Wakati sisi tukisema zawadi ni ndogo kwa shujaa Majaliwa, baba aibuka na kusema zawadi ni ya familia

Huyo mzee kama anapenda pesa laini laini akaribie Mombasa.
Yaani anasema pesa za dogo ni pesa za familia? Kuwa na mzazi kama huyu ni useless,yeye analegeza pumbu zake kutegemea pesa za bure kutoka kwa dogo Majaliwa?
 
Huyu dingi zwazwa kwelikweli, yaani familia nzima ilienda kufungua mlango wa ndege?
 
Kapata pia milion 5 toka GSM
Jamani ndo ile milioni moja au kuna nyengine? Wanapotoa hizi fedha wasiwe wanatangaza, ona sasa mzee katoka mafichoni kaja kudai urithi wa mtoto wake alie hai.
 
Watoto wanaotelekezwa na Wazazi wao, ndiyo Mara nyingi huwa wanakuja kua star kuliko wale uliowapa malezi bora toka wakiwa wadogo! Tena wengine hawachelewi kua Panya road au kua mashoga!!
 
Watoto wanaotelekezwa na Wazazi wao, ndiyo Mara nyingi huwa wanakuja kua star kuliko wale uliowapa malezi bora toka wakiwa wadogo! Tena wengine hawachelewi kua Panya road au kua mashoga!!
Ni namna ambavyo Mungu huwa anatoa funzo kwa wengine na kujidhihirisha ya kwamba yupo tatizo ni ubishi tuu wa mwanaadamu.
Huwa wanainuliwa wakati ambao hakuna anayetegemea. Ona sasa kama huyo muanika dagaa.
 
Yani mim hua sitak laana lkn huyo mzee ndo angekua mshua wangu alomsaliti maza angu na maza kupalangana mwenyewe kwa jua na mvua hili kulea watoto.

Eeeeh asingeshika hata cent tano eeeeh mawe bojo
 
...Msimlaumu Mzee. Ni kutojitambua. Watu Wengi wakifuatwa na kimoja kati ya na Vingi vya huu Utitiri wa Vyombo vya Habari wanadhani ni Shera Kuzungumza na Chombo Cha Habari na ni Wachache Sana Wana Busara ya Kukata Kuzungumza na Chombo Cha Habari!
Wengi wanakubali na Kuishia kuropoka Utumbo...kama Huyu Baba Majaliwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…