Wakati Diamond Platnumz akitoka kwenye international shows ulaya na Africa.. Ali Kiba anaenda kufanya show ya kuzindua duka mkoani Morogoro

Wakati Diamond Platnumz akitoka kwenye international shows ulaya na Africa.. Ali Kiba anaenda kufanya show ya kuzindua duka mkoani Morogoro

Bora alikiba hapotezi muda wake , ila mondi anaenda huko hakuna wakumshangilia kiba kashajua nje nikujichoresha nakujipa preshaa maana hawajulikani mwisho wakujulikana kenya
 
Wakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.

Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.

Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.

Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Usimlinganishe diamond na vitu vya ajabu!yaani Kiba hamfikii diamond kwa lolote lile
 
Wakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.

Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.

Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.

Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Kwani anapozindua duka anafanya show bure?
 
Hakuna sehemu nimeandika show ya bure. Una tatizo la uelewa.
Umeandika kwa kukejeli ndiyo maana nikakuuliza kwani anafanya bure? Kwahiyo wewe unaweza kufanya show London bure kisa ni nje ya nchi? Kama amepata maokoto ni moja ya sehemu ya kazi....Mchagua jembe si mkulima.
 
Nimeona hizo Habari.. VunjaBei Kama Dar,, Duka limehamia Moro Town
 
Wakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.

Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.

Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.

Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Wote si wanaingiza pesa
 
Kuna sehemu nimezungumza kuhusu mtu kutoingiza pesa?

Sielewi kwa nini watu uwa mnakosa akili kabisa hata ya ufahamu wa kusoma very simple article.
Hoja zako zinakuaga nzuri but shinda ni moja uwashilishwaji wako wa mada unazingua ni hivyo tu
 
Wakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.

Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.

Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.

Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Kikubwa kiba hakwenda kwa pididi.....,,kwahio asifananishwe na alieenda kumtembele pididi nyumbani kwake
 
Wakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.

Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.

Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.

Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Ww kinachokuuma ni kipi hapo kwani?
 
Vp walivyofika kwa p diddy walipanda juu au waliishia chini
 
Wakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.

Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.

Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.

Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe❤.
 
Wakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.

Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.

Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.

Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Hajaenda kwa DD
 
Back
Top Bottom