Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
No,si Kila mziki mbaya!
Kuna secular music na non secular music.....
Tofautisha hapo...
Mziki wowote nyuma yake una roho(spirit) sa ni roho gani Iko nyuma ya huo mziki unaousikiliza ndo shida inaanzia hapo!
Na ndo maana sio Kila gospel ni gospel,nyimbo zenye Mungu kweli ndani yake km uko vzr unajua tu na za mchongo unajua tu!
Imagine mwingine kabla haajchia nyimbo/album mpk aende Kwa mganga wake ,sa unategemea unasikikiza nyimbo hiyo zile roho za kule alikoenda zitakuacha?
Same Kwa anaeomba Mungu kwanza kabla hajaziachia nyimbo zake....
Kuna secular music na non secular music.....
Tofautisha hapo...
Mziki wowote nyuma yake una roho(spirit) sa ni roho gani Iko nyuma ya huo mziki unaousikiliza ndo shida inaanzia hapo!
Na ndo maana sio Kila gospel ni gospel,nyimbo zenye Mungu kweli ndani yake km uko vzr unajua tu na za mchongo unajua tu!
Imagine mwingine kabla haajchia nyimbo/album mpk aende Kwa mganga wake ,sa unategemea unasikikiza nyimbo hiyo zile roho za kule alikoenda zitakuacha?
Same Kwa anaeomba Mungu kwanza kabla hajaziachia nyimbo zake....
Kuna vitu ukijishughulisha navyo huwezi kuepukana na maovu na machafu, hasa mambo ambayo ndani yake kuna ala za muziki, yaani kwa ujumla mziki. Mziki ni ushetani na jambo lisilo faa.
Shetani akawapambia wanadamu kwa majina mazuri kama vile Muziki wa Injili na mfano wake. Yaani huo pia ni mziki na ni ushetani.
Huwezi kutoboa haihitajiki akili kubwa kabis