GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Wataalam wa aina hiyo wanapatikana Tanzania? Nafahamu kuwa Tanzania kuna watu waliosomea masuala ya FINANCIAL PLANNING, lakini sikumbuki kama nimeshawasikia Watanzania wakishuhudia jinsi ushauri wai ulivyowawezesha kufikia malengo yao ya kifedha!
Lakini kupitia baadhi ya vitabu nilivyovisoma, watunzi wamesisitiza umuhimu wa kuwa na financial planner wako binafsi, tena wa kulipwa.
Napenda kufahamu:
1. Ni kweli hao wataalam wana msaada kwa wateja wao?
2. Kuna Watanzania waliowahi kusaidiwa na ushauri wao?
3. Wakati gani unapaswa kuwa na mtaalam wako binafsi wa kifedha? Ukiwa na hali ngumu ya kifedha? Ukiwa tajiri? Ukiwa unataka kufanya biashara?
4. Ni sahihi kwa mtu ambaye si "tajiri" kuwa na "financial planner" wake binafsi?
Lakini kupitia baadhi ya vitabu nilivyovisoma, watunzi wamesisitiza umuhimu wa kuwa na financial planner wako binafsi, tena wa kulipwa.
Napenda kufahamu:
1. Ni kweli hao wataalam wana msaada kwa wateja wao?
2. Kuna Watanzania waliowahi kusaidiwa na ushauri wao?
3. Wakati gani unapaswa kuwa na mtaalam wako binafsi wa kifedha? Ukiwa na hali ngumu ya kifedha? Ukiwa tajiri? Ukiwa unataka kufanya biashara?
4. Ni sahihi kwa mtu ambaye si "tajiri" kuwa na "financial planner" wake binafsi?