Wakati nikiwa mchunga ng'ombe Hanang nilifanikiwa kujua kumbe mlima Hanang una kitambi

Wakati nikiwa mchunga ng'ombe Hanang nilifanikiwa kujua kumbe mlima Hanang una kitambi

Mwenzio kaeleza hayo Kwa Lugha laini...wewe unarudia Kwa Lugha ngumu ...za wake wakulowrka miguu kwenye maji wakeshe wakisoma!
Hawa ndo wale ukimuuliza direction ya eneo, hakawii kukuelekeza kwa kutumia north,east….
 
Katika hatua za ukuaji wangu nikiwa mdogo zamani! Nilibahatika kupata kazi ya kuchunga ng'ombe huko wilaya ya Hanang!

Nikiwa huko porini nilifanikiwa kujifunza mambo mengi sana yakiwemo mbinu za kulinda mifugo, madawa za mitishamba ya binadam, ishara ya mmea kuashilia matukio ya njaa au hatari na mambo mengine mengi mazuri mazuri

Katika kazi yangu ya uchungaji ilinifanya niamini kila kitu cha binadamu na wanyama kimefichwa msituni! Kwasababu Tiba zote nzuri na mbaya zimo msituni! (Ipo Siku nitaeleza kwa undani kila ugonjwa unatibiwaje)

Sasa bhasi; Wakati wa mapumziko nilipendelea sana kwenda kupanda mlima Hanang hadi juu kileleni!

Pamoja na kwamba mlima Hanang upo karibu sana mji wa KATESHI,
(Nitauelezea mlima mithili ya kitambi na miguu ya mtu)

Kwamba;
1. ukiwa juu kabisa ya mlima Hanang, Huwezi kuuona mji wa KATESH ingawa upo karibu (Mji (miguu) umefichwa na kitambi cha mlima)

2. Eneo lililopo karibu na kateshi upande wa tumbo la mlima Hanang halipandiki kuna makorongo na miti mikubwa sana yenye kufikia urefu wa ghorofa 7

3. Hivyo kutokana na muonekano huo wa korongo na msitu na muundo wa mlima kuwa kama kitambi haikuwa rahisi kupandia mlima upande wa kateshi, ilitakiwa kuzunguka upande wa Gendambi ambako hakuna tumbo kubwa,

4. Mlima Hanang umezungukwa na vijiji, upande wa tumbo la mlima ndiko uliko mji wa kateshi, halafu upande mwingine magharibi ndipo kuna kijiji cha Gendambi.

5. Kijiji cha Gendambi kinaanza halafu ukiwa unapanda mlima kuna kijiji kingine katikati ya mlima kinaitwa joladumu!

Kwa maana hiyo huwezi kufika juu ya mlima Hanang pasipo kupita kijiji cha joladumu!

Inaamaa kama maporomoko ya tope yalipita upande huo madhara pasipo na shaka yatakuwa makubwa sana kuliko hata upande wa tumbo kule Kateshi! Kwasababu kijiji hiko kitakuwa kimezolewa kwenda kumwagwa Gendambi (tuombe Mungu isiwe vile kama ninavyowaza).

6. Upande mwingine wa mlima umezungukwa na ziwa la chumvi (hakuna makazi ni kama ni mgongoni mwa mlima!

Ukiwa juu ya mlima unaona wapi?
Ukiwa juu ya mlima Hanang, vijiji vya karibu ikiwemo mji mhimu kama kateshi hauonekani kabisa, lakini ni rahisi kuona miji mingine ya mbali kama endasaki, babati, singida hii kutokana na kitambi cha mlima kufunika vijiji (miguu)

Sifa ya mlima Hanang
Tangu zamani tukiwa machungani, mlima huo ulisifika sana kwa kutiririsha maji kutoka mlimani, Hilo jambo lilinifanya nitamani kujua chanzo cha maji hayo!

