Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
-
- #81
Hakuna jeshi linapinga nguvu ya raia ni vile raia hatujaamua tuuIpo siku wataacha kusema hivyo ni swala la muda tu wenyewe hawaangalii mistakabali ya familia zao. Nina mifano mingi ya wavaa magwana wamestaafu wanabakia kua mqomba omba hawana mbele wala nyuma. Imagine mtu aliesaidia kuiba kura akistaafu anakua omba omba kama hakusaidia dola kushika hatamu
Nasisi ndo tunawatia ujinga viongoziKinachowazuia wabongo wengi kutochukua hatua ni uoga na hili litatutafuna sana mpka siku tutakapojivua uoga na kuamua kuwapinga watu dhaifu kwenye uongozi
Kwann kimya au sio mtanzania nn??Ngoja nipite kimya kimya.
Mkuu sifa ya mtu anayejielewa ni kuwa na msimamo unaojitegemea siku zote. Hoja za kibaguzi na kishenzi zinapingwa kwa nguvu zote, kwani madhara yake tunayajua.Nadhani wewe ndo mwenye Ukanda au maslahi binafsi... hoja hapo ni reaction ya watanzania hasa watanganyika wanapoumizwa au kupelekwa wasipotaka na serikali yao... na utofauti upo maana wenzetu zanzibar hua wanareact na serikali inawasikiliza somehow..
Anayelaani ni Mungu pekee wengine kelele tu.Poposa ndundusa...... ila sio mbaya akili unazo hata kuweza kutambua hizo error .... ila huu usaliti dhidibya taifa lako laana ikujie juu na kizazi chako
Kwa jina lake utaĺaanika tuuAnayelaani ni Mungu pekee wengine kelele tu.
Ukiwa mzima leo kesho ukiugua huendi hospital??Chadema ni watu wenye uelewa mdogo Sana juzi Tu mlifurahia kifo cha shujaa na kusema sasa mnaupiga mwingi
Mkuu sifa ya mtu anayejielewa ni kuwa na msimamo unaojitegemea siku zote. Hoja za kibaguzi na kishenzi zinapingwa kwa nguvu zote, kwani madhara yake tunayajua.
Msikilize yule Mama mwenyekiti wa wenye viwanda Tanzania anapojenga hoja juu ya incompetence yetu ndio utajua kuwa wengi wetu tunadanganywa na hawa wapigaji wa bandarini na tunapotea mazima.
hivi uwekezaji mbona kipaumbele wanapewa waarabu waarabu tu kuna ajenda gani??????????????????????????????????????