Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Huyo mzee kama anapenda pesa laini laini akaribie Mombasa.
Yaani anasema pesa za dogo ni pesa za familia? Kuwa na mzazi kama huyu ni useless,yeye analegeza pumbu zake kutegemea pesa za bure kutoka kwa dogo Majaliwa?
Yaani anasema pesa za dogo ni pesa za familia? Kuwa na mzazi kama huyu ni useless,yeye analegeza pumbu zake kutegemea pesa za bure kutoka kwa dogo Majaliwa?