Baadhi ya miaka yalikuwa yanamwagika maji mengi sana kupitia njia ya maji (magorongo yatokayo mlimani)

Juu ya mlimani hakukuwa na vyanzo vya maji vya kueleweka kwa juu, lakini chemchem ya maji yalitiririka kutoka mlimani misimu yote tangu enzi.

Hivyo kwa maoni yangu kutokana mlima huo kutoka maji msimu wote huenda kuna ombwe la Tabaka la wazi lilitengenezeka kutokana na kuchimbika, halafu pengine shimo hilo limemeguka kwa mgandamizo wa ardhi!

Na maji ya chemchem yaliyoangukiwa na tabaka la ardhi tepe yalivyochanganyika yakasukumwa inje kama tope na kusababisha mafuriko!

Sababu ya mimi kuachana na kazi kuchunga!

Mwaka mmoja kulitokea moto huko mlimani!

Ulikuwa moto mkali sana, wenyeji wa kateshi waliomo humu watasema.

Mimi nikiwa mchungaji mwaminifu, ilikuja amri vijana wote tushiriki kwenda kuzima moto!

Kundi la vijana wengine kutoka vijijini jilani walikwenda then taarifa zilipofika upande wetu nikamwambia mwenyekiti, ule moto sisi vijana wadogo hatuwezi kuuzima labda tusubiri wanajeshi

Mwenyekiti akaamurisha nije mbele nichalazwe fimbo!

Bahati nzuri kabla sijacharazwa bakola mzee mmoja akasema nieleze kwanini ule moto hatutakiwi watoto kwenda kuuzima!

Nikawaambia kule porini ndiyo tunakoshinda tunapajua vizuri, kuna makorongo malefu na miti mikubwa mirefu iliyotandwa na majani ya kutambaa kiasi kwamba moto ule unavyowaka ukiwa umbali wa mita 100 utakuunguza; Pia nikasema tunaweza kwenda huko kwenye makorongo kuzima halafu moto ukatuzingira tukaungua wote mtakuwa mmepata faida gani?

Nikawaambia ule moto unatakiwa kuzimwa na elkopita au tuombe Mungu alete mvua!

Baada ya siku ile, siku iliyofuata habari ikasambaa kwamba kuna kijana mingoni mwa waliokwenda kuzima kutoka vijiji vingine ameangukia kwenye korongo kaunguzwa moto, na baadhi ya vijana wameunguzwa na moto!

Zoezi la kuhamasisha vijana kwenda kuzima likaisha, kila mzazi akagoma, bahati nzuri usiku huo wa pili ikaja mvua kubwa sana! Sana!

Yule mzee aliyepewa bakora anichape akaja nyimbani akasema huyu kijana alichosema kilikuwa ni sahihi,

Tangu siku hiyo yule bosi wangu akaambiwa huyu kijana mpeleke kwao akasome!

Ndipo nikapewa ng'ombe watatu, na mbuzi nikaenda kujifunza ufundi!

Hadi Leo natumikia kazi ya ufundi umeme na ujenzi!

Bei zetu anapanga mteja!

Kwa ambao hamkuelewa mnaweza kupata picha kilichotokea kateshi, kitambi cha mlima Hanang kimetapika.
Iko siku volcano itaamka pale
 
Mlima Rungwe pale kuna chemchem ya maji toka zamani tu.
Yanatiririka daily kupita hapo nje tu kwetu.
Na wanakijiji jirani karibu wote walikua wanatumia hayo maji.
Mara ya mwisho niko kule nikakuta mfereji umekauka kabisa.
kuuliza nikaambiwa maji yote watu waliunganishiwa yako mabombani na kweli kulikua na bomba pale home linatoa maji mengi tu masafi na baridi sana mda wote.
Sasa sijui km ulikua nao una kitambi.
 
Lakini tumesikia kwamba kuna wazee walitaka kufanya matambiko huko milimani wakakatazwa. Wazee wakaondoka zao wakisema tutaona. Hii habari niyakweli??
 
