Wakati wa uongozi Profesa Juma, Mahakama ilishindwa kusimama na wananchi dhidi ya udhalimu wa awamu ya 5

Wakati wa uongozi Profesa Juma, Mahakama ilishindwa kusimama na wananchi dhidi ya udhalimu wa awamu ya 5

Unasungumzia mahakama zipi? Tanzania ata iwe awamu hipi huwezi kuwa na kesi na serikali tena kesi serious ukaishinda serikali! Hapo chini ni wamasai waloliondo waliondokewa majuzi tu hapa kwa nguvu kisa mwarabu na wametoka hapo kinyume na sheria kabisa na wakafungua kesi wameshindwa.

Bado kuna kesi ya Mbatia huko Court, Samia hamtaki Mbatia awe m/k wa NCCR japo njia iliyotumika kumuondoa ni haram ila kesi ilo mahakaman inapigwa danadana tu! Kwaiyo ukiingia kwenye mgogoro na serikali uo mgogoro Rais aujue vizur hushindi katika taifa ili.
View attachment 2503020View attachment 2503021
Hawa wamasai waliopewa ardhi na kujengewa nyumba na Samia? Hawa ni wajinga
 
Profesa Ibrahim Hamis Juma anastaafu mwaka huu, 2023. Jaji Mkuu alipata mamlaka hayo kipindi cha awamu ya tano, na kimsingi, ilikuwa ni mahala pa yeye kutenda alichohubiri madarasani kwa maisha yake yote ya kitaaluma kuhusu mgawanyo wa madaraka.

Ni wakati wa uongozi wake JPM aliteua Jaji wa Rufani jukwaani bila kufuata utaratibu wa kisheria wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Na Kuna Hakimu aliteuliwa na JPM kuwa Jaji kisa tu kambana mfanyabiashara kule Kahama, na baada ya JPM kumteua, hukumu alizokuwa anaandika ni sawa na wale kuku wenye manyoya yaliyocharuka

Ni wakati wa utawala wake, mahakama ilitumika kama bomba la maji, wale wasiotakiwa na awamu ya tano, harakaharaka walikimbizwa mahakamani, na mahakama ikawa inaimbiwa chorus za upelelezi unaendelalea, na mahakama ikishaambiwa hivyo, inabaki kama nyuki wa mashineni.

Ni kwa mara ya kwanza wakati Prof Juma akiwa Jaji Mkuu, wagombea wote wa uchaguzi 2020 hawakupeleka shauri lolote mahakamani.

Mahakama ilitambulika kama moja ya vifaa vya jiwe alivyotumia kuwaumiza watu ambao hawapendi.

Mpaka Prof Juma anaondoka madarakani mwaka huu, mahakama haijatoa maamuzi mazito yaliyotingisha jamii na tasnia ya sheria, tofauti na enzi ya kina Jaji Nyalali, Sammata na Ramadhani.

Ni mahakama ya Prof Juma ambayo, udhaifu wake, ndio umefanya hata SSH aunde Tume ya Kupitia mfumo wa haki jinai.

Mahakama ya Prof Juma ilikuwa dhaifu sana kuliko mahakama chini ya majaji wakuu wengine.

Ukiacha majengo yanayojengwa kwa ufadhili wa Benki ya Dunia, mahakama ili-fail katika core function zake, utoaji haki. Haki hata itolewe chini ya mti, ndicho anachotaka mwananchi.

Mawakili walikuwa wanakamatwa au kutishiwa kukamatwa kwa sababu tu wanawakilisha wateja wao mahakamani.

Mahakimu walikuwa wanapewa zawadi ya Ujaji kwa kutoa hukumu za kidhalimu, mfano mzuri kesi ya Sugu mbeya.

Kwa ambao hawajui, kulitokea wimbi kubwa la mahakimu kushindana kufanya udhalimu anaoupenda Jiwe, ili Jiwe asikie, awape Ujaji.

Mahakama pia ihakikishe katika mapitio ya mfumo wa haki jinai, na yenyewe iwasilishe hoja zake, hasa zinazohusu waendesha mashtaka. Wanafanya wanavyotaka, na mahakama inaonekana hamna lolote, na kimsingi, wanaonekana Wana nguvu kuliko mahakama. In most cases, wananchi wanaona Bora umuite mwendesha mashtaka, mmalizane, aandike Nolle, au muingine katika plea bargaining, kuliko kusubiri mahakama.

Kwa heri Prof. Juma.
Acha uwongo ndugu yangu. Hata rais Samia mwenyewe ambaye kwa niaba ya wasimamizi wake anajitahidi kufuta kila jambo la Magufuli, leo hii amekiri pale Dodoma kuwa transformation ya Mahakama ilianza mwaka 2015, hakusema kuwa ilianza baada ya Magufuli kufariki na yeye kuingia madarakani.
 
