Wakati Diamond Platnumz akitoka kwenye international shows ulaya na Africa.. Ali Kiba anaenda kufanya show ya kuzindua duka mkoani Morogoro

Wakati Diamond Platnumz akitoka kwenye international shows ulaya na Africa.. Ali Kiba anaenda kufanya show ya kuzindua duka mkoani Morogoro

K
Wakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.

Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.

Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.

Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Kwani kiboboso humjui, atakubobosa
 
Wakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.

Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.

Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.

Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Unaizungumziaje ile show ya kwa p didy
 
Hapana, tunawapa pongezi wote.
Unafahamu kuwa mfalme wa pop, hayati Michael Jackson wakati akiwa kwenye ubora wake alishawahi kuitwa kupiga show kwenye birthday ya binti wa Sultani wa Brunei? Kama hela ipo sio mbaya Kiba kutumbuiza kwenye uzinduzi wa duka. Wakati mwingine usiponde wengine unapomsifia mumeo Mond.
 
Jason Derulo nae yupo kwenye list ya Diddy. Connect dots.
 
Uchawa kwa Mtoto wa Kiume ni aibu sana huyo Diamond anakufahamu lakini? Hata kama Wewe ni Chawa jifunze kubalansi shobo. Hivi ungeripoti habari ya Diamond bila kuiingiza habari ya Ali Kiba ungepungukiwa na nini.
Nina Wasiwasi na wewe yawezekana upo kwenye group moja na kina Baba Levo na Juma Lokole
Bila shaka huyo uliyemtaja pia kakupanda.......maana huwezi kuumia kiasi hicho kama ajapita na Linda box lako
 
Wakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.

Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.

Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.

Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Hii thread imeandikwa kinafiki sana 😁😁
 
Back
Top Bottom