Nimemuelewa hatari sijui nyie wenzangu,zaidi ya mwandishi umepangilia matukio hongera fundi mchungaji
 
Ila mengine niliyojifunza huko hanang sijayaweka kwenye uzi ,Wamburu na wa mang'ati siyo WATU WACHOYO!
Ni wakarimu wa kila kitu
Hawakukulaza juu ya Dari chini zizi la ng'ombe!?Kuna joto fulani hivi!!kukojoa zizini TU!!

Hawakukulisha makande ya mahindi mabichi plus maharage mabichi!!?
Niliinjoy sans seminar za kilokole za vijijini huko mpakani!!!!
 
Kitambi hakikosi kitovu kwa hiyo huo mlima una kitovu pia
 
wote.
Sasa sijui km ulikua nao una kitambi.
Mkuu, utalazimika kwenda kujiridhisha. Na ikidhibitika kuwa mlima huo wa kwenu unakitambi na hauna dalili za kitambi hicho kumeguka, basi maeneo yote yenye milima ya vitambi yawekewe mabomba ya Maji ili mito ya milima hiyo ihamie kwenye mabomba.
 
Kuna mji wa Kasulu nao upo chini ya milima na inasemekana milima ya jirani ina maji siku ikitapika itakuwa balaa
Wewe Muha Kasulu ipi iliyo milimani? Moshi wasemeje? Come on acha attention za kishamba....anyway malizaneni na "kamchape" kwanza.
 
Sijafika eneo la tukio lakini kwa uandishi huu nimejikuta naelewa haraka kama nimefika!

Hongera tutakupa kazi dogo nimechukua namba yako
 
Nimeelewa sana umechambua vizur sana mpk nikawa natengeneza kamlima kangu na kukawekea kitambi.
 
Katika hatua za ukuaji wangu nikiwa mdogo zamani! Nilibahatika kupata kazi ya kuchunga ng'ombe huko wilaya ya Hanang!

Nikiwa huko porini nilifanikiwa kujifunza mambo mengi sana yakiwemo mbinu za kulinda mifugo, madawa za mitishamba ya binadam, ishara ya mmea kuashilia matukio ya njaa au hatari na mambo mengine mengi mazuri mazuri

Katika kazi yangu ya uchungaji ilinifanya niamini kila kitu cha binadamu na wanyama kimefichwa msituni! Kwasababu Tiba zote nzuri na mbaya zimo msituni! (Ipo Siku nitaeleza kwa undani kila ugonjwa unatibiwaje)

Sasa bhasi; Wakati wa mapumziko nilipendelea sana kwenda kupanda mlima Hanang hadi juu kileleni!

Pamoja na kwamba mlima Hanang upo karibu sana mji wa KATESHI,
(Nitauelezea mlima mithili ya kitambi na miguu ya mtu)

Kwamba;
1. ukiwa juu kabisa ya mlima Hanang, Huwezi kuuona mji wa KATESH ingawa upo karibu (Mji (miguu) umefichwa na kitambi cha mlima)

2. Eneo lililopo karibu na kateshi upande wa tumbo la mlima Hanang halipandiki kuna makorongo na miti mikubwa sana yenye kufikia urefu wa ghorofa 7

3. Hivyo kutokana na muonekano huo wa korongo na msitu na muundo wa mlima kuwa kama kitambi haikuwa rahisi kupandia mlima upande wa kateshi, ilitakiwa kuzunguka upande wa Gendambi ambako hakuna tumbo kubwa,

4. Mlima Hanang umezungukwa na vijiji, upande wa tumbo la mlima ndiko uliko mji wa kateshi, halafu upande mwingine magharibi ndipo kuna kijiji cha Gendambi.

5. Kijiji cha Gendambi kinaanza halafu ukiwa unapanda mlima kuna kijiji kingine katikati ya mlima kinaitwa joladumu!

Kwa maana hiyo huwezi kufika juu ya mlima Hanang pasipo kupita kijiji cha joladumu!

