Wakati Simba ikimtangaza Chama, Yanga yamtangaza Ibrahim Bacca Kutoka KMKM Zanzibar

Wakati Simba ikimtangaza Chama, Yanga yamtangaza Ibrahim Bacca Kutoka KMKM Zanzibar

Wanayanga hawataki kushindwa kwa chochote na Mnyama mkali mwituni.

"The Simba SC" a best soccer club in East and Central Africa, ikijitosa kumsajili Chama, huku team ya Yanga yenye maskani yake mtaa wa jangwani unaojulikana kwa kuwa na mafuriko kila mwaka, imemtangaza beki kutoka KMKM Zanzibar.

Simba ikiwa serious katika football yanga imewekeza katika propaganda, uongo, uzandiki na fitna.

Kwa jicho langu la mbaali kabisa ninaona tajiri wa GSM kama ameanza kususia kutoa pesa, maana matumizi ya hovyo yalifanyika mwanzoni mwa ligi. Huenda pesa waliyopewa sasa ni kiduchu.

Yanga wamenyong'onyea, Yanga wamevunjika moyo, wamepewa ahadi nyingi hewa ambazo hazitimiliziki. Viongozi wa yanga hawana mipango yoyote; wao wanamtegemea Senzo na Manara waweze kuwavusha. Watu hao walifukuzwa Simba kwa kukosa weledi katika utendaji kazi.

Mimi nionavyo mchezaji aliyetoka KMKM kajazwa maneno mengi na huenda mshahara atakao kuwa analipwa haufiki hata Tsh 1,00,000.

Chama kaingia, Chama yupo simba tutegemee Mpenja kurudi kwenye ubora wake, maana kwa sasa amepoa sana.

Mpira ya yanga ni puuuuuu moroko anakimbilia halafu moroko puuuuuu kwa mayele. Mpira usio na mplan ili mradi tu unagongwa kwenye miguu.

Kwa thread hii sitaki kuongelea masuala ya slogan ya yanga. Maana hiyo slogan yao na logo ilivyokaa inaonesha namna ya fikra za wenzetu hawa wanayanga. Hawana mpango hata kidogo wa kurekebisha. Sisi simba tuliweka Simba mkali Mwenye njaa. Sijui wao wataweka nini. Najaribu kuwaza tu sijui atawekwa chura mkali au Mwiko mkubwa. Mimi sijui ngoja tuone.

Ni hayo tu.
Tofauti ya Simba na Yanga kwenye izo sajili zinajulikana.

Chama karudishwa kuja kuokoa timu inayopumua kupitia mtungi wa oxygen ICU,Bacca kanuniliwa kuja kuziba nafasi ya mkaa benchi Shaibu(Ninja) ambaye yupo kwenye matibabu South Africa

So sijasoma ulichoandika lkn kupitia kichwa cha habari nishajua content iliyopo kwenye uzi wako,lazma utakuwa umeibeza timu mojawapo hapo ila ukweli mchungu iyo hapo juu ndo target ya sajili za jana za hizi timu kwamba mchezaji mmoja anaenda moja kwa moja kuingia kwenye kikosi cha kwanza kama mipango ya timu iliyomnunua inavyotaka na mwingine ataenda benchi moja kwa moja kama mipango ya timu iliyomnunua inavyotaka [emoji3525][emoji1488]
 
Nani anaumia...? muulize huyo anaye umia Yanga kumsajili dogo kutoka Zazibar, huku akifurahia aliye flop ligi ya wanaume na kukimbilia ligi ya wavulana.

Ukitaka kujua naujua mpira hapo mtaani kwenu kukiwa na mechi nitafute,humu JF tutaishia kuuziana maneno, wewe mwenyewe hapo inaonekana mpira umeujulia ukubwani.
Unaujua mpira unachezea team gani?? Ucheze team za wenye vitambi mtaani wanaotafuta kupungua kisha uje kumbeza CHAMA Jr?


Hakuna mwenye akili timamu angeweza kufanya hivyo, unless awe kichwa maji kama wewe.
 
Unaujua mpira unachezea team gani?? Ucheze team za wenye vitambi mtaani wanaotafuta kupungua kisha uje kumbeza CHAMA Jr?


Hakuna mwenye akili timamu angeweza kufanya hivyo, unless awe kichwa maji kama wewe.
Chama kadrop kaja kwa wavivu wenzake wasiojua ndio ukweli mchungu kama mwenzake Makambo naye.
 
Chama kadrop kaja kwa wavivu wenzake wasiojua ndio ukweli mchungu kama mwenzake Makambo naye.
Wewe unaujua mpira kama ulivyosema huko juu? Maana kuna jamaa umemwambia mkutane uwanjani 😂.
 
Sasa humu JF kuna kiwanja ?Humu tutauziana maneno.
Sawa mkuu, kama unacheza tuambie unachezea team gani?? Maana isije kuwa unacheza na wale wazee wenye vitambi wanalenga kupungua halafu unakuja kumkashifu Chama jr.

Unacheza team gani mkuu?
 
