SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Bora alikiba hapotezi muda wake , ila mondi anaenda huko hakuna wakumshangilia kiba kashajua nje nikujichoresha nakujipa preshaa maana hawajulikani mwisho wakujulikana kenya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimlinganishe diamond na vitu vya ajabu!yaani Kiba hamfikii diamond kwa lolote lileWakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.
Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.
Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.
Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Kwani anapozindua duka anafanya show bure?Wakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.
Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.
Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.
Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Hakuna sehemu nimeandika show ya bure. Una tatizo la uelewa.Kwani anapozindua duka anafanya show bure?
Umeandika kwa kukejeli ndiyo maana nikakuuliza kwani anafanya bure? Kwahiyo wewe unaweza kufanya show London bure kisa ni nje ya nchi? Kama amepata maokoto ni moja ya sehemu ya kazi....Mchagua jembe si mkulima.Hakuna sehemu nimeandika show ya bure. Una tatizo la uelewa.
Wote si wanaingiza pesaWakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.
Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.
Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.
Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Kuna sehemu nimezungumza kuhusu mtu kutoingiza pesa?Wote si wanaingiza pesa
Hoja zako zinakuaga nzuri but shinda ni moja uwashilishwaji wako wa mada unazingua ni hivyo tuKuna sehemu nimezungumza kuhusu mtu kutoingiza pesa?
Sielewi kwa nini watu uwa mnakosa akili kabisa hata ya ufahamu wa kusoma very simple article.
Kikubwa kiba hakwenda kwa pididi.....,,kwahio asifananishwe na alieenda kumtembele pididi nyumbani kwakeWakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.
Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.
Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.
Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Ww kinachokuuma ni kipi hapo kwani?Wakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.
Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.
Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.
Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.Wakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.
Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.
Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.
Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Washazoea kupididiwaUmeandika kiumbeya umbeya sana halafu Kijana wa Kiume unakuwa unasifia
Wanaume wenzako kwa faida gani?
Hasaa huyu jamaa anapenda kusifia kiboya sana 🤣🤣🤣Washazoea kupididiwa
Hajaenda kwa DDWakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.
Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.
Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.
Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.