Wajua MSIMAMO wa Rais Samia kwenye sakata la bandari? Huu hapa ushahidi

Wajua MSIMAMO wa Rais Samia kwenye sakata la bandari? Huu hapa ushahidi

Kinachowazuia wabongo wengi kutochukua hatua ni uoga na hili litatutafuna sana mpka siku tutakapojivua uoga na kuamua kuwapinga watu dhaifu kwenye uongozi
 
Habari wana jamvi,

Kama kichwa cha somo kinavosema....

Msimamo wa mama samia kwenye maamuzi yake mengi ni kwamba WATANZANIA WENGI NI WAONGEAJI TUU LAKINI MWISHO WA SIKU HUKUBALI NA KUTULIA KIMYA NA KUZOEA.

Kauli hii aliitoa alipokua ana shoot film ya Royal tour akiwa maeneo ya Tegeta akizungumza na wananchi waliomuOmba azuie maswala ya TOZO ili wapate unafuu.

Hivi ndivo alivyo wasoma wadanganyika oooops sorry watanzania... ni keyboard worries na wasahaulifu, wanafiki na waoga na hilo limedhitishwa katika kila kitu ambacho alichoamua na kulalamikiwa lakini mwisho watanzania walikipigia makofi na kumtukuza.

Na hili pia napata picha anawachora na kucheka kwa kubenua mdomo huku akibidua macho yake mazuri aliyojaaliwa na Allah... anajisemea moyoni
"Watoto wangu hawaelewi nnavo wapambania wapate neema wanakazi ya kubwabwaja wakiwa hawawezi hata kutambaa na kujigeuza mpaka niwageuzi mimi nnayejua chungu kikoje"

Nikweli watanganyika ni wazito kufikiri na hata kuamua ndo Kuandamana kwa maslai ya taifa ni ngumu ila subiri paredi la YANGA kutangazwa Ubingwa watu watafia barabarani

#Akili kumkichwa
HAJAKOSEA KABISA>
 
Kinachowazuia wabongo wengi kutochukua hatua ni uoga na hili litatutafuna sana mpka siku tutakapojivua uoga na kuamua kuwapinga watu dhaifu kwenye uongozi
Hao wavaa magwanda wanasema kila siku, watakao toka barabarani wanavunjwa miguu, sasa nan anataka ulemavu wa ukubwani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hao wavaa magwanda wanasema kila siku, watakao toka barabarani wanavunjwa miguu, sasa nan anataka ulemavu wa ukubwani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ipo siku wataacha kusema hivyo ni swala la muda tu wenyewe hawaangalii mistakabali ya familia zao. Nina mifano mingi ya wavaa magwana wamestaafu wanabakia kua mqomba omba hawana mbele wala nyuma. Imagine mtu aliesaidia kuiba kura akistaafu anakua omba omba kama hakusaidia dola kushika hatamu
 
Kwa akili hizi tukija kuruhusu URAIA PACHA IPO SIKU NCHI ITAUZWA YOTE TUBAKI WAPANGAJI
 
Uzi mwingine usio na content yenye haki ya kusomwa na mtu mwenye akili timamu.

JPM alivyokuwa anafanya ubaguzi nchi nzima kwa kuweka wasukuma kwenye halmashauri ilionekana poa tu, ule haukuwa ubaguzi.

Samia akifanya kazi kwa manufaa ya nchi inakuwa nongwa, na ni kwa wale waliozoea kula bata awamu ya JPM ndio wanaokuja kulialia JF.
 
Uzi mwingine usio na content yenye haki ya kusomwa na mtu mwenye akili timamu.

JPM alivyokuwa anafanya ubaguzi nchi nzima kwa kuweka wasukuma kwenye halmashauri ilionekana poa tu, ule haukuwa ubaguzi.

Samia akifanya kazi kwa manufaa ya nchi inakuwa nongwa, na ni kwa wale waliozoea kula bata awamu ya JPM ndio wanaokuja kulialia JF.
Soma vizuri mi sizungumzii ukabila wala ukanda
 
Uzi mwingine usio na content yenye haki ya kusomwa na mtu mwenye akili timamu.

JPM alivyokuwa anafanya ubaguzi nchi nzima kwa kuweka wasukuma kwenye halmashauri ilionekana poa tu, ule haukuwa ubaguzi.

Samia akifanya kazi kwa manufaa ya nchi inakuwa nongwa, na ni kwa wale waliozoea kula bata awamu ya JPM ndio wanaokuja kulialia JF.
Hakuna Raisi anaye semwa vibaya kama Magufuri.

Tenda vyema usifiwe.
 
Habari wana jamvi,

Kama kichwa cha somo kinavosema....

Msimamo wa mama samia kwenye maamuzi yake mengi ni kwamba WATANZANIA WENGI NI WAONGEAJI TUU LAKINI MWISHO WA SIKU HUKUBALI NA KUTULIA KIMYA NA KUZOEA.

Kauli hii aliitoa alipokua ana shoot film ya Royal tour akiwa maeneo ya Tegeta akizungumza na wananchi waliomuOmba azuie maswala ya TOZO ili wapate unafuu.

Hivi ndivo alivyo wasoma wadanganyika oooops sorry watanzania... ni keyboard worries na wasahaulifu, wanafiki na waoga na hilo limedhitishwa katika kila kitu ambacho alichoamua na kulalamikiwa lakini mwisho watanzania walikipigia makofi na kumtukuza.

Na hili pia napata picha anawachora na kucheka kwa kubenua mdomo huku akibidua macho yake mazuri aliyojaaliwa na Allah... anajisemea moyoni
"Watoto wangu hawaelewi nnavo wapambania wapate neema wanakazi ya kubwabwaja wakiwa hawawezi hata kutambaa na kujigeuza mpaka niwageuzi mimi nnayejua chungu kikoje"

Nikweli watanganyika ni wazito kufikiri na hata kuamua ndo Kuandamana kwa maslai ya taifa ni ngumu ila subiri paredi la YANGA kutangazwa Ubingwa watu watafia barabarani

#Akili kumkichwa
Watazungumza wee mwisho watachoka tutafanya jambo letu bandarini-Mama.
 
hivi uwekezaji mbona kipaumbele wanapewa waarabu waarabu tu kuna ajenda gani??????????????????????????????????????
Wazungu wanamasharti mengi.

Waturuki wamepewa SGR.

Na wachina wanaendelea na mwendokasi na bandari ya Bagamoyo inakuja.

Wazungu bado wapo migodini pia.
 
Back
Top Bottom