Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwani kulikuwa na shida gani kama wangerihusu wanachama wengine kuchukua fomu na kuomba kuteuliwa?..... Si ndiyo demokarsia yenyewe?
 
Good Governance and Checks and Balances was purely contravened and impaired!!😭
 
Kwa sasa CHADEMA inamuhitaji sana LISSU kuliko MBOWE a.k.a Museveni
 
Mama alishamaliza kusukuma kete zake mapema sana. Watu wamekuja kushtuka ameingi King. Anastahili kwani kama ni maendeleo, yanaonekana kwa macho na wote tunayaishi
 


Imekuwa ni siku ya furaha tele kwa wanachama wa chama cha CCM leo baada ya rais kutangazwa upya mgombea wa CCM 2025.

Wajumbe hawa wote majimbo yako huru naona ubunge unanukia 2025.

Mbunge mtarajiwa kinje na mbunge mtarajiwa faraja.
 
Jpm alituonyesha jinsi katiba yetu ilivyo mbovu...akaondolewa tukaendelea kuikumbatia wapinzani wakalia lisu akasema...Sasa hivi CCM wanalia...hakuna anayeweza kumtoa Samia madarakani labda mwenye mamlaka ya roho yake...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…