Hawa wamasai waliopewa ardhi na kujengewa nyumba na Samia? Hawa ni wajingaUnasungumzia mahakama zipi? Tanzania ata iwe awamu hipi huwezi kuwa na kesi na serikali tena kesi serious ukaishinda serikali! Hapo chini ni wamasai waloliondo waliondokewa majuzi tu hapa kwa nguvu kisa mwarabu na wametoka hapo kinyume na sheria kabisa na wakafungua kesi wameshindwa.
Bado kuna kesi ya Mbatia huko Court, Samia hamtaki Mbatia awe m/k wa NCCR japo njia iliyotumika kumuondoa ni haram ila kesi ilo mahakaman inapigwa danadana tu! Kwaiyo ukiingia kwenye mgogoro na serikali uo mgogoro Rais aujue vizur hushindi katika taifa ili.
View attachment 2503020View attachment 2503021
Acha uwongo ndugu yangu. Hata rais Samia mwenyewe ambaye kwa niaba ya wasimamizi wake anajitahidi kufuta kila jambo la Magufuli, leo hii amekiri pale Dodoma kuwa transformation ya Mahakama ilianza mwaka 2015, hakusema kuwa ilianza baada ya Magufuli kufariki na yeye kuingia madarakani.Profesa Ibrahim Hamis Juma anastaafu mwaka huu, 2023. Jaji Mkuu alipata mamlaka hayo kipindi cha awamu ya tano, na kimsingi, ilikuwa ni mahala pa yeye kutenda alichohubiri madarasani kwa maisha yake yote ya kitaaluma kuhusu mgawanyo wa madaraka.
Ni wakati wa uongozi wake JPM aliteua Jaji wa Rufani jukwaani bila kufuata utaratibu wa kisheria wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Na Kuna Hakimu aliteuliwa na JPM kuwa Jaji kisa tu kambana mfanyabiashara kule Kahama, na baada ya JPM kumteua, hukumu alizokuwa anaandika ni sawa na wale kuku wenye manyoya yaliyocharuka
Ni wakati wa utawala wake, mahakama ilitumika kama bomba la maji, wale wasiotakiwa na awamu ya tano, harakaharaka walikimbizwa mahakamani, na mahakama ikawa inaimbiwa chorus za upelelezi unaendelalea, na mahakama ikishaambiwa hivyo, inabaki kama nyuki wa mashineni.
Ni kwa mara ya kwanza wakati Prof Juma akiwa Jaji Mkuu, wagombea wote wa uchaguzi 2020 hawakupeleka shauri lolote mahakamani.
Mahakama ilitambulika kama moja ya vifaa vya jiwe alivyotumia kuwaumiza watu ambao hawapendi.
Mpaka Prof Juma anaondoka madarakani mwaka huu, mahakama haijatoa maamuzi mazito yaliyotingisha jamii na tasnia ya sheria, tofauti na enzi ya kina Jaji Nyalali, Sammata na Ramadhani.
Ni mahakama ya Prof Juma ambayo, udhaifu wake, ndio umefanya hata SSH aunde Tume ya Kupitia mfumo wa haki jinai.
Mahakama ya Prof Juma ilikuwa dhaifu sana kuliko mahakama chini ya majaji wakuu wengine.
Ukiacha majengo yanayojengwa kwa ufadhili wa Benki ya Dunia, mahakama ili-fail katika core function zake, utoaji haki. Haki hata itolewe chini ya mti, ndicho anachotaka mwananchi.
Mawakili walikuwa wanakamatwa au kutishiwa kukamatwa kwa sababu tu wanawakilisha wateja wao mahakamani.
Mahakimu walikuwa wanapewa zawadi ya Ujaji kwa kutoa hukumu za kidhalimu, mfano mzuri kesi ya Sugu mbeya.
Kwa ambao hawajui, kulitokea wimbi kubwa la mahakimu kushindana kufanya udhalimu anaoupenda Jiwe, ili Jiwe asikie, awape Ujaji.
Mahakama pia ihakikishe katika mapitio ya mfumo wa haki jinai, na yenyewe iwasilishe hoja zake, hasa zinazohusu waendesha mashtaka. Wanafanya wanavyotaka, na mahakama inaonekana hamna lolote, na kimsingi, wanaonekana Wana nguvu kuliko mahakama. In most cases, wananchi wanaona Bora umuite mwendesha mashtaka, mmalizane, aandike Nolle, au muingine katika plea bargaining, kuliko kusubiri mahakama.
