Wakati Halima Mdee na wenzake wakipewa majina ya kutisha na kutukanwa hatukusikia taasisi wala kikundi kukemea!

Wakati Halima Mdee na wenzake wakipewa majina ya kutisha na kutukanwa hatukusikia taasisi wala kikundi kukemea!

Wabongo tupunguze unafiki na udaku,sidhani kama kuna nchi yeyote duniani inaizidi tanzania kwa undimilakuwili,niwatu waliokosa ajenda watu wa kukurupuka.

Juzi kuna habari imetokea huko kwenye ziara za Rc mmoja hiyo habari kila mmoja amekurupuka eti wamejisikia uchungu kwa kuwa tu huyo mama kaambiwa aheshimu wananchi waliomuajiri.

Hatukusikia kile kituo cha kihuni sijui cha nini zamani kiliongozwa na bi kijosimba wala umoja wa majungu tanzania uwt ,hata siku moja kufungua mdomo na kuwatetea wanawake wakina Halima mdee na wenzake kwa matusi udhalilishwaji na majina yenye kutweza utu wa mwanamke ,kuna kipindi alikuwa anaitwa mzee Halima mjomba msagaji ,tena bila kificho lakini wala hakujitokeza hata mmoja.

je hao sio wanawake hebu wabongo nyoso tujitahidini kama sio kuwacha unafiki usio na kipimo ,
mara ngapi huyo kiongozi wa uwt ameongea kauli zenye ukakasi lakini hakuna aliyefungua mdomo!
Wabongo wacheni unafiq jina cov19 sio zuri pazeni sauti kwa wanawake wote!
Unalia nini?
 
Walipewa na chadema

Sasa wale jamaa ni ngumu sana kusema nao chochote maana hawakawii kuhamishia mitusi yao kwa LHRC…

Acha wafu wazikane wenyewe
Shida ni pale mnapolazimisha kufananisha mgogoro wa chama Cha upinzani na udhalilishaji wa mkuu wa mkoa kwa mtumishi wa umma Tena mbele ya wananchi.
 
RC kamdhalilisha yule dada kijinsia, sisi tukisema.wale ni COVID -19 yaani hata angekuwa mwanaume na yeye angekuwa COVID tu.

Yule jamaa ana laana tangu alivyomdhaliishaga Mh. Jaji mstaafu - anatembea nalo.
 
Wabongo tupunguze unafiki na udaku,sidhani kama kuna nchi yeyote duniani inaizidi tanzania kwa undimilakuwili,niwatu waliokosa ajenda watu wa kukurupuka.

Juzi kuna habari imetokea huko kwenye ziara za Rc mmoja hiyo habari kila mmoja amekurupuka eti wamejisikia uchungu kwa kuwa tu huyo mama kaambiwa aheshimu wananchi waliomuajiri.

Hatukusikia kile kituo cha kihuni sijui cha nini zamani kiliongozwa na bi kijosimba wala umoja wa majungu tanzania uwt ,hata siku moja kufungua mdomo na kuwatetea wanawake wakina Halima mdee na wenzake kwa matusi udhalilishwaji na majina yenye kutweza utu wa mwanamke ,kuna kipindi alikuwa anaitwa mzee Halima mjomba msagaji ,tena bila kificho lakini wala hakujitokeza hata mmoja.

je hao sio wanawake hebu wabongo nyoso tujitahidini kama sio kuwacha unafiki usio na kipimo ,
mara ngapi huyo kiongozi wa uwt ameongea kauli zenye ukakasi lakini hakuna aliyefungua mdomo!
Wabongo wacheni unafiq jina cov19 sio zuri pazeni sauti kwa wanawake wote!
Akina Lucas Mwashambwa
 
RC kamdhalilisha yule dada kijinsia, sisi tukisema.wale ni COVID -19 yaani hata angekuwa mwanaume na yeye angekuwa COVID tu.

Yule jamaa ana laana tangu alivyomdhaliishaga Mh. Jaji mstaafu - anatembea nalo.
Aliyemteua ndiyo anatatizo zaidi
 
Wabongo tupunguze unafiki na udaku,sidhani kama kuna nchi yeyote duniani inaizidi tanzania kwa undimilakuwili,niwatu waliokosa ajenda watu wa kukurupuka.

Juzi kuna habari imetokea huko kwenye ziara za Rc mmoja hiyo habari kila mmoja amekurupuka eti wamejisikia uchungu kwa kuwa tu huyo mama kaambiwa aheshimu wananchi waliomuajiri.

Hatukusikia kile kituo cha kihuni sijui cha nini zamani kiliongozwa na bi kijosimba wala umoja wa majungu tanzania uwt ,hata siku moja kufungua mdomo na kuwatetea wanawake wakina Halima mdee na wenzake kwa matusi udhalilishwaji na majina yenye kutweza utu wa mwanamke ,kuna kipindi alikuwa anaitwa mzee Halima mjomba msagaji ,tena bila kificho lakini wala hakujitokeza hata mmoja.

je hao sio wanawake hebu wabongo nyoso tujitahidini kama sio kuwacha unafiki usio na kipimo ,
mara ngapi huyo kiongozi wa uwt ameongea kauli zenye ukakasi lakini hakuna aliyefungua mdomo!
Wabongo wacheni unafiq jina cov19 sio zuri pazeni sauti kwa wanawake wote!
Hawakukemea kwa vile sio uongo, au bwana Kipara unaweza kutudhibitishia kuwa kulikuwa na uongo pale?
Huyo sauti ya zege hata wewe ukikaa vibaya anakupiga kipara unatoka Hoi bin taaban
 
Hawakukemea kwa vile sio uongo, au bwana Kipara unaweza kutudhibitishia kuwa kulikuwa na uongo pale?
Huyo sauti ya zege hata wewe ukikaa vibaya anakupiga kipara unatoka Hoi bin taaban
Naona bado una mataputapu kichwani we mzee chakaza kumbe bawacha ni wanaume hamjatueleza vyema!
 
Wabongo tupunguze unafiki na udaku,sidhani kama kuna nchi yeyote duniani inaizidi tanzania kwa undimilakuwili,niwatu waliokosa ajenda watu wa kukurupuka.

Juzi kuna habari imetokea huko kwenye ziara za Rc mmoja hiyo habari kila mmoja amekurupuka eti wamejisikia uchungu kwa kuwa tu huyo mama kaambiwa aheshimu wananchi waliomuajiri.

Hatukusikia kile kituo cha kihuni sijui cha nini zamani kiliongozwa na bi kijosimba wala umoja wa majungu tanzania uwt ,hata siku moja kufungua mdomo na kuwatetea wanawake wakina Halima mdee na wenzake kwa matusi udhalilishwaji na majina yenye kutweza utu wa mwanamke ,kuna kipindi alikuwa anaitwa mzee Halima mjomba msagaji ,tena bila kificho lakini wala hakujitokeza hata mmoja.

je hao sio wanawake hebu wabongo nyoso tujitahidini kama sio kuwacha unafiki usio na kipimo ,
mara ngapi huyo kiongozi wa uwt ameongea kauli zenye ukakasi lakini hakuna aliyefungua mdomo!
Wabongo wacheni unafiq jina cov19 sio zuri pazeni sauti kwa wanawake wote!
yani bana ukitaka kuishi kwa amani nchini mwetu usiguse maslahi ya mtu.
 
Back
Top Bottom