Wakati Diamond Platnumz akitoka kwenye international shows ulaya na Africa.. Ali Kiba anaenda kufanya show ya kuzindua duka mkoani Morogoro

Wakati Diamond Platnumz akitoka kwenye international shows ulaya na Africa.. Ali Kiba anaenda kufanya show ya kuzindua duka mkoani Morogoro

Wakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.

Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.

Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.

Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Kama kuna kosa mnafanya nyinyi generation Z ni kumfananisha alikiba na diamond ni sawa na kumfananisha samata na Edwin balua because they are two different artists from different generations anayoyafanya diamond Ali kiba kashafanya long time ago.
 
Kama kuna kosa mnafanya nyinyi generation Z ni kumfananisha alikiba na diamond ni sawa na kumfananisha samata na Edwin balua because they are two different artists from different generations anayoyafanya diamond Ali kiba kashafanya long time ago.
Hapa umetupiga fix
 
Wakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.

Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.

Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.

Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Sawa dada yake pdidy naona unampamba wifi yako kwa juhudi zake za mwanamke mpambanaji.
Ila mwanaume mimi siwezi na siko tayari kumsifia mke wa mwanaume mwenzangu.
 
Wakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.

Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.

Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.

Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Wanaomlinganishaga Alli Kiba na Diamond ni aidha ni chawa au ni wanafiki. Na hawa wanafiki enzi tukiwa wadogo walikuwa wanasema "wanampaka maduta Alli Kiba kwa mgongo wa chupa"!!!
 
Lakini mna uhakika Alikiba angetaka competition na Diamond asingeweza kumifikia?? Au ni wametofautiana level, kwa maana wakati Alikiba anawika Bongo Daimond hakuwepo kabisa
 
Kuna watu walishakata kupakwa BABY OIL kwahiyo msiwalazimishe kufata mafuta
 
Back
Top Bottom