Profesa Ibrahim Hamis Juma anastaafu mwaka huu, 2023. Jaji Mkuu alipata mamlaka hayo kipindi cha awamu ya tano, na kimsingi, ilikuwa ni mahala pa yeye kutenda alichohubiri madarasani kwa maisha yake yote ya kitaaluma kuhusu mgawanyo wa madaraka.

Ni wakati wa uongozi wake JPM aliteua Jaji wa Rufani jukwaani bila kufuata utaratibu wa kisheria wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Na Kuna Hakimu aliteuliwa na JPM kuwa Jaji kisa tu kambana mfanyabiashara kule Kahama, na baada ya JPM kumteua, hukumu alizokuwa anaandika ni sawa na wale kuku wenye manyoya yaliyocharuka

Ni wakati wa utawala wake, mahakama ilitumika kama bomba la maji, wale wasiotakiwa na awamu ya tano, harakaharaka walikimbizwa mahakamani, na mahakama ikawa inaimbiwa chorus za upelelezi unaendelalea, na mahakama ikishaambiwa hivyo, inabaki kama nyuki wa mashineni.

Ni kwa mara ya kwanza wakati Prof Juma akiwa Jaji Mkuu, wagombea wote wa uchaguzi 2020 hawakupeleka shauri lolote mahakamani.

Mahakama ilitambulika kama moja ya vifaa vya jiwe alivyotumia kuwaumiza watu ambao hawapendi.

Mpaka Prof Juma anaondoka madarakani mwaka huu, mahakama haijatoa maamuzi mazito yaliyotingisha jamii na tasnia ya sheria, tofauti na enzi ya kina Jaji Nyalali, Sammata na Ramadhani.

Ni mahakama ya Prof Juma ambayo, udhaifu wake, ndio umefanya hata SSH aunde Tume ya Kupitia mfumo wa haki jinai.

Mahakama ya Prof Juma ilikuwa dhaifu sana kuliko mahakama chini ya majaji wakuu wengine.

Ukiacha majengo yanayojengwa kwa ufadhili wa Benki ya Dunia, mahakama ili-fail katika core function zake, utoaji haki. Haki hata itolewe chini ya mti, ndicho anachotaka mwananchi.

Mawakili walikuwa wanakamatwa au kutishiwa kukamatwa kwa sababu tu wanawakilisha wateja wao mahakamani.

Mahakimu walikuwa wanapewa zawadi ya Ujaji kwa kutoa hukumu za kidhalimu, mfano mzuri kesi ya Sugu mbeya.

Kwa ambao hawajui, kulitokea wimbi kubwa la mahakimu kushindana kufanya udhalimu anaoupenda Jiwe, ili Jiwe asikie, awape Ujaji.

Mahakama pia ihakikishe katika mapitio ya mfumo wa haki jinai, na yenyewe iwasilishe hoja zake, hasa zinazohusu waendesha mashtaka. Wanafanya wanavyotaka, na mahakama inaonekana hamna lolote, na kimsingi, wanaonekana Wana nguvu kuliko mahakama. In most cases, wananchi wanaona Bora umuite mwendesha mashtaka, mmalizane, aandike Nolle, au muingine katika plea bargaining, kuliko kusubiri mahakama.

Kwa heri Prof. Juma.
Katiba, katiba, katiba. Katiba mpya ni sasa
 
Profesa Ibrahim Hamis Juma anastaafu mwaka huu, 2023. Jaji Mkuu alipata mamlaka hayo kipindi cha awamu ya tano, na kimsingi, ilikuwa ni mahala pa yeye kutenda alichohubiri madarasani kwa maisha yake yote ya kitaaluma kuhusu mgawanyo wa madaraka.

Ni wakati wa uongozi wake JPM aliteua Jaji wa Rufani jukwaani bila kufuata utaratibu wa kisheria wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Na Kuna Hakimu aliteuliwa na JPM kuwa Jaji kisa tu kambana mfanyabiashara kule Kahama, na baada ya JPM kumteua, hukumu alizokuwa anaandika ni sawa na wale kuku wenye manyoya yaliyocharuka

Ni wakati wa utawala wake, mahakama ilitumika kama bomba la maji, wale wasiotakiwa na awamu ya tano, harakaharaka walikimbizwa mahakamani, na mahakama ikawa inaimbiwa chorus za upelelezi unaendelalea, na mahakama ikishaambiwa hivyo, inabaki kama nyuki wa mashineni.

Ni kwa mara ya kwanza wakati Prof Juma akiwa Jaji Mkuu, wagombea wote wa uchaguzi 2020 hawakupeleka shauri lolote mahakamani.

