Wakati Waafrika wakiuzwa kama watumwa, Mashehe, Mapadre, wachungaji wa Ulaya, Amerika na Uarabuni walikuwa wapi?

Sio kweli kabisa hili jambo na ni aibu kwa mtu kama wewe paschal Mayalla kusema hivi.

Kulikuwa na sababu zisizo husu kabisa dini ndio chanzo Cha Uingereza kupiga marufuku shughuri hizo achilia mbali wapakwa mafuta.
 
Sote tunajua kuwa imani za dini (Ukristo na Uislam) vilikuwepo kabla ya utumwa. Umewahi kujiuliza wakati Waafrica wa huku watoto wa kizungu wakitafuna urithi wetu.
Aliyeleta biashara ya utumwa ni mwaraabu , watumwa waliopelekwa Uarabuni walihasiwa ili wasiwapige miti wake wake zao na dada zao ili kuacha mbegu sana sana wenyewe ndyo walokuwa wanapiga miti aiseeee mwarabu si mtu ila wale waliokwenda Marekani na Ulaya ndyo hawa sasa hivi vizazi vyao tunawaita Black American nk kina Jay Z, Puff Dad, Tyson nk. Siyo watu hawa
 
Bonge la swali......hivi mbingu/pepo....ipo kweli?🙂
 
Sio kweli kabisa hili jambo na ni aibu kwa mtu kama wewe paschal Mayalla kusema hivi.

Kulikuwa na sababu zisizo husu kabisa dini ndio chanzo Cha Uingereza kupiga marufuku shughuri hizo achilia mbali wapakwa mafuta.
Mkuu IFAC , kuna watu wamesoma historia ya utumwa kama story, wengine kama somo tuu, na sisi wengine history ni combi yetu!.
P
 

Yawezekana hizo dini zilihusika kuwalainisha watu wakubali utumwa
 
Baada ya kusitiswa ndio kanisa likaingilia, vipi kabla ya hapo, je hawakuona waumini wao wakifanya biashara ya utumwa?
Kanisa halina bunduki za kuzuia muumini kufanya biashara yoyote iwe ya utumwa au nyingine. Hii haiondowi ukweli kwamba mchango wa wamissionari ulikuwa mkubwa kuzuia hii biashara ya utumwa. Na kwa taarifa tu, ingawa kuna watu wako bize kupotosha kwa misingi ya kidini, wamissionari haohao walitoa mchango mkubwa kwanza kuwaelimisha Waafrika kupitia shule zao na baadae kwenye vuguvugu la ukombozi toka kwenye makucha ya wakoloni.
 
Baada ya kusitiswa ndio kanisa likaingilia, vipi kabla ya hapo, je hawakuona waumini wao wakifanya biashara ya utumwa?
Tatizo kubwa la CCM ni kuwa nyie watu ambao ni IQ 7 ndiyo mnajitahidi kutetea mkataba mbovu huku hamna kitu kichwani. Unauliza swali ambalo kama kweli umeenda shule jibu lazima ungelikuwa nalo. Jinga kabisa.
 
Wamisionari walichangia pakubwa kusitishwa biashara ya utumwa.
 
Katika hili hapana. Too late? toka wapi? Impact ya hizi kelele na awareness kwa Watanzania haviwezi kwenda bure. Na hata ikitokea serikali ikikomalia hili jambo, Serikali ya CCM itakuwa inaendelea kujichimbia kaburi japo kila wakati inatumia mabavu kubaki madarakani.

Wakati ni ukuta, kizazi kinabadilika na technologia ya habari inakua pia. Kuna siku vijana watatoka usingizini na ipo siku hawatakubali kutumika tena!!!

1. Preamble

Dear Jakaya Mrisho Kikwete,
The Former President of the United Republic of Tanzania,

The convergence point of hopes and fears of the citizenry in each and every nation-state is land, the natural resources embedded in the land and the land-borne artificial infrastructures.
 
Nkobe, umepiga ndefu sana genius.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Hapa ndipo nimegundua watumwa wote wanatetea mabwana zao mtu mweusi ni duni sana na atabaki kuwa mtumwa forever
 
Utumwa hadi leo hii upo.

Wale vibarua wanaofanya kazi za maofisini na viwandani ni sawa tu na watumwa wa miaka hiyoo.
 
Umeshindwa kujenga hoja ya kuonesha uwepo wa huyo Mungu.
wakuu,huwa tunapenda kuwauliza mnataka uthibitisho upi wakati mnaambiwa haya ni maswala ya imani!!!!watu wanaamini dunia ni mali ya Mungu wewe unasema wathibitishe!!!ukiambiwa thibitisha huyo uliye naye ni mpenzi wako,unadhani hakuna uthibitishi utakaoutoa utaachwa kujengewa hoja kwamba hautoshi!!!!
Sasa unafanya personal attack.

Tufanye basi mimi ni mzimu.

Mungu Mkamilifu, Alishindwaje kuumba Dunia yenye watu wakamilifu bila uwepo wa mizimu?
dunia ni kamili na uwepo wa hawa mizimu,Mungu kwa utimilifu wake hakuona ni sawa akufungie kwenye kisanduku umjue yeye tu,huo ni udictator,fikiria huyo mpenzi wako umfungie ndani masaa 24 haonani na mtu mwingine,halafu udai anakupenda kweli kweli.
Kwa nini uwepo wa Mungu una utata?
hauna utata,utata uko kwenye mawazo ya kutokuwepo kwake.
ndio sababu hauwezi kutulia na mawazo yako maana hayana nguzo,inabidi uje tubabuane hapa ili upate uhalisia na kujiridhisha kabisa kwamba ulikuwa unawaza vibaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…