Kwa heri Prof. Juma.
Katiba, katiba, katiba. Katiba mpya ni sasaProfesa Ibrahim Hamis Juma anastaafu mwaka huu, 2023. Jaji Mkuu alipata mamlaka hayo kipindi cha awamu ya tano, na kimsingi, ilikuwa ni mahala pa yeye kutenda alichohubiri madarasani kwa maisha yake yote ya kitaaluma kuhusu mgawanyo wa madaraka.
Ni wakati wa uongozi wake JPM aliteua Jaji wa Rufani jukwaani bila kufuata utaratibu wa kisheria wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Na Kuna Hakimu aliteuliwa na JPM kuwa Jaji kisa tu kambana mfanyabiashara kule Kahama, na baada ya JPM kumteua, hukumu alizokuwa anaandika ni sawa na wale kuku wenye manyoya yaliyocharuka
Ni wakati wa utawala wake, mahakama ilitumika kama bomba la maji, wale wasiotakiwa na awamu ya tano, harakaharaka walikimbizwa mahakamani, na mahakama ikawa inaimbiwa chorus za upelelezi unaendelalea, na mahakama ikishaambiwa hivyo, inabaki kama nyuki wa mashineni.
Ni kwa mara ya kwanza wakati Prof Juma akiwa Jaji Mkuu, wagombea wote wa uchaguzi 2020 hawakupeleka shauri lolote mahakamani.
Mahakama ilitambulika kama moja ya vifaa vya jiwe alivyotumia kuwaumiza watu ambao hawapendi.
Mpaka Prof Juma anaondoka madarakani mwaka huu, mahakama haijatoa maamuzi mazito yaliyotingisha jamii na tasnia ya sheria, tofauti na enzi ya kina Jaji Nyalali, Sammata na Ramadhani.
Ni mahakama ya Prof Juma ambayo, udhaifu wake, ndio umefanya hata SSH aunde Tume ya Kupitia mfumo wa haki jinai.
Mahakama ya Prof Juma ilikuwa dhaifu sana kuliko mahakama chini ya majaji wakuu wengine.
Ukiacha majengo yanayojengwa kwa ufadhili wa Benki ya Dunia, mahakama ili-fail katika core function zake, utoaji haki. Haki hata itolewe chini ya mti, ndicho anachotaka mwananchi.
Mawakili walikuwa wanakamatwa au kutishiwa kukamatwa kwa sababu tu wanawakilisha wateja wao mahakamani.
Mahakimu walikuwa wanapewa zawadi ya Ujaji kwa kutoa hukumu za kidhalimu, mfano mzuri kesi ya Sugu mbeya.
Kwa ambao hawajui, kulitokea wimbi kubwa la mahakimu kushindana kufanya udhalimu anaoupenda Jiwe, ili Jiwe asikie, awape Ujaji.
Mahakama pia ihakikishe katika mapitio ya mfumo wa haki jinai, na yenyewe iwasilishe hoja zake, hasa zinazohusu waendesha mashtaka. Wanafanya wanavyotaka, na mahakama inaonekana hamna lolote, na kimsingi, wanaonekana Wana nguvu kuliko mahakama. In most cases, wananchi wanaona Bora umuite mwendesha mashtaka, mmalizane, aandike Nolle, au muingine katika plea bargaining, kuliko kusubiri mahakama.
Kwa heri Prof. Juma.
Halafu watu utasikia alikuwa Rais mzalendo sana, huwa inafikirisha sana utawala wa huyu mtu, sijui angekuwepo mpaka leo kungekuwa na makaburi na vilema wangapi?Profesa Ibrahim Hamis Juma anastaafu mwaka huu, 2023. Jaji Mkuu alipata mamlaka hayo kipindi cha awamu ya tano, na kimsingi, ilikuwa ni mahala pa yeye kutenda alichohubiri madarasani kwa maisha yake yote ya kitaaluma kuhusu mgawanyo wa madaraka.
