Wakati Simba ikimtangaza Chama, Yanga yamtangaza Ibrahim Bacca Kutoka KMKM Zanzibar

oi??
 
Aisee bacca imekua bonge la usajili, aliyeona hiki kipaji anastahili pongezi sana, mue mnakaa kimya ona sasa mnavyokuja kuabika bila sababu za msingi
 
 
oi,mwambie chama hapo alivyokuja ndo ataondoka ivyo ivyo bila kikombe chochote...vavavavayo wahead we
 
Daaah
 
Mkuu bado dogo ni wa kawaida sana kwako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…