Kingwaba Mazegenuka
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 1,016
- 1,707
Yule mwenza wakeYupi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mwenza wakeYupi?
Naunga mkono hoja, akina sisi tuliwatetea sana tuu Makamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tuWabongo tupunguze unafiki na udaku,sidhani kama kuna nchi yeyote duniani inaizidi tanzania kwa undimilakuwili,niwatu waliokosa ajenda watu wa kukurupuka.
Juzi kuna habari imetokea huko kwenye ziara za Rc mmoja hiyo habari kila mmoja amekurupuka eti wamejisikia uchungu kwa kuwa tu huyo mama kaambiwa aheshimu wananchi waliomuajiri.
Hatukusikia kile kituo cha kihuni sijui cha nini zamani kiliongozwa na bi kijosimba wala umoja wa majungu tanzania uwt ,hata siku moja kufungua mdomo na kuwatetea wanawake wakina Halima mdee na wenzake kwa matusi udhalilishwaji na majina yenye kutweza utu wa mwanamke ,kuna kipindi alikuwa anaitwa mzee Halima mjomba msagaji ,tena bila kificho lakini wala hakujitokeza hata mmoja.
je hao sio wanawake hebu wabongo nyoso tujitahidini kama sio kuwacha unafiki usio na kipimo ,
mara ngapi huyo kiongozi wa uwt ameongea kauli zenye ukakasi lakini hakuna aliyefungua mdomo!
Wabongo wacheni unafiq jina cov19 sio zuri pazeni sauti kwa wanawake wote!
Wewe pia ni mmojawapo katika kundi la wahuni!Chizi katika ubora wako, Bashite ni Bashite tu
Ukiambiwa utoe ushahidi utapita mbele!Yule mwenza wake
Mbona walitetewa sana Kipara kipya, hadi wakapewa hifafhi pale gereji na hatimae kusajiliwa mjengoni kwa tikiti ya watoa hifadhi.Wewe inaonyesha unazeeka vibaya,kumbukumbu unapeleka wapi😂Wabongo tupunguze unafiki na udaku,sidhani kama kuna nchi yeyote duniani inaizidi tanzania kwa undimilakuwili,niwatu waliokosa ajenda watu wa kukurupuka.
Juzi kuna habari imetokea huko kwenye ziara za Rc mmoja hiyo habari kila mmoja amekurupuka eti wamejisikia uchungu kwa kuwa tu huyo mama kaambiwa aheshimu wananchi waliomuajiri.
Hatukusikia kile kituo cha kihuni sijui cha nini zamani kiliongozwa na bi kijosimba wala umoja wa majungu tanzania uwt ,hata siku moja kufungua mdomo na kuwatetea wanawake wakina Halima mdee na wenzake kwa matusi udhalilishwaji na majina yenye kutweza utu wa mwanamke ,kuna kipindi alikuwa anaitwa mzee Halima mjomba msagaji ,tena bila kificho lakini wala hakujitokeza hata mmoja.
je hao sio wanawake hebu wabongo nyoso tujitahidini kama sio kuwacha unafiki usio na kipimo ,
mara ngapi huyo kiongozi wa uwt ameongea kauli zenye ukakasi lakini hakuna aliyefungua mdomo!
Wabongo wacheni unafiq jina cov19 sio zuri pazeni sauti kwa wanawake wote!
Mzee Mdee?Wabongo tupunguze unafiki na udaku,sidhani kama kuna nchi yeyote duniani inaizidi tanzania kwa undimilakuwili,niwatu waliokosa ajenda watu wa kukurupuka.
Juzi kuna habari imetokea huko kwenye ziara za Rc mmoja hiyo habari kila mmoja amekurupuka eti wamejisikia uchungu kwa kuwa tu huyo mama kaambiwa aheshimu wananchi waliomuajiri.
Hatukusikia kile kituo cha kihuni sijui cha nini zamani kiliongozwa na bi kijosimba wala umoja wa majungu tanzania uwt ,hata siku moja kufungua mdomo na kuwatetea wanawake wakina Halima mdee na wenzake kwa matusi udhalilishwaji na majina yenye kutweza utu wa mwanamke ,kuna kipindi alikuwa anaitwa mzee Halima mjomba msagaji ,tena bila kificho lakini wala hakujitokeza hata mmoja.
je hao sio wanawake hebu wabongo nyoso tujitahidini kama sio kuwacha unafiki usio na kipimo ,
mara ngapi huyo kiongozi wa uwt ameongea kauli zenye ukakasi lakini hakuna aliyefungua mdomo!
Wabongo wacheni unafiq jina cov19 sio zuri pazeni sauti kwa wanawake wote!
Kimekuwaje🤔Kiparangoto.
Duuh! Nadhani uzi uishe hapa. Jibu la karne hili.Mdee ni mwanamke? Ongea vizuri na Esther kisha ulete mrejesho hapa jukwaani.
Mdee ni mwanamke? Ongea vizuri na Esther kisha ulete mrejesho hapa jukwaani.