Inaamaa kama maporomoko ya tope yalipita upande huo madhara pasipo na shaka yatakuwa makubwa sana kuliko hata upande wa tumbo kule Kateshi! Kwasababu kijiji hiko kitakuwa kimezolewa kwenda kumwagwa Gendambi (tuombe Mungu isiwe vile kama ninavyowaza).

6. Upande mwingine wa mlima umezungukwa na ziwa la chumvi (hakuna makazi ni kama ni mgongoni mwa mlima!

Ukiwa juu ya mlima unaona wapi?
Ukiwa juu ya mlima Hanang, vijiji vya karibu ikiwemo mji mhimu kama kateshi hauonekani kabisa, lakini ni rahisi kuona miji mingine ya mbali kama endasaki, babati, singida hii kutokana na kitambi cha mlima kufunika vijiji (miguu)

Sifa ya mlima Hanang
Tangu zamani tukiwa machungani, mlima huo ulisifika sana kwa kutiririsha maji kutoka mlimani, Hilo jambo lilinifanya nitamani kujua chanzo cha maji hayo!

Baadhi ya miaka yalikuwa yanamwagika maji mengi sana kupitia njia ya maji (magorongo yatokayo mlimani)

Juu ya mlimani hakukuwa na vyanzo vya maji vya kueleweka kwa juu, lakini chemchem ya maji yalitiririka kutoka mlimani misimu yote tangu enzi.

Hivyo kwa maoni yangu kutokana mlima huo kutoka maji msimu wote huenda kuna ombwe la Tabaka la wazi lilitengenezeka kutokana na kuchimbika, halafu pengine shimo hilo limemeguka kwa mgandamizo wa ardhi!

Na maji ya chemchem yaliyoangukiwa na tabaka la ardhi tepe yalivyochanganyika yakasukumwa inje kama tope na kusababisha mafuriko!

Sababu ya mimi kuachana na kazi kuchunga!

Mwaka mmoja kulitokea moto huko mlimani!

Ulikuwa moto mkali sana, wenyeji wa kateshi waliomo humu watasema.

Mimi nikiwa mchungaji mwaminifu, ilikuja amri vijana wote tushiriki kwenda kuzima moto!

Kundi la vijana wengine kutoka vijijini jilani walikwenda then taarifa zilipofika upande wetu nikamwambia mwenyekiti, ule moto sisi vijana wadogo hatuwezi kuuzima labda tusubiri wanajeshi

Mwenyekiti akaamurisha nije mbele nichalazwe fimbo!

Bahati nzuri kabla sijacharazwa bakola mzee mmoja akasema nieleze kwanini ule moto hatutakiwi watoto kwenda kuuzima!

Nikawaambia kule porini ndiyo tunakoshinda tunapajua vizuri, kuna makorongo malefu na miti mikubwa mirefu iliyotandwa na majani ya kutambaa kiasi kwamba moto ule unavyowaka ukiwa umbali wa mita 100 utakuunguza; Pia nikasema tunaweza kwenda huko kwenye makorongo kuzima halafu moto ukatuzingira tukaungua wote mtakuwa mmepata faida gani?

Nikawaambia ule moto unatakiwa kuzimwa na elkopita au tuombe Mungu alete mvua!

Baada ya siku ile, siku iliyofuata habari ikasambaa kwamba kuna kijana mingoni mwa waliokwenda kuzima kutoka vijiji vingine ameangukia kwenye korongo kaunguzwa moto, na baadhi ya vijana wameunguzwa na moto!

Zoezi la kuhamasisha vijana kwenda kuzima likaisha, kila mzazi akagoma, bahati nzuri usiku huo wa pili ikaja mvua kubwa sana! Sana!

Yule mzee aliyepewa bakora anichape akaja nyimbani akasema huyu kijana alichosema kilikuwa ni sahihi,

Tangu siku hiyo yule bosi wangu akaambiwa huyu kijana mpeleke kwao akasome!

