Wakaka fueni boxer, acheni kuvaa zaidi ya mara moja



Sio boxer, ni hiyo ndo inanuka
 

Attachments

  • FB_IMG_1685557261187.jpg
    85.4 KB · Views: 7
Naona umepata Mwanaume wa level yako ila ukaamua tu kuua so hapa JF kwa kusema eti umekutana nae kwenye usafiri wa umma.

😀 😀
 
Maisha yanaenda Kasi sana 🤣🤣ngoja wa kijijini tukumbushane

Zamani tulikua tunavaa Pichu zina rangi ya bendera ya Kenya

Tukaja kuvaa bukta ambazo ni jezi eq bukta za Chelsea, zle jersey za Ghana na Cameroon.

Zikaja zle boksa zinabana kinoma 😁😁hapo afisa mdinyaji anabanwa kinyama

Ndo zikaja hz za siku hz🤣🤣
 
Harufu ya boxer uliyoinusa ilikuwa ya mkojo au nnya? Ungesema kikwapa ungeeleweka zaidi.
 
Si umwambie huyo uliekuta ana boxer chafu, usitujumuishe wanaume.
 
Tuko busy kumitafutieni Mihela,tunaupataje muda huo,muda mnao ila mnatupotezea,ila mnaitaka tu Mihela yetu🏃🏃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…