Wakati nikiwa mchunga ng'ombe Hanang nilifanikiwa kujua kumbe mlima Hanang una kitambi

Hongera kiatu borakabisa.

Umetufumbua macho wengi. Seems maafa ni zaidi ya haya tunayoyaona
 
Hakika aliyependekeza ukasome na uache kuchunga hakukosea,huu uandishi isingekuwa sawa uwe wa mchunga Ng'ombe,ni uandishi wa akili sana ulioenda Shule,hongera kwa kupiga hatua
Naunga mkono hoja, yuko vizuri sana.........ukiacha ujenzi, kuna tangazo jingine kaliweka kijanja kabisa!! Ni great thinkers tu ndiyo wameelewa.
 
Aisee,umeandika vizuri mno ..kma vile ni mtaalamu wa fasihi! Na kinafanana na maelezo ya Serikali!
 
Hongera mkuu!

Rafiki yangu Stephano Baha Mami sijui kapona!!?

Nilisomea hapo mpakani. Mwa manyara na Dodoma pale Bereko!

Ni karibu na babati!
 
Hongera mkuu!

Rafiki yangu Stephano Baha Mami sijui kapona!!?

Nilisomea hapo mpakani. Mwa manyara na Dodoma pale Bereko!

Ni karibu na babati!
Atakuwa kapona ila kama anakaa kile kijiji cha jorodom kilicho ubavuni mwa mlima, kama kimepitiwa basi kitakuwa kama kimelambwa!

Lakini uzuri wa upande huo hakuna njia za maji ya chemchem! Naimani watakuwa wapo salama tuamini hivyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…