Wakati Diamond Platnumz akitoka kwenye international shows ulaya na Africa.. Ali Kiba anaenda kufanya show ya kuzindua duka mkoani Morogoro

Wakati Diamond Platnumz akitoka kwenye international shows ulaya na Africa.. Ali Kiba anaenda kufanya show ya kuzindua duka mkoani Morogoro

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Wakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.

Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.

Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.

Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
 
Uchawa kwa Mtoto wa Kiume ni aibu sana huyo Diamond anakufahamu lakini? Hata kama Wewe ni Chawa jifunze kubalansi shobo. Hivi ungeripoti habari ya Diamond bila kuiingiza habari ya Ali Kiba ungepungukiwa na nini.
Nina Wasiwasi na wewe yawezekana upo kwenye group moja na kina Baba Levo na Juma Lokole
 
Wakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.

Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.

Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.

Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Dunia ndivyo ilivyo.Wakati wewe unatumia bando kutuletea habari , Kiba na Mondi wanaingiza pesa. Hongera sana kwao.
 
Wakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.

Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.

Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.

Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Hata diamond alipokuwa Kwa Diddy chumbani kiba alikuwa na demu wake geto
 
Uchawa kwa Mtoto wa Kiume ni aibu sana huyo Diamond anakufahamu lakini? Hata kama Wewe ni Chawa jifunze kubalansi shobo. Hivi ungeripoti habari ya Diamond bila kuiingiza habari ya Ali Kiba ungepungukiwa na nini.
Nina Wasiwasi na wewe yawezekana upo kwenye group moja na kina Baba Levo na Juma Lokole
Umepanic sana bila sababu ya msingi. Hii ni habari na uhalisia wa muziki wetu. Ukiweza ibadilishe basi iwe tofauti.
 
Uchawa kwa Mtoto wa Kiume ni aibu sana huyo Diamond anakufahamu lakini? Hata kama Wewe ni Chawa jifunze kubalansi shobo. Hivi ungeripoti habari ya Diamond bila kuiingiza habari ya Ali Kiba ungepungukiwa na nini.
Nina Wasiwasi na wewe yawezekana upo kwenye group moja na kina Baba Levo na Juma Lokole
Liko vipi hilo kundi?
 
Back
Top Bottom