Wajua MSIMAMO wa Rais Samia kwenye sakata la bandari? Huu hapa ushahidi

Wajua MSIMAMO wa Rais Samia kwenye sakata la bandari? Huu hapa ushahidi

JPM alivyokuwa anafanya ubaguzi nchi nzima kwa kuweka wasukuma kwenye halmashauri ilionekana poa tu, ule haukuwa ubaguzi.
Kwani msaidizi mkuu wa JPM alikuwa nani? Kwanza wote ni wale wale. Kwetu wengine, hawana tofauti...chama kile kile, watu wale wale, akili zile zile! Adui mkubwa taifa letu ni CCM.
 
Huyu mama anaonekana sio msomaji wa makabrasha anayoletewa mezani, ye ni kusaini tu halafu anawaambia muende mkalitazame!
Wahuni wanaenda kupiga pesa halafu mama anaweka pamba masikioni!
 
Lengo lako kuu halina tofauti na yule anayezungumzia ukabila na ukanda.
Nadhani wewe ndo mwenye Ukanda au maslahi binafsi... hoja hapo ni reaction ya watanzania hasa watanganyika wanapoumizwa au kupelekwa wasipotaka na serikali yao... na utofauti upo maana wenzetu zanzibar hua wanareact na serikali inawasikiliza somehow..
 
Habari wana jamvi,

Kama kichwa cha somo kinavosema....

Msimamo wa mama samia kwenye maamuzi yake mengi ni kwamba WATANZANIA WENGI NI WAONGEAJI TUU LAKINI MWISHO WA SIKU HUKUBALI NA KUTULIA KIMYA NA KUZOEA.

Kauli hii aliitoa alipokua ana shoot film ya Royal tour akiwa maeneo ya Tegeta akizungumza na wananchi waliomuOmba azuie maswala ya TOZO ili wapate unafuu.

Hivi ndivo alivyo wasoma wadanganyika oooops sorry watanzania... ni keyboard worries na wasahaulifu, wanafiki na waoga na hilo limedhitishwa katika kila kitu ambacho alichoamua na kulalamikiwa lakini mwisho watanzania walikipigia makofi na kumtukuza.

Na hili pia napata picha anawachora na kucheka kwa kubenua mdomo huku akibidua macho yake mazuri aliyojaaliwa na Allah... anajisemea moyoni
"Watoto wangu hawaelewi nnavo wapambania wapate neema wanakazi ya kubwabwaja wakiwa hawawezi hata kutambaa na kujigeuza mpaka niwageuzi mimi nnayejua chungu kikoje"

Nikweli watanganyika ni wazito kufikiri na hata kuamua ndo Kuandamana kwa maslai ya taifa ni ngumu ila subiri paredi la YANGA kutangazwa Ubingwa watu watafia barabarani

#Akili kumkichwa

1. Keyboard worrie= keyboard warrior(s)
2. Kinavosema= kinavyosema
3. nnavo=ninavyo
4. Wanakazi= wana kazi
5.
 
Huyu mama anaonekana sio msomaji wa makabrasha anayoletewa mezani, ye ni kusaini tu halafu anawaambia muende mkalitazame!
Wahuni wanaenda kupiga pesa halafu mama anaweka pamba masikioni!
Na hili watamwambia tunamwonea kwakua ni mwanamke ivo asikubali udhaifu atukazie tuu mkataba upite kama ulivyo wallah🥵🥵
 
1. Keyboard worrie= keyboard warrior(s)
2. Kinavosema= kinavyosema
3. nnavo=ninavyo
4. Wanakazi= wana kazi
5.
Poposa ndundusa...... ila sio mbaya akili unazo hata kuweza kutambua hizo error .... ila huu usaliti dhidibya taifa lako laana ikujie juu na kizazi chako
 
kuna muda natamani hawa viongozi wetu tuwapige mawe tu.
Sio siri hata mimi hua nafili zaidi ya ivo ila ndo tumewapa nguvu mpaka kina kigwangala wanapiga watu bastola hadharani tena kwa ishu ndogo tuu
 
hivi uwekezaji mbona kipaumbele wanapewa waarabu waarabu tu kuna ajenda gani??????????????????????????????????????
Kwa sasa waarabu ndiyo wenye pesa, huoni hata wachezaji mpira maarufu kama wakina CR7 wanachezea timu za waarabu. Mwenye pesa si mwenziyo, wazungu kwa sasa wanahangaika na hali zao mbaya za kiuchumi unaweza kusikia COVID ya kiuchumi ikiikumba dunia.
 
Back
Top Bottom