Wakalenjini na Wakikuyu wataendelea kutawala Kenya miaka mingine 20

Wakalenjini na Wakikuyu wataendelea kutawala Kenya miaka mingine 20

Mzuka wanajamvi!

Kesho jioni watu tutakuwa tumehakikishiwa ushindi mnono wa ndugu yetu William Ruto kuwa Rais wa Tano Kenya.

Ruto atakuwa Rais kwa mihula miwili Hadi 2032. Na baada ya hapo makamu wake Rigathi Gachagua ataendelea mihula mingine miwili Hadi 2042. Wakati huo tumeshapeleka binadamu mars.

Leo kuanzia jioni hadi kesho jioni nitafunga. Namuombea Ndugu Ruto na Gachagua waibuke na ushindi mnono.

Huo ni mpango wa Mungu believe me!
Maombi ya Nini hapo Ili Hali kwenye kichwa cha habari unadai mtaongoza milele?
 
Zimebaki siku chache tunzeni hii quotes mlete mrejesho.Ipo hivi duniani nzima ikiwemo serikali zote za duniani zipo chini ya nguvu za mamlaka ya watawala wa ulimwengu usioonekana, chochote kabla hakijafanyika ktk ulimwengu wa macho tayari kilishafanyika au afikiwa ktk ulimwengu usioonekana.
Uwe unataka utaki unakubali ukubali sisi sote tunaongozwa na nguvu zilizo nje ya uwezo wetu ambazo zipo ktk ulimwengu wa siri.
Kama serikali tu inawatambua wazee mfano wazee wa Dar ukadhani ni wazee as wazee sababu ya mvi au umri upo nyuma upo wrong,wale ni watu wazito Sana katk ulimwengu ulionekana wapo physical kuwakilisha wakuu wa ulimwengu usioonekana.
Ni SAwa na vatican, vatican si kama vatican ni zaidi ya vatican,thus wakuu wote wa duniani bila kujali dini ni lazima wasalute kwa Pope. Raila Odinga alimshinda UHURU uchaguzi uliopita akawa ajakubaliana masharti ya wakuu wa dunia thus akachezewa mchezo akapewa UHURU, Then anaitwa akaitwa akayakubali masharti thus anachukua this time hata Kenyatta analijua hili ndo maana kaamua kuwa upande wa Raila.
Kwann kambi ya Raila itashinda.
1.Wakenya wamechoka kutawaliwa na kabila/ ukanda mmoja miaka yote, wanataka kubadilisha ladha.
2.Kambi ya Odinga ni strong Ina wagombea smart na wameshauzika miaka mingi sana yaani Odinga na Martha Karua kuliko kambi ya Ruto pia ni wanasiasa mahiri na ni wachapa Kazi wakenya wanaona watavusha na sio ile kambi ya mafisadi.
3.Kambi ya ODIMA yaani Martha na Odinga Ina makampeni meneja smart na makini Sana kuliko kambi ya Ruto.
4.Ruto anajibomboa mwenyewe kwa kauli zake za chuki na visasi na ukosefu wa nidhamu.
5.Ruto ana visasi hana utulivu wa akili yaani sio matured and civilized enough kuongoza nchi,kiburi mjuaji mapepe yaani saikolojia yake haijabalance bado kulinganisha na Odinga,pia ni dictator hofu atawaletea machafuko wa Kenya.
6.Wakuu wa duniani hawawezi ruhusu hayawani aingie ikulu, Kenya ni muhimu Sana kama base ya kucontrol East, and Central Afrika ikiwemo Ghuba ya Aden. Utulivu wa Kenya ni muhimu Sana kwa interest zao.
7.Katika ulimwengu usioonekana wao chaguo lao ni Odinga kwa maana ni rahisi kumcontrol kinyota na sio Ruto yeye hayupo kabisa kwenye radar zao.
8.Ruto ni fisadi,Ruto ni mwizi.
Wiki ijayo sio mbali tunzeni post hii.RAILA AMORO ODINGA ndie next president wa Kenya.
Umeandiak uwongo kwa asilimia 80 % acha speculation za kijinga na kijidai unajuwa vitu kumbe hkn kitu eti dunia inaendesdwah na wasijulikana
 
Umeandiak uwongo kwa asilimia 80 % acha speculation za kijinga na kijidai unajuwa vitu kumbe hkn kitu eti dunia inaendesdwah na wasijulikana
Kwa macho ya kawaida huwezi ona
 
Kura za Wakalenjini na wakikuyu tu zimetosha kumvukisha this humble God fearing gentleman. Kusema kweli Ruto anastahili kuwa Rais wa Tano Kenya. Namuombea na nitafurahivsana akashinda.
Kura za wakikuyu zimeshagawanyika baina ya Karua na Gachagua. Na mgawanyo huo unamnufaisha zaidi mwana wa Jaramogi as uzito mwingi wa kura za wakikuyu upo kwake. Hii ni kutokana na kuwa na backup ya Mwigai mwana wa Kenyatta ambaye amekuwa akimpigia kura kwa kuongea lugha ya asili yake alipokuwa anazuru kwa wakikuyu wenzie. Odinga anachukua nchi.
 
Kura za wakikuyu zimeshagawanyika baina ya Karua na Gachagua. Na mgawanyo huo unamnufaisha zaidi mwana wa Jaramogi as uzito mwingi wa kura za wakikuyu upo kwake. Hii ni kutokana na kuwa na backup ya Mwigai mwana wa Kenyatta ambaye amekuwa akimpigia kura kwa kuongea lugha ya asili yake alipokuwa anazuru kwa wakikuyu wenzie. Odinga anachukua nchi.
Waaaapiiii
 
Yaani kwenye uzi mwanzo mwisho hapahesabiki wakenya hata watatu tu. Majirani tulieni, maamuzi yapo kwa wenye kura, huu sio ushabiki wa Yanga na Simba.

Kigezo cha kushinda kura za urais nchini Kenya sio kuwa na kura nyingi tu, zaidi ya mpinzani wako. Huo upuuzi tuliuacha zamani. Ili atangazwe kama mshindi mgombea urais lazima atimize vigezo vya kupata 50%+1 ya kura zote na pia awe amepata 25% ya kura zote kwenye gatuzi 25, kati ya gatuzi zote 47.
 
Back
Top Bottom