Ni wakati wa uongozi wake JPM aliteua Jaji wa Rufani jukwaani bila kufuata utaratibu wa kisheria wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Na Kuna Hakimu aliteuliwa na JPM kuwa Jaji kisa tu kambana mfanyabiashara kule Kahama, na baada ya JPM kumteua, hukumu alizokuwa anaandika ni sawa na wale kuku wenye manyoya yaliyocharuka
Ni wakati wa utawala wake, mahakama ilitumika kama bomba la maji, wale wasiotakiwa na awamu ya tano, harakaharaka walikimbizwa mahakamani, na mahakama ikawa inaimbiwa chorus za upelelezi unaendelalea, na mahakama ikishaambiwa hivyo, inabaki kama nyuki wa mashineni.
Ni kwa mara ya kwanza wakati Prof Juma akiwa Jaji Mkuu, wagombea wote wa uchaguzi 2020 hawakupeleka shauri lolote mahakamani.
Mahakama ilitambulika kama moja ya vifaa vya jiwe alivyotumia kuwaumiza watu ambao hawapendi.
Mpaka Prof Juma anaondoka madarakani mwaka huu, mahakama haijatoa maamuzi mazito yaliyotingisha jamii na tasnia ya sheria, tofauti na enzi ya kina Jaji Nyalali, Sammata na Ramadhani.
Ni mahakama ya Prof Juma ambayo, udhaifu wake, ndio umefanya hata SSH aunde Tume ya Kupitia mfumo wa haki jinai.
Mahakama ya Prof Juma ilikuwa dhaifu sana kuliko mahakama chini ya majaji wakuu wengine.
Ukiacha majengo yanayojengwa kwa ufadhili wa Benki ya Dunia, mahakama ili-fail katika core function zake, utoaji haki. Haki hata itolewe chini ya mti, ndicho anachotaka mwananchi.
Mawakili walikuwa wanakamatwa au kutishiwa kukamatwa kwa sababu tu wanawakilisha wateja wao mahakamani.
Mahakimu walikuwa wanapewa zawadi ya Ujaji kwa kutoa hukumu za kidhalimu, mfano mzuri kesi ya Sugu mbeya.
Kwa ambao hawajui, kulitokea wimbi kubwa la mahakimu kushindana kufanya udhalimu anaoupenda Jiwe, ili Jiwe asikie, awape Ujaji.
Mahakama pia ihakikishe katika mapitio ya mfumo wa haki jinai, na yenyewe iwasilishe hoja zake, hasa zinazohusu waendesha mashtaka. Wanafanya wanavyotaka, na mahakama inaonekana hamna lolote, na kimsingi, wanaonekana Wana nguvu kuliko mahakama. In most cases, wananchi wanaona Bora umuite mwendesha mashtaka, mmalizane, aandike Nolle, au muingine katika plea bargaining, kuliko kusubiri mahakama.
Kwa heri Prof. Juma.
Maelekezo do or dieJaji mkuu wa hovyo kuwahi kutokea. Alipojiingiza kwenye suala la Lissu nikamuona kilaza.
a ndio wanaanza kuelewa udhalimu wa Magufuli sasa.Profesa Ibrahim Hamis Juma anastaafu mwaka huu, 2023. Jaji Mkuu alipata mamlaka hayo kipindi cha awamu ya tano, na kimsingi, ilikuwa ni mahala pa yeye kutenda alichohubiri madarasani kwa maisha yake yote ya kitaaluma kuhusu mgawanyo wa madaraka.
Ni wakati wa uongozi wake JPM aliteua Jaji wa Rufani jukwaani bila kufuata utaratibu wa kisheria wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Na Kuna Hakimu aliteuliwa na JPM kuwa Jaji kisa tu kambana mfanyabiashara kule Kahama, na baada ya JPM kumteua, hukumu alizokuwa anaandika ni sawa na wale kuku wenye manyoya yaliyocharuka
Ni wakati wa utawala wake, mahakama ilitumika kama bomba la maji, wale wasiotakiwa na awamu ya tano, harakaharaka walikimbizwa mahakamani, na mahakama ikawa inaimbiwa chorus za upelelezi unaendelalea, na mahakama ikishaambiwa hivyo, inabaki kama nyuki wa mashineni.
Ni kwa mara ya kwanza wakati Prof Juma akiwa Jaji Mkuu, wagombea wote wa uchaguzi 2020 hawakupeleka shauri lolote mahakamani.
