Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
kuishi kinyumba/kihawara ni tofauti na kwenda church kufunga ndoa. fafanua vizuri. h uwezi kuishi kihawara ukasema una ndoa.Ilisemwa kuwa Rose Muhando aliwahi kuishi na mwanaume kindoa huko Dodoma kama ya kuja DSM.
martha ana mtoto wa kike yupo chuo kama sikosei alizalia nyumbani. yule aliyezaa na mumewe ni wa kwenye ndoa. kiufupi ma singo maza muwe mnakumbuka mlikotoka namna tulivyowaokota. wanaume huwa tunajitoa mhanga sana kuoa mtu ambaye alishazaa na mwanaume mwingine, yaani lijamaa lilipiga hadi sio kumwaga tu bali hadi kuunganisha damu mimba, lakini tukiwaokota mnakuja kutuona hatuna maana.Ana mtt wa kiume aliyemzaa na aliyekua mumewe
Huyo Binti gani mnamuongelea?
Kama kwel vile 😂😂😂.ndio maana Yesu hakuzungumzia suala la ndoa
ingekuwa kufumaniwa au kucheat ni sababu y a mkristo kuachana, ndoa za wakristo zingekuwa chache sana. wala sio justification hiyo.1. Bahati Bukuku mumewe alizingua, hapa umemuonea. Mume ndiye kicheche na alimsababishia ngwengwe.
2. Upendo Kilahiro pia umemuonea mkosaji ni mumewe alimfumania live.
Muwe mnafanya utafiti msionee mtu
Uzuri ni ukweli usio na shaka so hata mapovu hayatokuwa mengi.Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.
Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.
4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).
5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)
7. Upendo Kilailo. Huyu alisafiri kihuduma kwenda US. Kufika huko akaolewa tena.
8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.
Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
Umeongea ukweliHivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?
Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.
Upendo pia alikuwa anapigwa balaa1. Bahati Bukuku mumewe alizingua, hapa umemuonea. Mume ndiye kicheche na alimsababishia ngwengwe.
2. Upendo Kilahiro pia umemuonea mkosaji ni mumewe alimfumania live.
Muwe mnafanya utafiti msionee mtu
Malaya anashikaga mimba uliona wapi? Pale yuko full fullChristina Shusho anaonekana mtamu nikimpata nipo tayari hata kumpa zawadi ya mimba.
Sawa lkn sio wote aliowataja hapoUzuri ni ukweli usio na shaka so hata mapovu hayatokuwa mengi.
Gospel ni kichaka cha Uzinzi
Khaaaa jmnMalaya anashikaga mimba uliona wapi? Pale yuko full full
Kafanyaje mkuu?atosha kisavaa yule aliembayumwema
Tayana una folders zakutosha juu ya hizo namba za mtoa mada ...Khaaaa jmn
Ana watt wake 3 tayari mimba ya nn Tena 🤣
Halafu lakusema unakuwa huna na viemoji vyako 😄
Sasa hao si kabla haja janjaruka.. kwasasa ambavyo kashakuwa certified seller, huwez kumtundika mimba hata iwejeKhaaaa jmn
Ana watt wake 3 tayari mimba ya nn Tena 🤣
Kama yupo sio hapoSawa lkn sio wote aliowataja hapo
Huyo Muha mkorofi?Upendo pia alikuwa anapigwa balaa
Mpk watu wachomwe na mkaa ndo wanachotaka
Nimesoma tu comments zenu zinanitosha😃Halafu lakusema unakuwa huna na viemoji vyako 😄
Atosha aliwahi olewa?atosha kisavaa yule aliembayumwema