Ndipo nikapewa ng'ombe watatu, na mbuzi nikaenda kujifunza ufundi!

Hadi Leo natumikia kazi ya ufundi umeme na ujenzi!

Bei zetu anapanga mteja!

Kwa ambao hamkuelewa mnaweza kupata picha kilichotokea kateshi, kitambi cha mlima Hanang kimetapika.
Ilikuwa ni mwaka gani ulipokuwa unachunga ng'ombe kule?
Kwa sababu kutokana na maelezo yako naona kama vile kumekuwa na uongozi mbaya Manyara.
Wewe umesimulia kidogo uchapwe fimbo kwa kusema tu ni hatari kujaribu kwenda kuzima moto Mlima Hanang.
Mzee mwengine alikuwa anasema wazee walikwenda mlimani katika ibada zao za kawaida za kutambika wakachapwa viboko na askari wa TANAPA.
Halafu huyu Queen Sendinga amekuwa anazunguka mkoani anafokafoka tu.
Ipo video ambayo anamwambia diwqni,"Wewe diwani,I don't like you. ONDOKA MKOA WA MANYARA"
Sasa kama huyu diwani ni mkazi wa Manyara,na ni lazima awe mkazi kwa kuitwa "diwani" anaweza vipi kuondoka Mkoa wa Manyara.?
That was my last sleepy thought when I was falling asleep last night. "Wale viongozi wanafanya udikteta kule ule mlima umekasirika"
 
Katika hatua za ukuaji wangu nikiwa mdogo zamani! Nilibahatika kupata kazi ya kuchunga ng'ombe huko wilaya ya Hanang!

Nikiwa huko porini nilifanikiwa kujifunza mambo mengi sana yakiwemo mbinu za kulinda mifugo, madawa za mitishamba ya binadam, ishara ya mmea kuashilia matukio ya njaa au hatari na mambo mengine mengi mazuri mazuri

Katika kazi yangu ya uchungaji ilinifanya niamini kila kitu cha binadamu na wanyama kimefichwa msituni! Kwasababu Tiba zote nzuri na mbaya zimo msituni! (Ipo Siku nitaeleza kwa undani kila ugonjwa unatibiwaje)

Sasa bhasi; Wakati wa mapumziko nilipendelea sana kwenda kupanda mlima Hanang hadi juu kileleni!

Pamoja na kwamba mlima Hanang upo karibu sana mji wa KATESHI,
(Nitauelezea mlima mithili ya kitambi na miguu ya mtu)

Kwamba;
1. ukiwa juu kabisa ya mlima Hanang, Huwezi kuuona mji wa KATESH ingawa upo karibu (Mji (miguu) umefichwa na kitambi cha mlima)

2. Eneo lililopo karibu na kateshi upande wa tumbo la mlima Hanang halipandiki kuna makorongo na miti mikubwa sana yenye kufikia urefu wa ghorofa 7

3. Hivyo kutokana na muonekano huo wa korongo na msitu na muundo wa mlima kuwa kama kitambi haikuwa rahisi kupandia mlima upande wa kateshi, ilitakiwa kuzunguka upande wa Gendambi ambako hakuna tumbo kubwa,

4. Mlima Hanang umezungukwa na vijiji, upande wa tumbo la mlima ndiko uliko mji wa kateshi, halafu upande mwingine magharibi ndipo kuna kijiji cha Gendambi.

5. Kijiji cha Gendambi kinaanza halafu ukiwa unapanda mlima kuna kijiji kingine katikati ya mlima kinaitwa joladumu!

Kwa maana hiyo huwezi kufika juu ya mlima Hanang pasipo kupita kijiji cha joladumu!

