Wajua MSIMAMO wa Rais Samia kwenye sakata la bandari? Huu hapa ushahidi

Wajua MSIMAMO wa Rais Samia kwenye sakata la bandari? Huu hapa ushahidi

hivi uwekezaji mbona kipaumbele wanapewa waarabu waarabu tu kuna ajenda gani??????????????????????????????????????
Si una jua tena top na watu wa kule baharini wana dai wao na ma sultani ni ndugu
 
Wa Bara tunatakiwa kuamka haraka sana kulinda vitu vyetu!
Sema tutapata shida sana kutokana na wajinga wengi wasioelewa kitu hasa wa ccm!
Hawa wasitupe shida tupigane kwa umoja wetu!
 
Alikuwa sahihi kusema hivyo! Ndivyo tulivyo Watanzania! Kwetu kikubwa ni Amani na Utulivu! Ni mwendo wa kufa na tai shingoni.
 
Msimamo wa mama samia kwenye maamuzi yake mengi ni kwamba WATANZANIA WENGI NI WAONGEAJI TUU LAKINI MWISHO WA SIKU HUKUBALI NA KUTULIA KIMYA NA KUZOEA
sasa wakisha sema wafanyeje? Wajibu ni kusema, kupiga kelele. Zaidi ya hapo ni machafuko. Who dares that?
 
Alikuwa sahihi kusema hivyo! Ndivyo tulivyo Watanzania! Kwetu kikubwa ni Amani na Utulivu! Ni mwendo wa kufa na tai shingoni.
Mchawi mfumo wetu wa elimu ndio uliotulemaza.... No critical thinking kwenye ishu muhimu za kitaifa... Ndio maana ukionekana mjuaji hawapendi
 
Wa Bara tunatakiwa kuamka haraka sana kulinda vitu vyetu!
Sema tutapata shida sana kutokana na wajinga wengi wasioelewa kitu hasa wa ccm!
Hawa wasitupe shida tupigane kwa umoja wetu!
Pia njaa kali kila mtu analazimika kua ccm amfurahishe mwenyekiti apate ugali
 
Maandamano ni machafuko??
Maandamano hayana tija, machafuko ndiyo yana tija. mfano kinachoendelea Sudan ni sawa kabisa, ngoja watwangane, wafe itafika mahali watawala waache ujinga. hapo watakaa na kuelewana meza moja. bandari hazitauzwa kijinga kama hapa
 
Mchawi mfumo wetu wa elimu ndio uliotulemaza.... No critical thinking kwenye ishu muhimu za kitaifa... Ndio maana ukionekana mjuaji hawapendi
Kwamaana hii mpaka tupigikee saana alafu tulipuke tulete maafa makubwa
 
Halafu akajigeuza ghafla kuwa mfadhili wa simba na Yanga kutengeneza umaarufu wa haraka, kumbe ana jambo lake kwa Watanganyika.
Anajua kuwa Watanganyika ni wepesi wa kushabikia mambo mepesi na ya kitoto kwani hata aina ya siasa tunazofanya ni za chekechea kabisa,unasikia mtu mzima kabisa anakuambia kuwa kwani Katiba inaniongezea ugali wangu mezani. Hawaelewi kuwa madhaifu ya Katiba hii ndiyo yanawapa kibri watawala kutuning'iniza kichwa chini miguu juu. Mtu asiyejua umuhimu wa Katiba unaweza kumfanya chochote.
 
hivi uwekezaji mbona kipaumbele wanapewa waarabu waarabu tu kuna ajenda gani??????????????????????????????????????
Huko nyuma tuliwapa kisogo hatujawahi kuwajaribu. Wengine wote tunawafahamu, this time ngoja tuwajaribu na hawa. Kuna kitu SUPERB kinakuja; believe me. Sikiliza BUNGE LIVE kesho ili usiendelee tena kuchanganywa na TETESI za kwenye mitandao
 
Back
Top Bottom