Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Anayekuja akiondoka ndo kavunjaHivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?
Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.
Tugane dhambi, kama alimuache wa ndoa we ni nani??Christina shusho ni shemeji yenu tuheshimiane jamanj
Ingia Instagram anatumia jina hilo hilo. Mataelewana huko. Hana tofauti na Mwajuma mkorogoNisaidie namba Ya C Shusho pm mkuu
Hanasi mimba yule. Angekuwa ana nasa basi angekuwa na watoto wa kutosha timu 2 za mpira wa miguuChristina Shusho anaonekana mtamu nikimpata nipo tayari hata kumpa zawadi ya mimba.
Hahahaha braza usije ikawa unawachafua mbna unafatilia sna maisha YaoTulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.
Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.
4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).
5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)
7. Upendo Kilailo. Huyu alisafiri kihuduma kwenda US. Kufika huko akaolewa tena.
8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.
Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
Unaweza kuweka hapa hapa majina ya hao wanaume 4 walio wahi kumuoa kisha akavunja ndoa.6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)
[emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787] wee Ni mbwa KweliUkristo ni dini kisheitwani wakristo wote ni waoumbavu
Ilisemwa kuwa Rose Muhando aliwahi kuishi na mwanaume kindoa huko Dodoma kabla ya kuja DSM.Rose Muhando aliwahi kuoolewa na nani, si kila mtoto ana baba yake pale na walomzalisha aliimba kwamba walimkimbia?
Wanatuhubiria tutende mema. Kwahiyo walipaswa kuwa mfano kwa jamii. Ndiyo maana wanapopotoka tunawasemaHahahaha braza usije ikawa unawachafua mbna unafatilia sna maisha Yao
Ila waimbaji na hao wanojiita watu was kwanya kwaya hkn kitu Zaid ya umalaya
Na aliolewa pia na meneja wake baada ya kuwa staa ktk gospelIlisemwa kuwa Rose Muhando aliwahi kuishi na mwanaume kindoa huko Dodoma kama ya kuja DSM.
Kweli mchumba hasomeshwi, Mzee shusho alimtoa kigoma akamsomesha alipokuwa maarufu kaanza kuchepuka na vigogo ( RIP Mgombea Act) baadae akamtosa mzee shusho akahama na kanisa la mzee.Christina shusho ni shemeji yenu tuheshimiane jamanj
Wewe kama siyo Angel Benard mwenyewe basi utakuwa kimada wake. Maana siyo kwa povu hili.Unaweza kuweka hapa hapa majina ya hao wanaume 4 walio wahi kumuoa kisha akavunja ndoa.
Ikiwa huna majina yao basi we ni mbea tu wa kupuuzwa.
Zamani sana.Na Kristina Yumo?
Ni hatari na nusuKweli mchumba hasomeshwi, Mzee shusho alimtoa kigoma akamsomesha alipokuwa maarufu kaanza kuchepuka na vigogo ( RIP Mgombea Act) baadae akamtosa mzee shusho akahama na kanisa la mzee.
Alikuwa na vituko sana kanisani maana yeye na simu masaa yote ya ibada.
7Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.
Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.
4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).
5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)
7. Upendo Kilailo. Huyu alisafiri kihuduma kwenda US. Kufika huko akaolewa tena.
8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.
Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
Weka na manabiiii wadangaji????■■■■■■■■■■■8■■■■■■■■■■■Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.
Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.
4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).
5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)
7. Upendo Kilailo. Huyu alisafiri kihuduma kwenda US. Kufika huko akaolewa tena.
8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.
Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
Hivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?
Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.
Unaokota umbea kisha unaleta hapa pasipo kuhakiki kama ni kweli ama sio kweli. Najua huna orodha ila umekurupuka tu kama kunguru wa zenji na kuanzisha uzi .Wewe kama siyo Angel Benard mwenyewe basi utakuwa kimada wake. Maana siyo kwa povu hili.
Mwanzo mpya kuelekea Mwisho wa enziKuna nyuzi zinazungumzia nguvu ya namba 8 ambayo ni numerolojia ya mwaka 2024, kuwa utakuwa mwaka wa mafanikio Kwa wayatafutayo.
Kuna ule mwingine unaozungumzia kuinuliwa Kwa vijana kufanya kazi ya utume na unabii