Wajue waimba gospel wa kike ambao wamevunja ndoa zao baada ya kuwa maarufu

Anayekuja akiondoka ndo kavunja
 
Hahahaha braza usije ikawa unawachafua mbna unafatilia sna maisha Yao

Ila waimbaji na hao wanojiita watu was kwanya kwaya hkn kitu Zaid ya umalaya
 
Christina shusho ni shemeji yenu tuheshimiane jamanj
Kweli mchumba hasomeshwi, Mzee shusho alimtoa kigoma akamsomesha alipokuwa maarufu kaanza kuchepuka na vigogo ( RIP Mgombea Act) baadae akamtosa mzee shusho akahama na kanisa la mzee.
Alikuwa na vituko sana kanisani maana yeye na simu masaa yote ya ibada.
 
7

Duh

Huyuuudadaaa n kweliii aisee uzinzi hauishiiii ile ingekuwa amriiyakwanzaamkha

Jamani upendo......mmmh .salikiee nunuu mwenziookakomaaaa
 
Weka na manabiiii wadangaji????■■■■■■■■■■■8■■■■■■■■■■■
 
kuna kitu...kuhusu ndoa ukitulia tuhadithie...unapo zungumzia mambo ya ndoa haswa kutengana huwa unazingumza kwa hisia kali sana...

ikikupendeza tuhadithie tujifunze​
 
Kuna nyuzi zinazungumzia nguvu ya namba 8 ambayo ni numerolojia ya mwaka 2024, kuwa utakuwa mwaka wa mafanikio Kwa wayatafutayo.

Kuna ule mwingine unaozungumzia kuinuliwa Kwa vijana kufanya kazi ya utume na unabii
Mwanzo mpya kuelekea Mwisho wa enzi
Finalization inafanyika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…