Wakati Tanzania ipo busy na masuala ya Simba na Yanga, Wakenya wanazidi kutupiga gap. Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000

Wakati Tanzania ipo busy na masuala ya Simba na Yanga, Wakenya wanazidi kutupiga gap. Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000

Ujerumani pia imepanga kuwafukuza Wanaijeria elfu kumi na tano na kuwarudisha nyumbani Wasiria Wairaq na Waafghanistan.
Wakenya pia watafukuzwa kama hivi baada ya muda
 
Niliwahi kuona takwimu kuwa sisi Bongo tunazalisha mchele kwa asilimia kubwa sana, pia maharage lakini sijajuwa bado serikali inafanya nini kuwatafutia wakulima masoko nje, na kuna nchi kibao ambazo zina import mchele na maharage tena hapa hapa Afrika, Hii nchi viongozi wetu wamebweteka sana! Hakuna nayewahangaikia wananchi

Tz bado sana haina mikakati ya ubunifu, wizara ya kilimo imeshindwa kuwa na hata mazao ya kimkakati. Kwamba miaka 2 zao la mchele, nyanya na kahawa kupewa kipaumbele kwa wakati huo kwa kuboresha kilimo bora, kutoa ruzuku, mikopo kwa wasindikaji na masoko ya uhakika
na miaka miwili mingne ni kwa mahindi, maharage na tumbaku pia kuwepo na dira ya kiwango cha mavuno kufikia ili kuweka akiba, mauzo ya nje na ndani ya nchi
utashanga wizara hy ipo busy na miradi ya isiyo kuwa na mpangilio zaidi kupiga 20% ya udalali
 

Natumaini mu wazima humu, ni siku nyingine tukiwa bado tunasubiri muafaka wa mchezaji Kagoma kama atabaki Simba au atarudi Yanga, Mzee wetu magoma na yeye ni mpaka kieleweke !!,

Anyway tukirudi kwenye kichwa cha habari, Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.

Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.

Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu. (Maderva hulipwa wastani wa euro 14 / shilingi elf 42 kwa saa)

Lugha kuu ujerumani ni kijerumani lakini asilimia 56 ya watu Ujerumani wanaweza kuongea kiingereza, ni sawa na kwenda Uganda unaweza usijue lugha yao ya kiganda lakini ukijua kiingereza inasaidia, inakuwa rahisi zaidi kujifunza kijerumani taratibu unapojua kiingereza.

Faida..
  • Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara ya kizungu (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
  • Kupunguza tatizo la wahitimu wengi wasio na ajira Kenya, hata kwenye ajira za kiswahili mfano walimu wa kiswahili na watangazaji wa vituo vya Idhaa za Kiswahili kama BBC na DW, wakenya ni wengi na wanaenda kujazana zaidi.
  • Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
  • Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
  • Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
  • Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi, Kuna vijana wadogo ujerumani wanacheza mpira wanakunja milioni 200 kila wiki.
  • n.k.
Utumwa nao ni sifa ya kujivunia?

Sera muhimu ni kuongeza uwezo wa kutumia fursa ya raslimali za nchi kujiendeleza na si ujinga mwingine
 
Watanzania mnapozidiwa mnakimbilia hoja za kijinga. Rasilimali namba moja ni akili. Watanzania wengi ni wajingawajinga. Na mfumo unanufaika na ujinga wa watanzania. CCM wanakulisheni ujinga kuwa nyinyi ni vinara Afrika Mashariki.
 
Mimi sishangai kwa Ujerumani kupokea Wakenya wengi kwa sababu miaka mingi sana Ujerumani iliruhusu Wakenya kuingia ujerumani bila visa
 
Watanzania mnapozidiwa mnakimbilia hoja za kijinga. Rasilimali namba moja ni akili. Watanzania wengi ni wajingawajinga. Na mfumo unanufaika na ujinga wa watanzania. CCM wanakulisheni ujinga kuwa nyinyi ni vinara Afrika Mashariki.
100%,Hii nchi kuna wajinga wengi sana bro! Ujuaji wa kijinga unawatafuna vijana
 
NEO SLAVERY, human trafficking 🤣😅😅😅😅🤣😅🤣😅🤣🚛🚛
 
asilimia 56 ya watu Ujerumani wanaongea kiingereza, Biashara kibao zinatumia kiingereza kama lugha kuu.
Point nzuri sana hii brother. Sasa wanaobeza matumizi ya Kiingereza Ujerumani wanazo takwimu au wanataka source ya hii asilimia 56?
 
Hili suala nimeongea sana humu jf. Shida kubwa ni kwa watunga sera wa bongo hawajui kuongea English na wengi ni wazee waliochapwa bakora na mjerumani kuchimba barabara. Hivyo suala la English kuwa teaching language tz litakuja naturally baada ya wazee wote waliopo sasa kufa, kuwa mavumbi na kupotea duniani. Haya mazee ya chama ndio kikwazo kikubwa kujidai tunakuza kiswahili ambayo ni mother tongue hatuhitaji kuitumia kujifunza it is our native language haitopotea maana tutaongea nyumbani na mitaani.

Cha ajabu wanaozuia English isiwe medium of instruction bongo from nursery to university wanasomesha watoto wao academy za English medium na wengine nje ya nchi kabisa. These selfish bongo seniors are nonsense kabisa.

Bimkubwa anabonga English nzuri sana hadi unafurahi kumsikiliza (refer Royal Tour) kila siku natamani kusikia amemwita Waziri wa Elimu amwambie mchakato uanze tusome in English from vidudu otherwise bongo itabaki maskini milele.