Mahakama ilitambulika kama moja ya vifaa vya jiwe alivyotumia kuwaumiza watu ambao hawapendi.

Mpaka Prof Juma anaondoka madarakani mwaka huu, mahakama haijatoa maamuzi mazito yaliyotingisha jamii na tasnia ya sheria, tofauti na enzi ya kina Jaji Nyalali, Sammata na Ramadhani.

Ni mahakama ya Prof Juma ambayo, udhaifu wake, ndio umefanya hata SSH aunde Tume ya Kupitia mfumo wa haki jinai.

Mahakama ya Prof Juma ilikuwa dhaifu sana kuliko mahakama chini ya majaji wakuu wengine.

Ukiacha majengo yanayojengwa kwa ufadhili wa Benki ya Dunia, mahakama ili-fail katika core function zake, utoaji haki. Haki hata itolewe chini ya mti, ndicho anachotaka mwananchi.

Mawakili walikuwa wanakamatwa au kutishiwa kukamatwa kwa sababu tu wanawakilisha wateja wao mahakamani.

Mahakimu walikuwa wanapewa zawadi ya Ujaji kwa kutoa hukumu za kidhalimu, mfano mzuri kesi ya Sugu mbeya.

Kwa ambao hawajui, kulitokea wimbi kubwa la mahakimu kushindana kufanya udhalimu anaoupenda Jiwe, ili Jiwe asikie, awape Ujaji.

Mahakama pia ihakikishe katika mapitio ya mfumo wa haki jinai, na yenyewe iwasilishe hoja zake, hasa zinazohusu waendesha mashtaka. Wanafanya wanavyotaka, na mahakama inaonekana hamna lolote, na kimsingi, wanaonekana Wana nguvu kuliko mahakama. In most cases, wananchi wanaona Bora umuite mwendesha mashtaka, mmalizane, aandike Nolle, au muingine katika plea bargaining, kuliko kusubiri mahakama.

Kwa heri Prof. Juma.
Halafu watu utasikia alikuwa Rais mzalendo sana, huwa inafikirisha sana utawala wa huyu mtu, sijui angekuwepo mpaka leo kungekuwa na makaburi na vilema wangapi?
 
Teuzi za majaji wengi ziangaliwe upya wengi hawakuwa na sifa, sifa pekee ilikuwa ni kuwashughulikia wapinzani.
Yule aliyemfunga sugu alipewa ujaji hali kastaafu.
 
W
Profesa Ibrahim Hamis Juma anastaafu mwaka huu, 2023. Jaji Mkuu alipata mamlaka hayo kipindi cha awamu ya tano, na kimsingi, ilikuwa ni mahala pa yeye kutenda alichohubiri madarasani kwa maisha yake yote ya kitaaluma kuhusu mgawanyo wa madaraka.

Ni wakati wa uongozi wake JPM aliteua Jaji wa Rufani jukwaani bila kufuata utaratibu wa kisheria wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Na Kuna Hakimu aliteuliwa na JPM kuwa Jaji kisa tu kambana mfanyabiashara kule Kahama, na baada ya JPM kumteua, hukumu alizokuwa anaandika ni sawa na wale kuku wenye manyoya yaliyocharuka

Ni wakati wa utawala wake, mahakama ilitumika kama bomba la maji, wale wasiotakiwa na awamu ya tano, harakaharaka walikimbizwa mahakamani, na mahakama ikawa inaimbiwa chorus za upelelezi unaendelalea, na mahakama ikishaambiwa hivyo, inabaki kama nyuki wa mashineni.

Ni kwa mara ya kwanza wakati Prof Juma akiwa Jaji Mkuu, wagombea wote wa uchaguzi 2020 hawakupeleka shauri lolote mahakamani.

Mahakama ilitambulika kama moja ya vifaa vya jiwe alivyotumia kuwaumiza watu ambao hawapendi.

Mpaka Prof Juma anaondoka madarakani mwaka huu, mahakama haijatoa maamuzi mazito yaliyotingisha jamii na tasnia ya sheria, tofauti na enzi ya kina Jaji Nyalali, Sammata na Ramadhani.

Ni mahakama ya Prof Juma ambayo, udhaifu wake, ndio umefanya hata SSH aunde Tume ya Kupitia mfumo wa haki jinai.

Mahakama ya Prof Juma ilikuwa dhaifu sana kuliko mahakama chini ya majaji wakuu wengine.

Ukiacha majengo yanayojengwa kwa ufadhili wa Benki ya Dunia, mahakama ili-fail katika core function zake, utoaji haki. Haki hata itolewe chini ya mti, ndicho anachotaka mwananchi.

Mawakili walikuwa wanakamatwa au kutishiwa kukamatwa kwa sababu tu wanawakilisha wateja wao mahakamani.