Sawa mkuu, kama unacheza tuambie unachezea team gani?? Maana isije kuwa unacheza na wale wazee wenye vitambi wanalenga kupungua halafu unakuja kumkashifu Chama jr.

Unacheza team gani mkuu?
Huyo jamaa anacheza Vitambi FC 🤣🤣🤣
 
Sawa mkuu, kama unacheza tuambie unachezea team gani?? Maana isije kuwa unacheza na wale wazee wenye vitambi wanalenga kupungua halafu unakuja kumkashifu Chama jr.

Unacheza team gani mkuu?
Hata nikikwambia naichezea Mbeya kwanza au Costal Union huto amini ww kama mnamechi au kiwanja chenu huko kwenu nitafute then utajua kama najua au sijui humu nitakuuzia chai?

Sasa kuhusu Chama kwani uwongo mpira umemshindwa Morocco kaja kwa wasiojua? Mnapenda vibofu, kama Yanga na Makambo wake.
 
Hata nikikwambia naichezea Mbeya kwanza au Costal Union huto amini ww kama mnamechi au kiwanja chenu huko kwenu nitafute then utajua kama najua au sijui humu nitakuuzia chai?

Sasa kuhusu Chama kwani uwongo mpira umemshindwa Morocco kaja kwa wasiojua? Mnapenda vibofu, kama Yanga na Makambo wake.
Hujui kicheza wewe usituletee mbwembwe za kabwili kutingisha msambwanda.
 
Hata nikikwambia naichezea Mbeya kwanza au Costal Union huto amini ww kama mnamechi au kiwanja chenu huko kwenu nitafute then utajua kama najua au sijui humu nitakuuzia chai?

Sasa kuhusu Chama kwani uwongo mpira umemshindwa Morocco kaja kwa wasiojua? Mnapenda vibofu, kama Yanga na Makambo wake.
Kikubwa ni yeye kudeliver kilichomleta Simba Sc, kama kweli wewe ni mtu wa mpira hauwezi kuja na argument za kicheza kombolela hivyo.

Mchezaji kushindwa kuperform sehemu fulani haina maana kuwa hana kiwango, Salah aliyeonekana garasa Chelsea sio huyu wa Liverpool , Lingard wa Man UTD hafiki hâta robo ya wakati ule katolewa kwa mkopo Westaham au Pogba wa team ya taifa si sawa na yule wa Man UTD.
 
Kikubwa ni yeye kudeliver kilichomleta Simba Sc, kama kweli wewe ni mtu wa mpira hauwezi kuja na argument za kicheza kombolela hivyo.

Mchezaji kushindwa kuperform sehemu fulani haina maana kuwa hana kiwango, Salah aliyeonekana garasa Chelsea sio huyu wa Liverpool , Lingard wa Man UTD hafiki hâta robo ya wakati ule katolewa kwa mkopo Westaham au Pogba wa team ya taifa si sawa na yule wa Man UTD.
Arguments zipi ligi hii ni kimeo, unafanisha ligi za Ulaya na Bongo, yaani unafanisha Soccer na kabumbu. Huyo kung'aa atang'aa sababu ligi ni wachovu.
 
Kitu kimoja ambacho kitampa sana mafanikio simba mbele ya yangu ni hizi sajili.
Sajili nyingi za yanga zaungo wachezaji wakaida sana. Unatemea mwakani yanga ishiriki club afu ngushi awavushe kwenye makundi kuwapeleka robo.
Yanga haipaswi kusajili kwaajili ya kujarib wachezaji inapaswa kufanya sajili za wachezaji ambao tyr washa achive ili kuja kufanya makuu yanga.
Nilitegemea comment ya maana Sana toka kwako lakini umeniangusha Sana. Unataka Wenye akili tuungane na Mazuzu wanaosanifu usajili wa Kibu Denis? Usajili wa Mwenda?
Si Simba si Yanga lakini usajili waliofanya Yanga hasa wa Mshery, Bacca na Nkane ni strategical Sana. Labda kama hujui mpira Kalia ushabiki wa kitanzania.l
 
Arguments zipi ligi hii ni kimeo, unafanisha ligi za Ulaya na Bongo, yaani unafanisha Soccer na kabumbu. Huyo kung'aa atang'aa sababu ligi ni wachovu.
Ndomaana nikasema kuwa wewe ni mcheza kombolela na sio mpira, kama chama hachezi soccer anacheza kabumbu, wewe unachezea team za mitaani tuiteje? Definitely tutaiita kombolela au rede.
 
Ndomaana nikasema kuwa wewe ni mcheza kombolela na sio mpira, kama chama hachezi soccer anacheza kabumbu, wewe unachezea team za mitaani tuiteje? Definitely tutaiita kombolela au rede.
Tambaa kama Khadija kopa awapo jukwaani, hata nikikwambia najua au sijui hujawahi niona?

Kwani hao walokuwa ligi kuu walianzia wapi, si mitaani au wewe umeanzia academy,kisure mboga saba.

Ila CHAMA BIG FLOP.
 
Back
Top Bottom