Inaamaa kama maporomoko ya tope yalipita upande huo madhara pasipo na shaka yatakuwa makubwa sana kuliko hata upande wa tumbo kule Kateshi! Kwasababu kijiji hiko kitakuwa kimezolewa kwenda kumwagwa Gendambi (tuombe Mungu isiwe vile kama ninavyowaza).

6. Upande mwingine wa mlima umezungukwa na ziwa la chumvi (hakuna makazi ni kama ni mgongoni mwa mlima!

Ukiwa juu ya mlima unaona wapi?
Ukiwa juu ya mlima Hanang, vijiji vya karibu ikiwemo mji mhimu kama kateshi hauonekani kabisa, lakini ni rahisi kuona miji mingine ya mbali kama endasaki, babati, singida hii kutokana na kitambi cha mlima kufunika vijiji (miguu)

Sifa ya mlima Hanang
Tangu zamani tukiwa machungani, mlima huo ulisifika sana kwa kutiririsha maji kutoka mlimani, Hilo jambo lilinifanya nitamani kujua chanzo cha maji hayo!

Baadhi ya miaka yalikuwa yanamwagika maji mengi sana kupitia njia ya maji (magorongo yatokayo mlimani)

Juu ya mlimani hakukuwa na vyanzo vya maji vya kueleweka kwa juu, lakini chemchem ya maji yalitiririka kutoka mlimani misimu yote tangu enzi.

Hivyo kwa maoni yangu kutokana mlima huo kutoka maji msimu wote huenda kuna ombwe la Tabaka la wazi lilitengenezeka kutokana na kuchimbika, halafu pengine shimo hilo limemeguka kwa mgandamizo wa ardhi!

Na maji ya chemchem yaliyoangukiwa na tabaka la ardhi tepe yalivyochanganyika yakasukumwa inje kama tope na kusababisha mafuriko!

Sababu ya mimi kuachana na kazi kuchunga!

Mwaka mmoja kulitokea moto huko mlimani!

Ulikuwa moto mkali sana, wenyeji wa kateshi waliomo humu watasema.

Mimi nikiwa mchungaji mwaminifu, ilikuja amri vijana wote tushiriki kwenda kuzima moto!

Kundi la vijana wengine kutoka vijijini jilani walikwenda then taarifa zilipofika upande wetu nikamwambia mwenyekiti, ule moto sisi vijana wadogo hatuwezi kuuzima labda tusubiri wanajeshi

Mwenyekiti akaamurisha nije mbele nichalazwe fimbo!

Bahati nzuri kabla sijacharazwa bakola mzee mmoja akasema nieleze kwanini ule moto hatutakiwi watoto kwenda kuuzima!

Nikawaambia kule porini ndiyo tunakoshinda tunapajua vizuri, kuna makorongo malefu na miti mikubwa mirefu iliyotandwa na majani ya kutambaa kiasi kwamba moto ule unavyowaka ukiwa umbali wa mita 100 utakuunguza; Pia nikasema tunaweza kwenda huko kwenye makorongo kuzima halafu moto ukatuzingira tukaungua wote mtakuwa mmepata faida gani?

Nikawaambia ule moto unatakiwa kuzimwa na elkopita au tuombe Mungu alete mvua!

Baada ya siku ile, siku iliyofuata habari ikasambaa kwamba kuna kijana mingoni mwa waliokwenda kuzima kutoka vijiji vingine ameangukia kwenye korongo kaunguzwa moto, na baadhi ya vijana wameunguzwa na moto!

Zoezi la kuhamasisha vijana kwenda kuzima likaisha, kila mzazi akagoma, bahati nzuri usiku huo wa pili ikaja mvua kubwa sana! Sana!

Yule mzee aliyepewa bakora anichape akaja nyimbani akasema huyu kijana alichosema kilikuwa ni sahihi,

Tangu siku hiyo yule bosi wangu akaambiwa huyu kijana mpeleke kwao akasome!

Ndipo nikapewa ng'ombe watatu, na mbuzi nikaenda kujifunza ufundi!

