Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]Akishamaliza kupauza Bara, atuambie na sisi tukajazane kwenye kisiwa cha watu million 2 na upuuzi. Tuzichape mpaka warudi kwa mfalme wao Oman.
HAJAKOSEA KABISA>Habari wana jamvi,
Kama kichwa cha somo kinavosema....
Msimamo wa mama samia kwenye maamuzi yake mengi ni kwamba WATANZANIA WENGI NI WAONGEAJI TUU LAKINI MWISHO WA SIKU HUKUBALI NA KUTULIA KIMYA NA KUZOEA.
Kauli hii aliitoa alipokua ana shoot film ya Royal tour akiwa maeneo ya Tegeta akizungumza na wananchi waliomuOmba azuie maswala ya TOZO ili wapate unafuu.
Hivi ndivo alivyo wasoma wadanganyika oooops sorry watanzania... ni keyboard worries na wasahaulifu, wanafiki na waoga na hilo limedhitishwa katika kila kitu ambacho alichoamua na kulalamikiwa lakini mwisho watanzania walikipigia makofi na kumtukuza.
Na hili pia napata picha anawachora na kucheka kwa kubenua mdomo huku akibidua macho yake mazuri aliyojaaliwa na Allah... anajisemea moyoni
"Watoto wangu hawaelewi nnavo wapambania wapate neema wanakazi ya kubwabwaja wakiwa hawawezi hata kutambaa na kujigeuza mpaka niwageuzi mimi nnayejua chungu kikoje"
Nikweli watanganyika ni wazito kufikiri na hata kuamua ndo Kuandamana kwa maslai ya taifa ni ngumu ila subiri paredi la YANGA kutangazwa Ubingwa watu watafia barabarani
#Akili kumkichwa
Na ukute wamemsha muandalia kasri LA kupumzika akiwa mstaafu huko dubengaaaa.Huyu harudi pemba ataenda kwa mjomba ake oman alevizuri kamisheni zake
Hao wavaa magwanda wanasema kila siku, watakao toka barabarani wanavunjwa miguu, sasa nan anataka ulemavu wa ukubwani?Kinachowazuia wabongo wengi kutochukua hatua ni uoga na hili litatutafuna sana mpka siku tutakapojivua uoga na kuamua kuwapinga watu dhaifu kwenye uongozi
Ipo siku wataacha kusema hivyo ni swala la muda tu wenyewe hawaangalii mistakabali ya familia zao. Nina mifano mingi ya wavaa magwana wamestaafu wanabakia kua mqomba omba hawana mbele wala nyuma. Imagine mtu aliesaidia kuiba kura akistaafu anakua omba omba kama hakusaidia dola kushika hatamuHao wavaa magwanda wanasema kila siku, watakao toka barabarani wanavunjwa miguu, sasa nan anataka ulemavu wa ukubwani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio tunarudi utumwani sasa. Na ndio wanaona ni waka wanatoka huko nao.. Ndugu zao..hivi uwekezaji mbona kipaumbele wanapewa waarabu waarabu tu kuna ajenda gani??????????????????????????????????????
hivi uwekezaji mbona kipaumbele wanapewa waarabu waarabu tu kuna ajenda gani??????????????????????????????????????
Soma vizuri mi sizungumzii ukabila wala ukandaUzi mwingine usio na content yenye haki ya kusomwa na mtu mwenye akili timamu.
JPM alivyokuwa anafanya ubaguzi nchi nzima kwa kuweka wasukuma kwenye halmashauri ilionekana poa tu, ule haukuwa ubaguzi.
Samia akifanya kazi kwa manufaa ya nchi inakuwa nongwa, na ni kwa wale waliozoea kula bata awamu ya JPM ndio wanaokuja kulialia JF.
Hao bado wana hasira ya kuwapindua na kuwatimua za wakati ule.WANAOENDASHA PORT OF AMSTERDAM PIA WAKO NJEMA SANA.
SIJAWAHI KUWA NA IMANI NA WAARABU HATA SIKU MOJA THEY NATURAL SMAGGLERS
Hakuna Raisi anaye semwa vibaya kama Magufuri.Uzi mwingine usio na content yenye haki ya kusomwa na mtu mwenye akili timamu.
JPM alivyokuwa anafanya ubaguzi nchi nzima kwa kuweka wasukuma kwenye halmashauri ilionekana poa tu, ule haukuwa ubaguzi.
Samia akifanya kazi kwa manufaa ya nchi inakuwa nongwa, na ni kwa wale waliozoea kula bata awamu ya JPM ndio wanaokuja kulialia JF.
Lengo lako kuu halina tofauti na yule anayezungumzia ukabila na ukanda.Soma vizuri mi sizungumzii ukabila wala ukanda
Watazungumza wee mwisho watachoka tutafanya jambo letu bandarini-Mama.Habari wana jamvi,
Kama kichwa cha somo kinavosema....
Msimamo wa mama samia kwenye maamuzi yake mengi ni kwamba WATANZANIA WENGI NI WAONGEAJI TUU LAKINI MWISHO WA SIKU HUKUBALI NA KUTULIA KIMYA NA KUZOEA.
Kauli hii aliitoa alipokua ana shoot film ya Royal tour akiwa maeneo ya Tegeta akizungumza na wananchi waliomuOmba azuie maswala ya TOZO ili wapate unafuu.
Hivi ndivo alivyo wasoma wadanganyika oooops sorry watanzania... ni keyboard worries na wasahaulifu, wanafiki na waoga na hilo limedhitishwa katika kila kitu ambacho alichoamua na kulalamikiwa lakini mwisho watanzania walikipigia makofi na kumtukuza.
Na hili pia napata picha anawachora na kucheka kwa kubenua mdomo huku akibidua macho yake mazuri aliyojaaliwa na Allah... anajisemea moyoni
"Watoto wangu hawaelewi nnavo wapambania wapate neema wanakazi ya kubwabwaja wakiwa hawawezi hata kutambaa na kujigeuza mpaka niwageuzi mimi nnayejua chungu kikoje"
Nikweli watanganyika ni wazito kufikiri na hata kuamua ndo Kuandamana kwa maslai ya taifa ni ngumu ila subiri paredi la YANGA kutangazwa Ubingwa watu watafia barabarani
#Akili kumkichwa
Wazungu wanamasharti mengi.hivi uwekezaji mbona kipaumbele wanapewa waarabu waarabu tu kuna ajenda gani??????????????????????????????????????