Kwani msaidizi mkuu wa JPM alikuwa nani? Kwanza wote ni wale wale. Kwetu wengine, hawana tofauti...chama kile kile, watu wale wale, akili zile zile! Adui mkubwa taifa letu ni CCM.JPM alivyokuwa anafanya ubaguzi nchi nzima kwa kuweka wasukuma kwenye halmashauri ilionekana poa tu, ule haukuwa ubaguzi.
Udini umekaaje hapa hebu fafanuaajenda ni UDINI tu wala hakuna kingine
hivi kweli vyombo vyote vya dola vimetulia nchi inapitia magumu haya?
Nadhani wewe ndo mwenye Ukanda au maslahi binafsi... hoja hapo ni reaction ya watanzania hasa watanganyika wanapoumizwa au kupelekwa wasipotaka na serikali yao... na utofauti upo maana wenzetu zanzibar hua wanareact na serikali inawasikiliza somehow..Lengo lako kuu halina tofauti na yule anayezungumzia ukabila na ukanda.
Asichukiwe siku zote aje achukiwe leo??Chuki ni DINI yake tu, hata KIKWETE aliandamwa hivihivi.
Habari wana jamvi,
Kama kichwa cha somo kinavosema....
Msimamo wa mama samia kwenye maamuzi yake mengi ni kwamba WATANZANIA WENGI NI WAONGEAJI TUU LAKINI MWISHO WA SIKU HUKUBALI NA KUTULIA KIMYA NA KUZOEA.
Kauli hii aliitoa alipokua ana shoot film ya Royal tour akiwa maeneo ya Tegeta akizungumza na wananchi waliomuOmba azuie maswala ya TOZO ili wapate unafuu.
Hivi ndivo alivyo wasoma wadanganyika oooops sorry watanzania... ni keyboard worries na wasahaulifu, wanafiki na waoga na hilo limedhitishwa katika kila kitu ambacho alichoamua na kulalamikiwa lakini mwisho watanzania walikipigia makofi na kumtukuza.
Na hili pia napata picha anawachora na kucheka kwa kubenua mdomo huku akibidua macho yake mazuri aliyojaaliwa na Allah... anajisemea moyoni
"Watoto wangu hawaelewi nnavo wapambania wapate neema wanakazi ya kubwabwaja wakiwa hawawezi hata kutambaa na kujigeuza mpaka niwageuzi mimi nnayejua chungu kikoje"
Nikweli watanganyika ni wazito kufikiri na hata kuamua ndo Kuandamana kwa maslai ya taifa ni ngumu ila subiri paredi la YANGA kutangazwa Ubingwa watu watafia barabarani
#Akili kumkichwa
Na hili watamwambia tunamwonea kwakua ni mwanamke ivo asikubali udhaifu atukazie tuu mkataba upite kama ulivyo wallah🥵🥵Huyu mama anaonekana sio msomaji wa makabrasha anayoletewa mezani, ye ni kusaini tu halafu anawaambia muende mkalitazame!
Wahuni wanaenda kupiga pesa halafu mama anaweka pamba masikioni!
Poposa ndundusa...... ila sio mbaya akili unazo hata kuweza kutambua hizo error .... ila huu usaliti dhidibya taifa lako laana ikujie juu na kizazi chako1. Keyboard worrie= keyboard warrior(s)
2. Kinavosema= kinavyosema
3. nnavo=ninavyo
4. Wanakazi= wana kazi
5.
🤣🤣🤣🤣lakutumbuliwa sioLaichi nae ni mfanyakazi hewa.
Kwaivo tuendelee kugawa tuu au sio??Wazungu wanamasharti mengi.
Waturuki wamepewa SGR.
Na wachina wanaendelea na mwendokasi na bandari ya Bagamoyo inakuja.
Wazungu bado wapo migodini pia.
Jipu aisee.🤣🤣🤣🤣lakutumbuliwa sio
Sio siri hata mimi hua nafili zaidi ya ivo ila ndo tumewapa nguvu mpaka kina kigwangala wanapiga watu bastola hadharani tena kwa ishu ndogo tuukuna muda natamani hawa viongozi wetu tuwapige mawe tu.
Ila hili tupige tuu kelele hatakama kuandqmana ni ngumu aiseehWatazungumza wee mwisho watachoka tutafanya jambo letu bandarini.
Kuna faili lake nilipewa nikasema basi tumekwisha ila nilikua namkubali saanaNa yeye ni ntu wa dili tu kama walivyo CCM wote.
Unadhani ataanzia wapi kubeba maji kwa mbeleko??Lucas mwashambwa uko wapi mama anashambuliwa huku?
Kwani wanaofanya ivo unafikiri hawajaukana utanzania?? Wana uraia kwengine kitambo saanaKwa akili hizi tukija kuruhusu URAIA PACHA IPO SIKU NCHI ITAUZWA YOTE TUBAKI WAPANGAJI
Kwa sasa waarabu ndiyo wenye pesa, huoni hata wachezaji mpira maarufu kama wakina CR7 wanachezea timu za waarabu. Mwenye pesa si mwenziyo, wazungu kwa sasa wanahangaika na hali zao mbaya za kiuchumi unaweza kusikia COVID ya kiuchumi ikiikumba dunia.hivi uwekezaji mbona kipaumbele wanapewa waarabu waarabu tu kuna ajenda gani??????????????????????????????????????