Hilo halihitaji ushahidi mbona liko wazi tu. Hivi unahitaji kutoa ushahidi gani kuwa damu ina rangi nyekundu?Ukiambiwa utoe ushahidi utapita mbele!
Tatizo vijana wengi uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo sana mnahusianisha matukio yenye sura tofauti,mazingira tofauti na maudhui tofauti, halafu mnataka yote yalingane na hili la makondaUlimkagua!
Katika vitu vichache kabisa nilivyokuunga mkono ni pale uliposema Samia hana uwezo wa kuwa rais. Nimesikia rais Ruto akihojiwa na CNN. Kenya wana kiongozi mwenye kujua kuongea na mwenye vision. Ingekuwa ni Samia anahojiwa, watanzania tungeomba ardhi ipasuke tujifiche kwa aibu.Itabidi siku moja nikutafute uso kwa uso!
Lakini angalau wamekemea udhalilishaji. Kwenye administrative law 'any government official must do what he or she does with the authority of law (within legal bounds)', otherwise what he or she does is arbitrary (unstrained and autocratic in the use of authority). Sasa ni sheria gani iliyomfanya aseme hayo (yanayolalamikiwa) aliyosema kwa huyo mtumishi? Au hayo maneno ya uchumba na kuwa na mke mzuri yalikuwa kwenye kipengere kipi cha maelezo ya huyo mtumishi, kama siyo far-fetched?Hao haki za binadamu wapo kisiasa hawana lolote la maana kifupi ni kikundi cha wahuni fulani!
Mdee ni mwanaume, na ameoa ana mke uwe na heshima.Wabongo tupunguze unafiki na udaku,sidhani kama kuna nchi yeyote duniani inaizidi tanzania kwa undimilakuwili,niwatu waliokosa ajenda watu wa kukurupuka.
Juzi kuna habari imetokea huko kwenye ziara za Rc mmoja hiyo habari kila mmoja amekurupuka eti wamejisikia uchungu kwa kuwa tu huyo mama kaambiwa aheshimu wananchi waliomuajiri.
Hatukusikia kile kituo cha kihuni sijui cha nini zamani kiliongozwa na bi kijosimba wala umoja wa majungu tanzania uwt ,hata siku moja kufungua mdomo na kuwatetea wanawake wakina Halima mdee na wenzake kwa matusi udhalilishwaji na majina yenye kutweza utu wa mwanamke ,kuna kipindi alikuwa anaitwa mzee Halima mjomba msagaji ,tena bila kificho lakini wala hakujitokeza hata mmoja.
je hao sio wanawake hebu wabongo nyoso tujitahidini kama sio kuwacha unafiki usio na kipimo ,
mara ngapi huyo kiongozi wa uwt ameongea kauli zenye ukakasi lakini hakuna aliyefungua mdomo!
Wabongo wacheni unafiq jina cov19 sio zuri pazeni sauti kwa wanawake wote!
Akidanganya. Mdee hajawahi kuwa mwanamke.Sisi tunamuona ni mwanamke hata kwenye sensa aliandikishwa upande wa wanawake
Ulinionaje katika hilo kundi ili hali wewe uko nje ya hilo kundi? Au na wewe ni member pia?Wewe pia ni mmojawapo katika kundi la wahuni!
Kwa hiyo bawacha alikuwa akiongoza wakina Mbowe!Mdee ni mwanaume, na ameoa ana mke uwe na heshima.
Walipewa na chademaWabongo tupunguze unafiki na udaku,sidhani kama kuna nchi yeyote duniani inaizidi tanzania kwa undimilakuwili,niwatu waliokosa ajenda watu wa kukurupuka.
Juzi kuna habari imetokea huko kwenye ziara za Rc mmoja hiyo habari kila mmoja amekurupuka eti wamejisikia uchungu kwa kuwa tu huyo mama kaambiwa aheshimu wananchi waliomuajiri.
Hatukusikia kile kituo cha kihuni sijui cha nini zamani kiliongozwa na bi kijosimba wala umoja wa majungu tanzania uwt ,hata siku moja kufungua mdomo na kuwatetea wanawake wakina Halima mdee na wenzake kwa matusi udhalilishwaji na majina yenye kutweza utu wa mwanamke ,kuna kipindi alikuwa anaitwa mzee Halima mjomba msagaji ,tena bila kificho lakini wala hakujitokeza hata mmoja.
je hao sio wanawake hebu wabongo nyoso tujitahidini kama sio kuwacha unafiki usio na kipimo ,
mara ngapi huyo kiongozi wa uwt ameongea kauli zenye ukakasi lakini hakuna aliyefungua mdomo!
Wabongo wacheni unafiq jina cov19 sio zuri pazeni sauti kwa wanawake wote!
Hao LHRC ni kituo cha hovyo kinachojihusisha kisiasa kimya kimya!Walipewa na chadema
Sasa wale jamaa ni ngumu sana kusema nao chochote maana hawakawii kuhamishia mitusi yao kwa LHRC…
Acha wafu wazikane wenyewe