Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
- #81
Hakuna jeshi linapinga nguvu ya raia ni vile raia hatujaamua tuuIpo siku wataacha kusema hivyo ni swala la muda tu wenyewe hawaangalii mistakabali ya familia zao. Nina mifano mingi ya wavaa magwana wamestaafu wanabakia kua mqomba omba hawana mbele wala nyuma. Imagine mtu aliesaidia kuiba kura akistaafu anakua omba omba kama hakusaidia dola kushika hatamu