Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh unatoa siri za michezo unayofanyiwaKiba hawezi kutoka Tz kwenda ulaya kufuata kilainishi
Kwaiyo kusia wanaume mmeruhusiwa nyinyi mashoga na mademu pekeenu?Umeandika kiumbeya umbeya sana halafu Kijana wa Kiume unakuwa unasifiq Wanaume wenzako kwa faida gani?
Ukiisoma katikati ya mistari, habari hii umeileta kiutatautata hivi!!Mkuu ni kama hii habari ujaipenda!?
Kwani kiboboso humjui, atakubobosaWakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.
Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.
Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.
Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Unaizungumziaje ile show ya kwa p didyWakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.
Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.
Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.
Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.
Unafahamu kuwa mfalme wa pop, hayati Michael Jackson wakati akiwa kwenye ubora wake alishawahi kuitwa kupiga show kwenye birthday ya binti wa Sultani wa Brunei? Kama hela ipo sio mbaya Kiba kutumbuiza kwenye uzinduzi wa duka. Wakati mwingine usiponde wengine unapomsifia mumeo Mond.Hapana, tunawapa pongezi wote.
Akijibu nitag 😂😅🤣Kuna shidoo
Akijibu ni tag 😂😅🤣Unaizungumziaje ile show ya kwa p didy
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂Hata diamond alipokuwa Kwa Diddy chumbani kiba alikuwa na demu wake geto
🤣Kiba hawezi kutoka Tz kwenda ulaya kufuata kilainishi
Haya maneno ya mkosajiKiba hawezi kutoka Tz kwenda ulaya kufuata kilainishi
🤣🤣🤣Duh unatoa siri za michezo unayofanyiwa
Bila shaka huyo uliyemtaja pia kakupanda.......maana huwezi kuumia kiasi hicho kama ajapita na Linda box lakoUchawa kwa Mtoto wa Kiume ni aibu sana huyo Diamond anakufahamu lakini? Hata kama Wewe ni Chawa jifunze kubalansi shobo. Hivi ungeripoti habari ya Diamond bila kuiingiza habari ya Ali Kiba ungepungukiwa na nini.
Nina Wasiwasi na wewe yawezekana upo kwenye group moja na kina Baba Levo na Juma Lokole
Hii thread imeandikwa kinafiki sana 😁😁Wakuu nna habari ya kuwajuza kuhusu industry yetu ya burudani.
Ali Kiba wiki hii mwishoni ataenda kufanya show ya kuzindua duka la mavazi. Hongera sana Kiba kwa kuaminika na muuza duka na kukupa nafasi ya kupafomu mbele ya wateja wake.
Diamond ndani ya wiki hizi mbili amekuwa busy na show za kimataifa.
Kwanza, alikuwa Sweden akiburudisha watu kutoka mataifa tofauti tofauti. Pia alikuwa South Africa akipafomu jukwaa moja na Jason Derulo pamoja na wasanii wenzake wakubwa duniani, kisha alipiga show ya stadium pale Zimbabwe.
Tunampa pongezi kwa kutuwakilisha kimataifa.