Hadi Leo natumikia kazi ya ufundi umeme na ujenzi!

Bei zetu anapanga mteja!

Kwa ambao hamkuelewa mnaweza kupata picha kilichotokea kateshi, kitambi cha mlima Hanang kimetapika.
Acha porojo weka picha!
 
Katika hatua za ukuaji wangu nikiwa mdogo zamani! Nilibahatika kupata kazi ya kuchunga ng'ombe huko wilaya ya Hanang!

Nikiwa huko porini nilifanikiwa kujifunza mambo mengi sana yakiwemo mbinu za kulinda mifugo, madawa za mitishamba ya binadam, ishara ya mmea kuashilia matukio ya njaa au hatari na mambo mengine mengi mazuri mazuri

Katika kazi yangu ya uchungaji ilinifanya niamini kila kitu cha binadamu na wanyama kimefichwa msituni! Kwasababu Tiba zote nzuri na mbaya zimo msituni! (Ipo Siku nitaeleza kwa undani kila ugonjwa unatibiwaje)

Sasa bhasi; Wakati wa mapumziko nilipendelea sana kwenda kupanda mlima Hanang hadi juu kileleni!

Pamoja na kwamba mlima Hanang upo karibu sana mji wa KATESHI,
(Nitauelezea mlima mithili ya kitambi na miguu ya mtu)

Kwamba;
1. ukiwa juu kabisa ya mlima Hanang, Huwezi kuuona mji wa KATESH ingawa upo karibu (Mji (miguu) umefichwa na kitambi cha mlima)

2. Eneo lililopo karibu na kateshi upande wa tumbo la mlima Hanang halipandiki kuna makorongo na miti mikubwa sana yenye kufikia urefu wa ghorofa 7

3. Hivyo kutokana na muonekano huo wa korongo na msitu na muundo wa mlima kuwa kama kitambi haikuwa rahisi kupandia mlima upande wa kateshi, ilitakiwa kuzunguka upande wa Gendambi ambako hakuna tumbo kubwa,

4. Mlima Hanang umezungukwa na vijiji, upande wa tumbo la mlima ndiko uliko mji wa kateshi, halafu upande mwingine magharibi ndipo kuna kijiji cha Gendambi.

5. Kijiji cha Gendambi kinaanza halafu ukiwa unapanda mlima kuna kijiji kingine katikati ya mlima kinaitwa joladumu!

Kwa maana hiyo huwezi kufika juu ya mlima Hanang pasipo kupita kijiji cha joladumu!

Inaamaa kama maporomoko ya tope yalipita upande huo madhara pasipo na shaka yatakuwa makubwa sana kuliko hata upande wa tumbo kule Kateshi! Kwasababu kijiji hiko kitakuwa kimezolewa kwenda kumwagwa Gendambi (tuombe Mungu isiwe vile kama ninavyowaza).

6. Upande mwingine wa mlima umezungukwa na ziwa la chumvi (hakuna makazi ni kama ni mgongoni mwa mlima!

Ukiwa juu ya mlima unaona wapi?
Ukiwa juu ya mlima Hanang, vijiji vya karibu ikiwemo mji mhimu kama kateshi hauonekani kabisa, lakini ni rahisi kuona miji mingine ya mbali kama endasaki, babati, singida hii kutokana na kitambi cha mlima kufunika vijiji (miguu)

Sifa ya mlima Hanang
Tangu zamani tukiwa machungani, mlima huo ulisifika sana kwa kutiririsha maji kutoka mlimani, Hilo jambo lilinifanya nitamani kujua chanzo cha maji hayo!

Baadhi ya miaka yalikuwa yanamwagika maji mengi sana kupitia njia ya maji (magorongo yatokayo mlimani)

Juu ya mlimani hakukuwa na vyanzo vya maji vya kueleweka kwa juu, lakini chemchem ya maji yalitiririka kutoka mlimani misimu yote tangu enzi.

