Wakati Tanzania ipo busy na masuala ya Simba na Yanga, Wakenya wanazidi kutupiga gap. Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000

Ni vile naheshimu sheria za JF nineanza na maneno yasiyofaa kwa serikali ya Tanzania.

Hii serikali yetu inastahiki kulaaniwa na kila mpenda maendeleo.

Nchi imejaa viongozi wabinafsi, wakatili na wasio na utu kuanzia juu hadi chini
 
moja kati ya vitu vizuri alivyofanya Kikwete ni kurudisha waTanzania waliopo nje na kuwapa nafasi za ndani kuendeleza nchi, ni ujinga, narudia tena ni ujinga kujisifia kutoa workforce ya Nchi kupeleka Nchi nyengine, just imagine mtoto kasoma msingi bure, sekondari bure, Chuo na Heslb zote hizo ni kodi za wananchi halafu akaifaidishe ujerumani wakati nchi hapa hata wataalamu hatuna?
 
mtoto wa mkulima anamaliza chuo una ajira ya kumpa ? una mtaji wa kumpa ?

Viongozi wananunua vx za milioni 300 kwa kodi zetu finyu, miradi ya ajira na pesa za kuwapa mitaji rafiki wahitimu inatoka wapi kwamfano ?
 
mtoto wa mkulima analiza chuo una ajira ya kumpa ? una mtaji wa kumpa ?
it doesnt matter kapata ajira ndani ama hajapata ila kutoa resource za nchi nje ni ujinga, na usifikiri Ujerumani wana Target mtoto wa mkulima, wakitaka daktari wanachukua yule bingwa mwenye uzoefu, wakitaka injinia hawachukui mwenye gentleman ambaye anahangaika na bahasha, wanataka first class mwenye uzoefu. kesho na keshokutwa mgonjwa wa mguu akifanyiwa operation ya kichwa mtalalamika hali ya kuwa top cream za nchi mnazigawa.

watu ni resource kama madini na bandari, kama unaamini madini yanaibiwa na ni sawa kutoa watu 250K uwapeleke nchi nyengine basi tuna safari ndefu sana.
 
ndio hivyo mkuu, kuna wasomi kibao wapo mitaani Kenya wenye gpa za maana, hakuna ajira wala mitaji, wanaenda kupunguza makali Ujerumani, wakenya 250,000 si haba, ni wengi wanaenda kupata nafuu ya maisha Ujerumani
 
ndio hivyo mkuu, kuna wasomi kibao wapo mitaani Kenya wenye gpa za maana, hakuna ajira wala mitaji, wanaenda kupunguza makali Ujerumani
Again Soma comment yangu vizuri, they won't take those jobless, watachukua top cream za Nchi, sio mara Ya kwanza na wala haitakua mara ya mwisho.
 
Again Soma comment yangu vizuri, they won't take those jobless, watachukua top cream za Nchi, sio mara Ya kwanza na wala haitakua mara ya mwisho.
kuna wakenya wengi hawana ajira rasmi na wana gpa kubwa wapo mitaani, cv tayari zinaonyesha wameshajitolea taasisi kadhaa, experience ipo ya kutosha tu !!

vigezo vikuu vitakuwa elimu na uzoefu, watu wapo mitaani ila cv zimesimama
 
Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu. (Maderva hulipwa wastani wa euro 14 / shilingi elf 42 kwa saa)
Una hakika na hiyo pesa wanauolipwa mzee Mimi nichukue uraia wa Kenya saa hii
 
Kwa hiyo nchi hii wataalamu wote wana ajira?
 
Una hakika na hiyo pesa wanauolipwa mzee Mimi nichukue uraia wa Kenya saa hii
kima cha chini kabisa cha kazi yoyote ujerumani ni euro 12.4 (elf 37) kwa saa), maisha yapo juu sana lakini ukitunza pesa unaweza kupata pesa nyingi kwa maisha yetu ya Afrika
 
Hii deal ilisainiwa zamani sana.
Berlin has agreed to allow skilled and semi-skilled Kenyan workers into Germany in a controlled and targeted labour migration deal. Kenya is struggling with increasing difficulties in providing work and sufficient income for its young professionals, while Germany is facing a shortage of skilled labour.11 hours ago umeona jana tu. Sio yasiku nyingi
 
Wao wachache hivyo sisi tushauzwa wote hata wewe mtoa mada huko saudi arabia na mkataba ushasainiwa
 
Deal inakuwa "deal" wakati sahii zikiwekwa!
 
Kama ni "upuuzi" basi waJerumani na waKenya ni wapuuzi kwa kukubaliana upuuzi huo!
 
kuna wakenya wengi hawana ajira rasmi na wana gpa kubwa wapo mitaani, cv tayari zinaonyesha wameshajitolea taasisi kadhaa, experience ipo ya kutosha tu !!

vigezo vikuu vitakuwa elimu na uzoefu, watu wapo mitaani ila cv zimesimama
Seems like Comprehension sio strong suit yako. Usijali endelea kudanganya wenzio.
 
Tanzania ni pazuri kuishi, kuna amani na utulivu. Kenya nchi yao siyo nzuri kama Tanzania ndiyo maana wanakubali kuomdoka nchini mwao.
Tanzania hata wazungu wanalilia waende wakaishi
Amani kwenye njaa?bongo kuna ukimya wa kulazimishwa? Siku moja amka asubuh uende hospital ya ocean load, au, muhimbili kule dar, au, General Hospital Dodoma, uone u maskini wa wa Tanzania,
Wabongo tunabanwa tusiondoke nchini,kupata passport ni shida, unajua, balaa la ukosefu wa ajira,? Elimu yetu duni, bongo hapa hapa viwanda na ma kampuni yanaona wasomi we tu ni vilaza, hawaajiriki, sasa, wataondokaje waende nje? Kama hauajiriki bongo, utaajirika vipi ulaya na America? Acha uzwazwa!
Kenya wanaenda nje, maaana, elimu wanayo, na, wanakubalika Sana kwa, uchapa kazi wao, nimefanya kazi, na wa Kenya hapa bongo tangu miaka ya 2000,kijana mwenye diploma kutoka Kenya, ana ujasili na anajiamini kuliko kijana mwenye masters wa bongo,
Nilijifunza vingi Sana kutoka kwao, Mkenya yeye anajiona ni grobal citizen, popote kambi, haoni hatari kuhamia kama mafinga, au, masasi,anaoa au kuolewa, anaomba uraia maisha ya naenda, wakati wabongo, anaona Bora ajibane Dar, ili mradi weekend aende club,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…