Mahakimu walikuwa wanapewa zawadi ya Ujaji kwa kutoa hukumu za kidhalimu, mfano mzuri kesi ya Sugu mbeya.

Kwa ambao hawajui, kulitokea wimbi kubwa la mahakimu kushindana kufanya udhalimu anaoupenda Jiwe, ili Jiwe asikie, awape Ujaji.

Mahakama pia ihakikishe katika mapitio ya mfumo wa haki jinai, na yenyewe iwasilishe hoja zake, hasa zinazohusu waendesha mashtaka. Wanafanya wanavyotaka, na mahakama inaonekana hamna lolote, na kimsingi, wanaonekana Wana nguvu kuliko mahakama. In most cases, wananchi wanaona Bora umuite mwendesha mashtaka, mmalizane, aandike Nolle, au muingine katika plea bargaining, kuliko kusubiri mahakama.

Kwa heri Prof. Juma.
a ndio wanaanza kuelewa udhalimu wa Magufuli sasa.
 
Crap.

Hata kama siyo mwanasheria au huna upeo mkubwa, unashindwa hata kusikia tu? Hata kuandika tu sentensi ya Kiswahili iliyonyooka, ni tatizo. Sijui shida ni elimu duni au uwezo wa kuelewa!!

Hukumu ya mahakama kuu juu ya kesi aliyofungua Zito juu ya ukiukwaji wa sheria katika kumwondoa Assad kwenye nafasi aliyokuwa akiishikilia wakati anaondolewa, inasemaje? Maana yawezekana tukawa tunabishana na watu ambao pengine kwa bahati mbaya wana ulemavu wa kutosikia au kutokumbuka!
Mjumbe wacha matusi. Mosi, huyo Jaji si ni mteule wa Rais, iweje leo awe mzuri? Pili, soma Katiba na Soma Sheria ya uteuzi wa CAG zinasemaje wacha matusi. Uamuzi wa Jaji ni hofyo, kawa Serkali ikikata rufaa itashinda. CAG ni Mhasibu, kuna sheria za Kihasibu pia Jaji hazijui. Dola haioni haja ya kukata rufaa huku Assad hayuko kazini. Assad ndiyo ampinge Jaji akate rufaa arudishwe kazini.

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
 
Mwisho wa picha wote tutakufa na tutaliwa na mafunza mpaka ktk kile kitobo kinachotoa taka mwili,haijalishi wewe ni nani,hapo ndipo mungu atabaki kuwa mungu!na kama kweli hiyo tume ya mama ssh itaongea ukweli bila kupepesa macho,wengi watavuliwa nguo tuone kende zao zikining'inia!ila kama kweli ssh nae sio mwigizaji?tunataka katiba mpya,tumechoka maana nchi hii ikipata tena raisi mwenye roho ya ...@%
 
Awamu ya nduli Ilikuwa ni aibu saaana kila unaposoma yanayojiri mahakamani...
mtz mahiri na shujaa kwenye system ninayemkumbuka awamu yanduli ni Prof. Assad hata madam prez. hakuweza kupinga uovu uliotokea kindakindaki!!!
Heko pia kwa waliojitenga na nduli, watu mahiri kama Mzee Membe, Nyalandu hawakujiungamanisha na uovu.
Viongozi weeengi waliobaki waliburuzwa kwenye uovu huku wakitetea haramu...walikuwa viongo ziii waliojaa tamaa ya pesa, hawakujali damu kumwagika wao walijali vyeo,umaarufu na pesa,shameless lead ass,wakurubia uasi.
 
Huyu prof. Juma ni mtu wa hovyo Sana. Alilinda maslahi ya tumbo lake akasahau maslahi ya nchi. Watu wameteseka sana kipindi chake
 
Labda kama unataka kuamsha hisia za watu lkn kama uko serious kwakweli unajidhalilisha! Ukizingatia kuwa nawewe uligombea kupitia chama chake inaonesha ulitamani kufanya naye kazi yakudhulumu watu mali na uhai.
Nikuulize, unamaana Nyerere tuache kumuongelea? tusimtaje? Tunamtaja kwa meengi yake mazuri aliyotufanyia ili watu wajifunze...
Huyu mpush mwenzio unayemtetea asitajwe naye tutamtaja ili watu wajifunze pia maovu yake tutayajadili kusudi mwingine asirudie!!
Tabia yakuzuia watu kujadili ni ya kijinga sana na kutuambia eti yuko peponi as if wewe ndie monitor wa peponi ni ujinga zaidi... pasco zeeka vizuri nduguyetu, tetea haki na mheshimu Mungu, nahiyo ni ibada njema
 
Back
Top Bottom