Hivyo kwa maoni yangu kutokana mlima huo kutoka maji msimu wote huenda kuna ombwe la Tabaka la wazi lilitengenezeka kutokana na kuchimbika, halafu pengine shimo hilo limemeguka kwa mgandamizo wa ardhi!

Na maji ya chemchem yaliyoangukiwa na tabaka la ardhi tepe yalivyochanganyika yakasukumwa inje kama tope na kusababisha mafuriko!

Sababu ya mimi kuachana na kazi kuchunga!

Mwaka mmoja kulitokea moto huko mlimani!

Ulikuwa moto mkali sana, wenyeji wa kateshi waliomo humu watasema.

Mimi nikiwa mchungaji mwaminifu, ilikuja amri vijana wote tushiriki kwenda kuzima moto!

Kundi la vijana wengine kutoka vijijini jilani walikwenda then taarifa zilipofika upande wetu nikamwambia mwenyekiti, ule moto sisi vijana wadogo hatuwezi kuuzima labda tusubiri wanajeshi

Mwenyekiti akaamurisha nije mbele nichalazwe fimbo!

Bahati nzuri kabla sijacharazwa bakola mzee mmoja akasema nieleze kwanini ule moto hatutakiwi watoto kwenda kuuzima!

Nikawaambia kule porini ndiyo tunakoshinda tunapajua vizuri, kuna makorongo malefu na miti mikubwa mirefu iliyotandwa na majani ya kutambaa kiasi kwamba moto ule unavyowaka ukiwa umbali wa mita 100 utakuunguza; Pia nikasema tunaweza kwenda huko kwenye makorongo kuzima halafu moto ukatuzingira tukaungua wote mtakuwa mmepata faida gani?

Nikawaambia ule moto unatakiwa kuzimwa na elkopita au tuombe Mungu alete mvua!

Baada ya siku ile, siku iliyofuata habari ikasambaa kwamba kuna kijana mingoni mwa waliokwenda kuzima kutoka vijiji vingine ameangukia kwenye korongo kaunguzwa moto, na baadhi ya vijana wameunguzwa na moto!

Zoezi la kuhamasisha vijana kwenda kuzima likaisha, kila mzazi akagoma, bahati nzuri usiku huo wa pili ikaja mvua kubwa sana! Sana!

Yule mzee aliyepewa bakora anichape akaja nyimbani akasema huyu kijana alichosema kilikuwa ni sahihi,

Tangu siku hiyo yule bosi wangu akaambiwa huyu kijana mpeleke kwao akasome!

Ndipo nikapewa ng'ombe watatu, na mbuzi nikaenda kujifunza ufundi!

Hadi Leo natumikia kazi ya ufundi umeme na ujenzi!

Bei zetu anapanga mteja!

Kwa ambao hamkuelewa mnaweza kupata picha kilichotokea kateshi, kitambi cha mlima Hanang kimetapika.
Naweza kukuelewa, binafsi nimefika Katesh zamani, sijaupanda mlima ila nilitamani sana kuupanda. Nimeuona mlima Hanang kutokea Katesh, nako pia huuoni npaka juu kileleni, labda ndiyo hicho kitambi kinachozuwia kuona kilele.
 
Dah, unakipaji cha kuelezea jambo gumu kwa lugha rahisi mpaka kilaza nimeelewa! Wale wenye vyeti tungekoma na maneno kama this is because......., due to the fact that......, the main cause is....the reason is....!!!!!!! Utawaona kwenye tv muda si mrefu!
 
Dah, unakipaji cha kuelezea jambo gumu kwa lugha rahisi mpaka kilaza nimeelewa! Wale wenye vyeti tungekoma na maneno kama this is because......., due to the fact that......, the main cause is....the reason is....!!!!!!! Utawaona kwenye tv muda si mrefu!
Aroooo, vyeti vyetu vya kupambia kuta zetu na kopi zake kuombea kazi, usitusimange.
 
Back
Top Bottom