Mwanangu wale wa basi la njano ana 12 years tu ila anaongea fasaha English sawa na form six aliepitia mfumo wa kayumba.

Nyerere keshaenda ila bado mazee nuksi ya bongo yanamuogopa hayataki kufuta kiswahili chake mashuleni!
Yanaogopa Nyerere atafufuka ayakemee siyo? Majinga sana haya. Ndiyo yale ukianzisha shule ukaiita Zaramo School watakuita mkabila wakati ipo Indian School pale Dar es Salaam pembeni mwa uwanja wa maonyesho Sabasaba lakini hayajawahi kusema kitu kuhusu hilo. Majinga sana mazee haya.
 
Ujamaa haujwahi kuwa Mbaya. Huko China kwenyewe tunakoenda kila siku kutemebeza Bakuli wao mpaka leo bado hawajauacha ujamaa, ila wameuboresha . Bado ni role model ya ufanisi wa Sera za kijamaa wa advanced level ambao umekuwa tuned kwendana na maendeleo ya Karne ya 21.
Nani kasema Ujamaa uliwahi kuwa mbaya. Maneno yako yanaakisi yaliyomo sirini.
 
Sasa kwa vipi English iwe sababu ya kuwapeleka Ujerumani?
English ni working language ya EU na zaifi ya 56% ya wajerumani watumia English jazini na katika maisha yao ya kawaida. Twambie ni asilimia ngapi wanatumia Kiswahili huko Ujerumani?
 

Natumaini mu wazima humu, ni siku nyingine tukiwa bado tunasubiri muafaka wa mchezaji Kagoma kama atabaki Simba au atarudi Yanga, Mzee wetu magoma na yeye ni mpaka kieleweke !!,

Anyway tukirudi kwenye kichwa cha habari, Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.

Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.

Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu. (Maderva hulipwa wastani wa euro 14 / shilingi elf 42 kwa saa)

Lugha kuu ujerumani ni kijerumani lakini asilimia 56 ya watu Ujerumani wanaweza kuongea kiingereza, ni sawa na kwenda Uganda unaweza usijue lugha yao ya kiganda lakini ukijua kiingereza inasaidia, inakuwa rahisi zaidi kujifunza kijerumani taratibu unapojua kiingereza.

Faida..
  • Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara ya kizungu (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
  • Kupunguza tatizo la wahitimu wengi wasio na ajira Kenya, hata kwenye ajira za kiswahili mfano walimu wa kiswahili na watangazaji wa vituo vya Idhaa za Kiswahili kama BBC na DW, wakenya ni wengi na wanaenda kujazana zaidi.
  • Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
  • Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
  • Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
  • Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi, Kuna vijana wadogo ujerumani wanacheza mpira wanakunja milioni 200 kila wiki.
  • n.k.
Wewe soma comment utaona wenye D 4 ni wengi, na kama wenye D nne ni wengi kwenye post yako, basi utajua kwamba hao ndio wanaoliongoza taifa..

Kifupi ni kwamba Tz bado tupo kwenye utumwa wa viongozi wetu. Natusubiri tupate uhuru wa 2 ndio hapo tutakapoamka..
 
What's wrong with french language? Is it not marketable in the world?
I think Kagema did not like French because of France's support to the past Rwandan regime in suppressing the Tutsi there.
 
Be informed that Germany english courses are conducted to qualified candidates. Cha kwanza ni kuwa na materials kichwani zinazohitajika. Kijerumani unajifunza Bro. Tatitoo una materials kichwani wanazohitaji wewe? English yenyewe ya kuwez kukufikisha Ujerumani huna, utawezaje Kijerumani? Hapo ndipo kikwazo kwa wabongo!

I think Kagema did not like French because of France's support to the past Rwandan regime in suppressing the Tutsi there.
Na zaidi ya hapo wengi walioishi ukimbizini Uganda na Bongo walikuwa kwenye English speaking countries na kifaransa hawakuwa wanakijua Kwani wengine walizaliwa Uganda au Bongo.
 

Natumaini mu wazima humu, ni siku nyingine tukiwa bado tunasubiri muafaka wa mchezaji Kagoma kama atabaki Simba au atarudi Yanga, Mzee wetu magoma na yeye ni mpaka kieleweke !!,

Anyway tukirudi kwenye kichwa cha habari, Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.

Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.

Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu. (Maderva hulipwa wastani wa euro 14 / shilingi elf 42 kwa saa)

Lugha kuu ujerumani ni kijerumani lakini asilimia 56 ya watu Ujerumani wanaweza kuongea kiingereza, ni sawa na kwenda Uganda unaweza usijue lugha yao ya kiganda lakini ukijua kiingereza inasaidia, inakuwa rahisi zaidi kujifunza kijerumani taratibu unapojua kiingereza.

Faida..
  • Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara ya kizungu (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
  • Kupunguza tatizo la wahitimu wengi wasio na ajira Kenya, hata kwenye ajira za kiswahili mfano walimu wa kiswahili na watangazaji wa vituo vya Idhaa za Kiswahili kama BBC na DW, wakenya ni wengi na wanaenda kujazana zaidi.
  • Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
  • Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
  • Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
  • Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi, Kuna vijana wadogo ujerumani wanacheza mpira wanakunja milioni 200 kila wiki.
  • n.k.
Wewe gumbaru hao wakenya wamenda kama experts au vibarua?! Dereva ni expert wa nini?! Kuendesha gari la taka au?
 
Back
Top Bottom