Wakati Simba ikimtangaza Chama, Yanga yamtangaza Ibrahim Bacca Kutoka KMKM Zanzibar

Wakati Simba ikimtangaza Chama, Yanga yamtangaza Ibrahim Bacca Kutoka KMKM Zanzibar

mimi naomba tu kwa hizi sajili wasije wakalaumiwa tff
 
Kitu kimoja ambacho kitampa sana mafanikio simba mbele ya yangu ni hizi sajili.
Sajili nyingi za yanga zaungo wachezaji wakaida sana. Unatemea mwakani yanga ishiriki club afu ngushi awavushe kwenye makundi kuwapeleka robo.
Yanga haipaswi kusajili kwaajili ya kujarib wachezaji inapaswa kufanya sajili za wachezaji ambao tyr washa achive ili kuja kufanya makuu yanga.
Halafu kumbe wewe jamaa mpira haujui umekarir. Katika mpira Kuna aina mbili za usajili wa wachezaji.

1) usajili wa mchezaji wa kawaida mwenye kipaji au anayejua mpira.
2) usajili wa mchezaji ambaye anavuma yaani mchezaji nyota (aliyepata mafanikio

Kwenye hiyo namba moja ndio pale unapoona mchezaji asiyekuwa na jina akajakuwa nyota na wa kuogopewa. Embu nitajie wachezaji wa Simba walau saba walioifikisha Simba robo fainali CAF mbao walikuwa na mafanikio huko walipotoka kabla ya kuingia Simba.

Kingine ni kwamba kusajili nyota haikufanyi uwe na 100% kuwa unaenda kukipata ulichokitaraji na ndio maana unaona mchezaji ana jina kubwa lakini akienda club nyingine anakuwa garasa tu. Na ndio maana unaambiwa usajili ni kamari, usajili ni bahati nasibu. Tshabala ambaye alidumu Simba miaka tele na kuiwezesha Simba kufika robo fainali alitokea timu ya nchi gani kabla ya kuja Simba?
 
Ieleweke kwamba Chama hajasajiliwa Simba bali amerudishwa Simba baada ya kutokidhi viwango huko alipokwenda
 
Halafu kumbe wewe jamaa mpira haujui umekarir. Katika mpira Kuna aina mbili za usajili wa wachezaji.

1) usajili wa mchezaji wa kawaida mwenye kipaji au anayejua mpira.
2) usajili wa mchezaji ambaye anavuma yaani mchezaji nyota (aliyepata mafanikio

Kwenye hiyo namba moja ndio pale unapoona mchezaji asiyekuwa na jina akajakuwa nyota na wa kuogopewa. Embu nitajie wachezaji wa Simba walau saba walioifikisha Simba robo fainali CAF mbao walikuwa na mafanikio huko walipotoka kabla ya kuingia Simba.

Kingine ni kwamba kusajili nyota haikufanyi uwe na 100% kuwa unaenda kukipata ulichokitaraji na ndio maana unaona mchezaji ana jina kubwa lakini akienda club nyingine anakuwa garasa tu. Na ndio maana unaambiwa usajili ni kamari, usajili ni bahati nasibu. Tshabala ambaye alidumu Simba miaka tele na kuiwezesha Simba kufika robo fainali alitokea timu ya nchi gani kabla ya kuja Simba?
Nitajie wachezaji wa kawaida wakali hapo uto.
 
.....kwani nyie hamuimbi historia kila siku ya mabingwa mara nne? Yani mnasahau mapema hivi? Au ndo umbumbumbu aliosema mzee Rage?
Mabingwa mara nine fululizo. Tunaongelea modern soccer. Nyie mnaleta historia ya kipindi kileeeee watu walikuwa hawavai viatu yanga akicheza gongo wazi.
Tuambie mafanikio ya yanga katika modern soccer.
 
Mabingwa mara nine fululizo. Tunaongelea modern soccer. Nyie mnaleta historia ya kipindi kileeeee watu walikuwa hawavai viatu yanga akicheza gongo wazi.
Tuambie mafanikio ya yanga katika modern soccer.
What is modern soccer to start with? Hata kama walikuwa hawavai viatu, lakini si tulichukua ubingwa? Au ubingwa unaanza kuhesabiwa nyie tuu mkichukua? Pathetic
 
What is modern soccer to start with? Hata kama walikuwa hawavai viatu, lakini si tulichukua ubingwa? Au ubingwa unaanza kuhesabiwa nyie tuu mkichukua? Pathetic
Yaani mnaongelea kipindi kile Mpira ukichezwa kwa lidhaa. Modern soccer limeanza mwaka 1980s. Tuanze kuongelea hapo Mzee. Hatuwezi kuanza kuongelea kipindi cha miaka ya 1950s Tanzania hatujapata Uhuru. Yaani unataka tuanze kuongelea soccer la kipindi cha ukoloni!?

Unataka utukumbushe machungu ya ukoloni!? Historia ya Tanzania ilianza 1961 Mzee.

Mpira unaojukikana na FIFA hapa Tanzania ulianza 1964. Kabla ya hapo ulikuwa ni mpira wa kujipima ubavu tu.
 
Huu ndio usajili wa kutikisa nchi,kweli mwiko nyuma
 
Wewe ndicho ulichokisema. Tuambie kuhusu usajili unaoendelea ni wa GSM au Yanga!?
Nimesema mchezaji wa kawaida asiyekuwa na jina lakini ana kipaji cha mpira. GSM ndiye mtoaji wa pesa za usajili na mlipaji wa mishahara
 
Back
Top Bottom