaka ikasonga mfalme Suleiman akajenga hekalu jipya kwa vipimo alivyopewa na Mungu

1 wafalme 6:1-38 likaanza kutumika miaka ikasonga mpaka akaja YESU kristo na kutoa utabiri huu
Marko 13:1-2
[emoji116]

Alipokuwa akitoka nje ya Hekalu, mmojawapo wa wanafunzi wake akamwambia, “Mwalimu, ona jinsi mawe haya na majengo haya yalivyo maridadi!”
Yesu akamjibu, “Unayaona majengo haya yalivyo makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, yote yatabomo lewa.”


Na utabiri huo ulitimia March mwaka 70 A.D baada ya kristo kufa na kupaa mbinguni, warumi waliuvamia mji wa Jerusalem na kulibomoa kabisa hekalu na kila kitu kilichomo ndani ya hekalu hakikubakia kitu Kama Yesu alivyotabiri/

So nashangaa waislam wanavyosema kuwa huo msikiti ulijengwa na Suleiman wakati hekalu alilojenga Suleiman lilishabomolewa na warumi mwaka 70 na lilikuwa ni hekalu na si msikiti remember that
[emoji1787]
[emoji1787]
[emoji1787]
[emoji1787]
[emoji1787]


So miaka ikasonga mnamo mwaka 310A.D ndipo dola la kirumi lilianza kugeuza uelekeo na kuwa la kikristo kamili ,mfalme Constatino na mama yake Herena walianza kujenga makanisa katika dola ya kirumi na ndani ya Jerusalem 313AD, kwa kipindi hiko na moja ya makanisa yaliojengwa ni pamoja na hilo

msikiti wa al aqsa

Ilipofika mwaka 638AD Umar ibn Al-Khattāb aliuteka mji wa Jerusalem na kuukalia na kubadilisha mambo mengi ndani ya mji na moja vitu alivyo badirisha ni kanisa hilo na kujenga the dome of the rock but ilipofika mwaka 1100AD wakristo waliuchukua tena huo mji na kuukalia wakarudisha vitu vyao tena but ilipofika mwaka 1500AD Ottoman waliuchukua tena mpaka mwaka 1900AD, but kipindi cha katikati hapo Jerusalem hapakutulia palikuwa na mashambulio ya mara kwa mara baina ya Muslim na Christian na Jewish but ilipofika mwaka 1917 great British waliuchukua mji na kuukalia baada ya hapo ni mgawanyo wa mji mpaka leo

So tukirudi kwnye mada yetu ili jengo lilikuwaje?

Kama tunavyoona kwenye picha kapo chini
[emoji116]
muundo wa ujenzi na mosic, milango, madirisha, nguzo 100% ni mitindo ya makanisa hiyo haitoshi hivi karibuni kumegunduliwa mosic yenye takribani miaka 1700 ambapo ni mitindo ya Byzantine empire kwenye kudecorate makanisa na majengo yao miaka hiyo na imegunduliwa eneo moja wapo la msikiti so hii inatoa ushaidi tosha kuwa Byzantine or Roman empire walikuwa ndio wajenzi wa jengo hili na si vinginevyo
So kwa waislam wote nawasihi kusoma histolia before hujadanganywa na viongozi wenu coz bila kujua na nyinyi mnaongozwa na mihemko kuliko akili
View attachment 1757143
Je unajua kwamba ikulu ya dar ilikua Kama ni chuo Cha kiislma na imejengwa na waarabu sio wajeruman je unajua Kama hospital ya muhimbili imejengwa na sewa haji ambayo ilikua Mali ya waislm unajua Kama hoptal ya ocion road mpaka Leo kunajengo la msikiti na limeshindwa kubomolewa mpaka leo
 
Mizimu ya babu zenu na miungu yenu mnaiacha mnagombania majengo ya bara Asia.
 
Back
Top Bottom