Mahakama ilitambulika kama moja ya vifaa vya jiwe alivyotumia kuwaumiza watu ambao hawapendi.
Mpaka Prof Juma anaondoka madarakani mwaka huu, mahakama haijatoa maamuzi mazito yaliyotingisha jamii na tasnia ya sheria, tofauti na enzi ya kina Jaji Nyalali, Sammata na Ramadhani.
Ni mahakama ya Prof Juma ambayo, udhaifu wake, ndio umefanya hata SSH aunde Tume ya Kupitia mfumo wa haki jinai.
Mahakama ya Prof Juma ilikuwa dhaifu sana kuliko mahakama chini ya majaji wakuu wengine.
Ukiacha majengo yanayojengwa kwa ufadhili wa Benki ya Dunia, mahakama ili-fail katika core function zake, utoaji haki. Haki hata itolewe chini ya mti, ndicho anachotaka mwananchi.
Mawakili walikuwa wanakamatwa au kutishiwa kukamatwa kwa sababu tu wanawakilisha wateja wao mahakamani.
Mahakimu walikuwa wanapewa zawadi ya Ujaji kwa kutoa hukumu za kidhalimu, mfano mzuri kesi ya Sugu mbeya.
Kwa ambao hawajui, kulitokea wimbi kubwa la mahakimu kushindana kufanya udhalimu anaoupenda Jiwe, ili Jiwe asikie, awape Ujaji.
Mahakama pia ihakikishe katika mapitio ya mfumo wa haki jinai, na yenyewe iwasilishe hoja zake, hasa zinazohusu waendesha mashtaka. Wanafanya wanavyotaka, na mahakama inaonekana hamna lolote, na kimsingi, wanaonekana Wana nguvu kuliko mahakama. In most cases, wananchi wanaona Bora umuite mwendesha mashtaka, mmalizane, aandike Nolle, au muingine katika plea bargaining, kuliko kusubiri mahakama.
Kwa heri Prof. Juma.
Arudi Musoma kwao Mtaa wa Mwigobero aendelee kuvuta FegiAkwende zake, hawa ndio walitumia mahakama vibaya kumfurahisha yule malaika wa kuzimu.
Mjumbe wacha matusi. Mosi, huyo Jaji si ni mteule wa Rais, iweje leo awe mzuri? Pili, soma Katiba na Soma Sheria ya uteuzi wa CAG zinasemaje wacha matusi. Uamuzi wa Jaji ni hofyo, kawa Serkali ikikata rufaa itashinda. CAG ni Mhasibu, kuna sheria za Kihasibu pia Jaji hazijui. Dola haioni haja ya kukata rufaa huku Assad hayuko kazini. Assad ndiyo ampinge Jaji akate rufaa arudishwe kazini.Crap.
Hata kama siyo mwanasheria au huna upeo mkubwa, unashindwa hata kusikia tu? Hata kuandika tu sentensi ya Kiswahili iliyonyooka, ni tatizo. Sijui shida ni elimu duni au uwezo wa kuelewa!!
Hukumu ya mahakama kuu juu ya kesi aliyofungua Zito juu ya ukiukwaji wa sheria katika kumwondoa Assad kwenye nafasi aliyokuwa akiishikilia wakati anaondolewa, inasemaje? Maana yawezekana tukawa tunabishana na watu ambao pengine kwa bahati mbaya wana ulemavu wa kutosikia au kutokumbuka!
Kwa vile JPM hayupo tena, na alikuwa ni binadamu tuu, nashauri JPM aachwe apumzike!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amaniNi wakati wa uongozi wake JPM
New constitution is NowKatiba, katiba, katiba. Katiba mpya ni sasa
Hata Hitler, Idd Amin, Musolini walikuwa binadamu, wameachwa wapumzike?Kwa vile JPM hayupo tena, na alikuwa ni binadamu tuu, nashauri JPM aachwe apumzike!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
Labda kama unataka kuamsha hisia za watu lkn kama uko serious kwakweli unajidhalilisha! Ukizingatia kuwa nawewe uligombea kupitia chama chake inaonesha ulitamani kufanya naye kazi yakudhulumu watu mali na uhai.Kwa vile JPM hayupo tena, na alikuwa ni binadamu tuu, nashauri JPM aachwe apumzike!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P